Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

Unapoleta mjadala nyakati nyingine usije na majibu yako kabisa au utegemee watu waitike tu Ameen!Jifunze kujifunza.Upana wa fikra.Hii tabia yako unayoonesha unajiweka dhalili.Halafu una-panic haraka na kuanza maandiko yenye ubishi tu.
Uwezo wako wa kufikir unapoishia mimi ndio unaanzia..
Kama uko biased na irrational kwa maneno bayana kama hayo huniwezi.
 
Nadhani reasoning yako ni ndogo sana kama umeweza kutumia hiyo statement ya Bagonza kupindisha ukweli wa alichomaanisha.
 
Nadhani reasoning yako ni ndogo sana kama umeweza kutumia hiyo statement ya Bagonza kupindisha ukweli wa alichomaanisha.
Hahaha!!! reasoning yangu ni kubwa sana iko objective and rational.
Tofauti na yako ambayo iko subjective, biased and irrational.
Sawa kichwa panzi?
 
Ninao sana tuu,ukiona huna uthubutu lazima uwe unajipendekeza nk,,mimi sina huo ujinga na sio muoga..

Nilikosoa Mwendazake kwenye mitandao toka hata hajawa Rais kwa kuwa nilishamfahamu kitambo Sana toka enzi za MKapa.
Saivi uthubutu umeenda wapi au ndio njaa!?
 
Saivi uthubutu umeenda wapi au ndio njaa!?
Mimi sio mwanasiasa na siko interested na mambo ya siasa bali Niko interested na management of the economy..

Ukifeli hapo kwangu wewe ni useless ila ukifaulu hapo kwangu ni bora bila kujalisha mambo ya siasa zenu.

Samia is good at management of economy and leadership style, mengine hayanohusu.
 
Tunaenda mwaka sasa bila bila dikteta uchwara ambaye wafuasi wake mlimchukulia kama mungu wenu!

Poleni sana mtavuka hiyo denial stage na mtakubali hayupo tena.
 
Hahaha!!! reasoning yangu ni kubwa sana iko objective and rational.
Tofauti na yako ambayo iko subjective, biased and irrational.
Sawa kichwa panzi?
Matusi ya nini Sasa huini ulivyojidhihirisha kwamba hauna reasoning sawia?

JF mmekuja vijana mna oestrogen za dada zenu basi mmekaa Kama mpo period masaa yote adrenalin ipo juu matusi kila wakati as if umepata ujauzito.

Usidhani wengine hatujui lugha za kishenzi kama wewe mwana mtoka pabaya uliyezaliwa na kinyesi puani.

Unakuja kuleta mada ukikosolewa basi damu ya hedhi inakumwagika huko makalioni unakuja na matusi hapa tutakujaza vibunzi huko uzibe usisumbue watu.

Usituletee mada zako ukitegemea tukuone wa maana tunakusaidia kukurekebisha we unakuja na vimatusi vya rejareja wengine humu tupo level nyingine sana so kuwa Makini usijione una akili sana au pia unajua kutukana sana utaumia dogo mtoka pabaya.
 
Back
Top Bottom