Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

Kama Bagonza ameona mema ya Magufuli mimi ni nani!?

Kuna watu wanataka Taifa liwe na maendeleo huku tukichekacheka na kuwababy care wapumbavu na wajinga....
 
Na sio lazma kunichagulia namna ya kuelewa bagonza aliyosema.
Pimamaji yako haina maji ndiyo maana asilimia kubwa ya wachangiaji wanakurekebisha ili unyooshe mapito.Hawakufundishi bali marekebisho.Hata hivyo,usilie.Ungeweza kukaa tu na uzi wako chumbani mwako huku unausoma na kujichekea mwenyewe.
Na sio lazma kunichagulia namna ya kuelewa bagonza aliyosema.
 
Pimamaji yako haina maji ndiyo maana asilimia kubwa ya wachangiaji wanakurekebisha ili unyooshe mapito.Hawakufundishi bali marekebisho.Hata hivyo,usilie.Ungeweza kukaa tu uzi wako chumbani mwako huku unausoma na kujichekea mwenyewe.
Kati ya watu wanne mmoja anakichaa na wewe ni mmoja wapo sishangaii!
Mmefika wawili.
 
Walimu walipokuwa wanapima listening skills hii ndio maana yake.
Pole kwa kuwa na poor listening skills.
Wewe uneokoteza vi qoutes mtandaoni huko. Unakuja kutafsiri upuuzi hapa.
Interview nzima Dr. Bagonza alielezea vizuri namna system ilivyoharibiwa na JPM. Na akaonyesha umuhimu katiba mpya kuzuia tusije kuongozwa na kichaa sampuli ya jiwe akaja akawapa kazi ya ziada deep state kumuondoa.
 
Wewe uneokoteza vi qoutes mtandaoni huko. Unakuja kutafsiri upuuzi hapa.
Interview nzima Dr. Bagonza alielezea vizuri namna system ilivyoharibiwa na JPM. Na akaonyesha umuhimu katiba mpya kuzuia tusije kuongozwa na kichaa sampuli ya jiwe akaja akawapa kazi ya ziada deep state kumuondoa.
Hahaha!!! interview nzima ndio nin?
Na system ndio nini?
Kichwa panzi.
 
Hahaha!!! interview nzima ndio nin?
Na system ndio nini?
Kichwa panzi.
Unapoleta mjadala nyakati nyingine usije na majibu yako kabisa au utegemee watu waitike tu Ameen!Jifunze kujifunza.Upana wa fikra.Hii tabia yako unayoonesha unajiweka dhalili.Halafu una-panic haraka na kuanza maandiko yenye ubishi tu.
 
Unapoleta mjadala nyakati nyingine usije na majibu yako kabisa au utegemee watu waitike tu Ameen!Jifunze kujifunza.Upana wa fikra.Hii tabia yako unayoonesha unajiweka dhalili.Halafu una-panic haraka na kuanza maandiko yenye ubishi tu.
Na wewe usilazimishe nielewe kama ambavyo unatamani nielewe kichwa panzi sawa!?
 
kama walimpokonya wana laana

Iliwabidi tu deep state wamuondoe kwa maana kichaa ndo kilikuwa kimepanda kichwani.
Hii nchi haiwezi kuongozwa na mwendawazimu... Isikilize tena interview ya Antony Diallo.

Hii nchi ilikuwa imefikia pabaya
Imagine Jpm alikuwa anagawa pesa barabarani kama za kwake yaani.
Alikuwa anatumbua watu on the spot kama hana akili timamu.
Mahali ambapo ilibidi deep state wamchukulie serious wamuandalie special mission ni baada ya kutaka kutawala milele.
 
Back
Top Bottom