love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
- Thread starter
- #21
Ni sehemu ya utimilifu..kuua ni mapungufu ya kibinadaam?
Kama Mungu anagadhabika anaua Magufuli ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni sehemu ya utimilifu..kuua ni mapungufu ya kibinadaam?
hatari snAmekiri uzuri upi?? Jifunze kuelewa, sio ulete mahaba
Kwahiyo unafurahia kuua kwake?Ni sehemu ya utimilifu..
Kama Mungu anagadhabika anaua Magufuli ni nani?
Hiyo ndio destination ya kila mtu.Kwahiyo unafurahia kuua kwake?
Kuua?Hiyo ndio destination ya kila mtu.
Ndio hata unapokufa kwa kisukari ni uzembe na umeua.Kuua?
Poa mkuuNdio hata unapokufa kwa kisukari ni uzembe na umeua.
Kwa nini ufe na kisukari?
Kusem eneo alilofanya vyema ni uthubutu alimaanisha ana mahaba kwa Magufuli au Gaidi?Amekiri uzuri upi?? Jifunze kuelewa, sio ulete mahaba
Na ndio wanatunyoosha tena ukiwemo na wewe.Màgufool alikuwa na ujasiri wa kiwendawazimu ndio maana ikabidi wenye CCM yao wampokonye uhai
Mtaanza kutajana mmoja mmoja muda wenu ukifika!! Wahuni ndio waliompokonya uhai Jiwe?Màgufool alikuwa na ujasiri wa kiwendawazimu ndio maana ikabidi wenye CCM yao wampokonye uhai
Idd Amin ndio usiseme, kuna watanzania wanamwona alikuwa nabii Muhimu!![emoji3][emoji3]Hata Hitler alikuwa na waliompenda na kumsifu.
Hata shtani ana mazuri yake kama vile kumwezesha mungu kuwatenganisha binadamu kati ya wale wanaomwanudu na wasiomwabudu.Aliua watu wangapi?
Gaidi MagufuliKusem eneo alilofanya vyema ni uthubutu alimaanisha ana mahaba kwa Magufuli au Gaidi?
Kama ambavyo wewe unabaya yako.Hata shtani ana mazuri yake kama vile kumwezesha mungu kuwatenganisha binadamu kati ya wale wanaomwanudu na wasiomwabudu.
Dunia inajua nani ni gaidi.Gaidi Magufuli
Uzuri ni uthubutu peke yake. Hata kuua ni moja ya uthubutuKwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740
Kama bagonza alivyosema, kuua sio rahisi kama huna uthubut.Uzuri ni uthubutu peke yake. Hata kuua ni moja ya uthubutu
Kwa mara ya kwanza Bagonza kwa kinywa chake anataja upande wa pili wa Magufuli wazi wazi. Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740