love life live life
JF-Expert Member
- Sep 12, 2021
- 2,584
- 3,051
Aliua watu wangapi?Kwa mara ya kwanza Bagonza anataja upande wa pili wa Magufuli.
Kama huyu mwamba(Jiwe) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama
mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099727
Upo sahihi kabisaHata Hitler alikuwa na waliompenda na kumsifu.
Mungu ameua watu wangapi!!?Aliua watu wangapi?
Mbona wewe mzima unauza mbege na kisusio?!!Aliua watu wangapi?
Sijawahi kuona akiuaMungu ameua watu wangapi!!?
Ulitaka aniue na mm? Hata Iddi Amini hakuua woteMbona wewe mzima unauza mbege na kisusio?!!
Magu ullimuona wapi.Sijawahi kuona akiua
Umemuelewa?Kwa mara ya kwanza Bagonza anataja upande wa pili wa Magufuli.
Kama huyu mwamba(Magu) alikosea naamini ni katika mapungufu yakibanadamu kama
mtu mwingine yeyote.
View attachment 2099740
Na wewe unaelewa maana ya upande wa pili!?Umemuelewa?
Alikuwa anatuma watu kwenda kuua lakini MUNGU kamtafuna mwenyeweMagu ullimuona wapi.
Refer hata vitabu vyako vya dini?
Mungu ameua watu wangapi!?Alikuwa anatuma watu kwenda kuua lakini MUNGU kamtafuna mwenyewe
Na wewe unaelewa maana ya upande wa pili!?
Kuna uhusiano upi na swala la Bagonza
Amekiri uzuri upi?? Jifunze kuelewa, sio ulete mahabaKuna uhusiano upi na swala la Bagonza
kukiri uzuri wa Magufuli.
Sina ushahidi wa MUNGU kuuaMungu ameua watu wangapi!?
Unakili Mungu ni muuaji kama Magufuli kwa maandishi yako
unaomba ushahidi upi tena kuprove Mungu ni muuji kama Magufuli..