matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 7,968
- 19,368
Unatakiwa utafute pesa hadi ifikie hatua pesa ulizotafuta zenyewe zinaanza kutafuta pesa nyenzake zaidi.
Unatakiwa ufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma bila kujionea hurumq hadi ifikie hatua huitaji bidii kubwa kupata kipato.
Kwa hiyo bidii yako lazima iwe na malengo hata kama bado unajitafuta kiuchumi. Lengo ufikie hatua ya kupata muda wa kutosha wa kumuabudu Mungu, Kushiriki mambo ya kijamii, kushare vile Mungu alivyokupa kwa jamii inayokuzunguka kwa nia njema bila kuwa na nyama kifichi ya kuwapiga.
" Fanyeni biashara hadi nitakaporudi" Yesu.
Ni hayo tu.
Unatakiwa ufanye kazi kwa bidii na kwa kujituma bila kujionea hurumq hadi ifikie hatua huitaji bidii kubwa kupata kipato.
Kwa hiyo bidii yako lazima iwe na malengo hata kama bado unajitafuta kiuchumi. Lengo ufikie hatua ya kupata muda wa kutosha wa kumuabudu Mungu, Kushiriki mambo ya kijamii, kushare vile Mungu alivyokupa kwa jamii inayokuzunguka kwa nia njema bila kuwa na nyama kifichi ya kuwapiga.
" Fanyeni biashara hadi nitakaporudi" Yesu.
Ni hayo tu.