Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Tatizo la Clouds wanajishtukia na tatizo lao kubwa hawampendi Diamond,wanatamani kumwona anatetereka lkn dogo haanguki kila siku anazidi toboa.Usifanye msihala kufanya show ktk nchi za Anglophone as a Main Act.

Yeye mwenyewe alishasema wasipige nyimbo zake na wa simfiatilie.Kafanya Wasafi Festival kesho Asubuhi Soudy na Diva wanaanza kuponda,WCB wamemchunia.Haya show ya jana huko Gunea baada ya kuwa na mafanikio makubwa mara akina Soudy na Diva,show kingililio kilikuwa bei rahisi,mara wasanii walikuwa wengi hakuwa peke yake,wamesahau wao washaandaa show kibao zina wasanii kibao lkn zinakuwa na MAIN ACT,basi waelewe tu japokuwa itawaumiza Gunea kwa mujibu wa waandaaji MAIN ACT alikuwa Diamond Platnumz.

Diamond mwenyewe alisema hataki wapige nyimbo zake wala kumfuatilia na wao CMG wana utaratibu wao ukikoseana nao hapigi nyimbo zako wala kukuongelea mf Lady Jay dee.Lady Jay dee kishafanya matamasha kibao lkn hawampigi vijembe Why Diamond?
Kwa kifupi jamaa wamemshinda,walilolitegemea litokee kwa Mondi halijatokea na kila siku anfanya vizuri.

Cha Msingi CMG waache kumfuatilia Diamond kwani wakiendelea kumfuatilia watazidi kuumia na kukereka,Diamond kila siku ana achieve kitu kipya kikubwa ,mwezi huu tu ana show ktk nchi zaidi nne za Anglophone as Main act.Wao waendelea na mambo yao Mondi nae anaendelea na mambo yake.

Swala Kwamba Mondi akianguka WCB ina anguka hayo ni ya mbele tumwachie Mungu,unaweza ukatabiri kuanguka kwa Mondi hujui kesho Clouds ikaanguka Mondi akaendelea kusimama.Kuna watu walikuwa wanamiliki kampuni kubwa tu zinazoingiza mabilioni ya shilingi Duniani lkn yaka anguka so yote yanawezekana.

Cha msingi wawe kama EA TV na Redio wao Mondi hata afanye vizuri au vibaya hawampigi vijembe wala hawamfuatilii kwa kifupi hawana time na Mondi.

Sasa wewe humpendi Mondi,hupigi nyimbo zake BADO UNAMFUATILIA kuanzia mziki wake mpaka event zake,alafu unategemea afeli kumbe unalolitegemea halimpati zaidi ya dogo kufanya vizuri na hiki ndicho kinawaumiza Clouds na WATAENDELEA kuumia.

SO KAMA HUMPENDI MTU HUSIMFUATILIE NA WALA HUSIMPE TIME YAKO.

Mkuu umeandika waraka huu, insha hii kwa clouds na wasafi???? kisa bifu??

yaani mmechukua bifu too personal mpaka mnaboa

wasafi ni ya kusaga, clouds ni ya kusaga

sasa kusaga anajichukia yeye??? mbona hamna akili??

hawa wote ni waajiriwa wa mtu mmoja, na wanafanya lolote hili kutengeneza hela na wampate boya kama wewe ambaye unaandika nyaraka ndeeeefu kisa bifu la watu waliolitengeneza???? nani kawaroga?
 
Kama HUMPEMDI MTU HUSIMFUATILIE ATAKUUMIZA na KUKUKERA.
Diamond kwenye playlist yangu nyimbo zake nyingi zipo na ninakubali hustle zake na pia sina tabia ya kumchukia mtu hususani ambaye hata sijuani naye.
shida ni nyie mashabiki mandazi wa Diamond mnateseeeka usiku hamlali.
 
Mkuu umeandika waraka huu, insha hii kwa clouds na wasafi???? kisa bifu??

yaani mmechukua bifu too personal mpaka mnaboa

wasafi ni ya kusaga, clouds ni ya kusaga

sasa kusaga anajichukia yeye??? mbona hamna akili??

hawa wote ni waajiriwa wa mtu mmoja, na wanafanya lolote hili kutengeneza hela na wampate boya kama wewe ambaye unaandika nyaraka ndeeeefu kisa bifu la watu waliolitengeneza???? nani kawaroga?
msamhehe bure huyo kijana kazaliwa 1989 na hapo anavyoandika yupo amelala kwenye kochi kwa shemeji yake huko Buza.
 
Cha msingi mawingu angeacha kumtupia vijembe mond kwanza wanavyompa vijenge ndivyo wanavyompa nguvu zaid ya kupambana,wangekuwa kama ipp hawana muda na mond hata afanye nn
 
Mkuu umeandika waraka huu, insha hii kwa clouds na wasafi???? kisa bifu??

yaani mmechukua bifu too personal mpaka mnaboa

wasafi ni ya kusaga, clouds ni ya kusaga

sasa kusaga anajichukia yeye??? mbona hamna akili??

hawa wote ni waajiriwa wa mtu mmoja, na wanafanya lolote hili kutengeneza hela na wampate boya kama wewe ambaye unaandika nyaraka ndeeeefu kisa bifu la watu waliolitengeneza???? nani kawaroga?
Wale wale wanazani hatuwaoni kupitia comment zenu,kama humpendi mtu husimfuatilie atakuumiza na mtazidi kuumia

Wasafi Brand ya Diamond,Wasafi Radio ni brand inayotumia brand ya Diamond (47%) na uwekezaji wa Mrs Kusaga (53%) ,so at the end of the day ni Business kama Jordan na Nike.
 
Cha msingi mawingu angeacha kumtupia vijembe mond kwanza wanavyompa vijenge ndivyo wanavyompa nguvu zaid ya kupambana,wangekuwa kama ipp hawana muda na mond hata afanye nn
wanaompinga vijembe ni baadhi ya wafanyakazi wa clouds kina soudy brown ambao kazi yao kila mmoja anaifahamu ni umbea usio na madhara, ila kwa upande wa WCB wanaofanya kazi ya vijembe ni Diamond mwenyewe na mameneja wake wameshindwa kuvumilia kama wako frustrated hivi.
 
Hofu yangu tu watu kuhama kwenye ushindani wa biashara wakaja nje ya biashara kwa kudhuriana, hiyo ndio hofu yangu ndio maana tunatoa angalizo uko wasafi yupo mtu mmoja tu ndio anaibeba uyo mtu likitokea lakumtokea wanapoteana wale
Is this a direct threat?
 
wanaompinga vijembe ni baadhi ya wafanyakazi wa clouds kina soudy brown ambao kazi yao kila mmoja anaifahamu ni umbea usio na madhara, ila kwa upande wa WCB wanaofanya kazi ya vijembe ni Diamond mwenyewe na mameneja wake wameshindwa kuvumilia kama wako frustrated hivi.

Sema nini yule salam sk nae anapenda sana majungu
 
Wale wale wanazani hatuwaoni kupitia comment zenu,kama humpendi mtu husimfuatilie atakuumiza na mtazidi kuumia

Wasafi Brand ya Diamond,Wasafi Radio ni brand inayotumia brand ya Diamond (47%) na uwekezaji wa Mrs Kusaga (53%) ,so at the end of the day ni Business kama Jordan na Nike.

Ndio akili inakuja sasa?
 
Wale wale wanazani hatuwaoni kupitia comment zenu,kama humpendi mtu husimfuatilie atakuumiza na mtazidi kuumia

Wasafi Brand ya Diamond,Wasafi Radio ni brand inayotumia brand ya Diamond (47%) na uwekezaji wa Mrs Kusaga (53%) ,so at the end of the day ni Business kama Jordan na Nike.
akili inakurudi taratibu.
 
Ila WCB wamefanya baadhi ya nyimbo za wasanii (tena nyimbo kali tu) kutosikika mtaani.

Jana nipo YouTube nakuta kuna wimbo wa Young D/Jay Moe/Mr Blue unaitwa Jaji Kitaa (kama sijakosea).

Tena mkali tu ila No trending, wala sijasikia mtu kauongelea. Wakati WCB wakitoa wimbo kila mtu atausema ata kama mbovu.

Wasafi ni Taasisi kubwa sana. Na kwa sasa nadhani ndio talk in town kila sehemu. Waitumie vema hii nafasi.

Ila Watanzania tusiwasahau na wasanii wengine kuwapa support jitihada zao.
 
Mbabe wa MAWINGU alikuwa Ruge... Huyu ndio kaondoka na Clouds tuliyoijua kwa fitina na ubunifu wa biashara kwenye tasnia ya sanaa
Na kwa Mondi ni vema akamuandaa mrithi kuna wakati atachoka@REJESHO HURU,
hakika,,succession plan ni moja katika ya bussiness strategy muhim sana if u want to go far
 
Wale wale wanazani hatuwaoni kupitia comment zenu,kama humpendi mtu husimfuatilie atakuumiza na mtazidi kuumia

Wasafi Brand ya Diamond,Wasafi Radio ni brand inayotumia brand ya Diamond (47%) na uwekezaji wa Mrs Kusaga (53%) ,so at the end of the day ni Business kama Jordan na Nike.

Ndio akili imekuja?
 
Mkuu umeandika waraka huu, insha hii kwa clouds na wasafi???? kisa bifu??

yaani mmechukua bifu too personal mpaka mnaboa

wasafi ni ya kusaga, clouds ni ya kusaga

sasa kusaga anajichukia yeye??? mbona hamna akili??

hawa wote ni waajiriwa wa mtu mmoja, na wanafanya lolote hili kutengeneza hela na wampate boya kama wewe ambaye unaandika nyaraka ndeeeefu kisa bifu la watu waliolitengeneza???? nani kawaroga?
Diamond kaajiliwa na Nani?
 
Back
Top Bottom