Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Mbabe wa MAWINGU alikuwa Ruge... Huyu ndio kaondoka na Clouds tuliyoijua kwa fitina na ubunifu wa biashara kwenye tasnia ya sanaa
Na kwa Mondi ni vema akamuandaa mrithi kuna wakati atachoka@REJESHO HURU,
Point ,na muhimu afanye hivyo ili awe huru zaidi kutengeneza vyombo vyakutuburudisha baada yakazi ngumu.
 
Acha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?

Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh
Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingine
 
Waamue mara ngapi mkuu? Kwan figisu kwa mond wamezianza jana? Saizi wapo hoi,walianza kwa jide wakasanda,,wakaja kwa huyo Bin laden saiz mpela mpela wapo hoi..Mnachoshoshindwa kujua love ya Diamond ipo kwa watu na si kwa Kusaga au watu fulani....

So waanze kuua mashabik kwanza ndio wakamuue yeye...Damn[emoji16]
Unajua

Shida ni kwamba wcb ni part of kusagas kwahiyo wakiamua kummaliza Diamond is just a click
 
Hebu tuambie Diamond mwenye percentage chache ni ngapi? Hivi value ya Wasafi brand ni ndogo kumfanya Diamond kua royal kias hiko? Acha utani basi
Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingine
 
Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingine
Mark Zuckerburk wanzilishi wa Facebook ana 28% ,je unajua 72% anazo nani?
Lkn bado sauti anayo Facebook,alafu hii biashara inahitaji weledi na si ubabe.

Wafanya biashara wanacho angali jinsi gani ya kutengeneza faida na kushare risk ili kuhakikisha kampuni inaendela kusimama na ndio maana kuna HISA.
 
Watu humu hawajui mambo ya kumiliki hisa, akili zao ni Diamond na Ali Kiba tu.
 
Mark Zuckerburk wanzilishi wa Facebook ana 28% ,je unajua 72% anazo nani?
Lkn bado sauti anayo Facebook,alafu hii biashara inahitaji weledi na si ubabe.

Wafanya biashara wanacho angali jinsi gani ya kutengeneza faida na kushare risk ili kuhakikisha kampuni inaendela kusimama na ndio maana kuna HISA.
Sasa unataka kusema nini?...utamu ukisha big G inatemwa rafiki yangu!!!...
 
He
Hebu tuambie Diamond mwenye percentage chache ni ngapi? Hivi value ya Wasafi brand ni ndogo kumfanya Diamond kua royal kias hiko? Acha utani basi
He has to be royal kwa namna yeyote ile
 
Waamue mara ngapi mkuu? Kwan figisu kwa mond wamezianza jana? Saizi wapo hoi,walianza kwa jide wakasanda,,wakaja kwa huyo Bin laden saiz mpela mpela wapo hoi..Mnachoshoshindwa kujua love ya Diamond ipo kwa watu na si kwa Kusaga au watu fulani....

So waanze kuua mashabik kwanza ndio wakamuue yeye...Damn[emoji16]
Wewe una bisha tu wcb ni part ya kusaga kwahiyo what ever it takes Diamond lazima aeshimu matakwa ya boss wake
 
Acha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?

Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh

Bora una kiri kuwa kusaga yumo
 
Wewe una bisha tu wcb ni part ya kusaga kwahiyo what ever it takes Diamond lazima aeshimu matakwa ya boss wake
Nabisha nini nimekwambia unitajie hiyo percentage ndogo unaanza kuyumba,,mara ni part ya kusaga,mara ni ya kusaga.. unakwama wapi kwani?[emoji16]
 
NILIMSIKIA KUSAGA JANA AKISEMA "ANAO WATOTO WENGI WENGI ILA SIKU ZOTE MTOTO WA KWANZA ANA NAFASI YAKE NA NDIO ANAYEMPENDA ZAIDI AMBAYE NI CLOUDS FM," HIVYO NIKIONA WATU WANALUMBANA HUKU KUHUSU WASAFI NA CMG NACHEKA TU MAANA KUNA ULE USEMI USEMAO
"USILOLIJUA?
 
Nabisha nini nimekwambia unitajie hiyo percentage ndogo unaanza kuyumba,,mara ni part ya kusaga,mara ni ya kusaga.. unakwama wapi kwani?[emoji16]
Unataka nikwambie percent!!!...wewe kweli mbishi naturally
 
45% in business ya 100% na wewe ni jina tu unajua biashara kweli au una bishana (45% kuna Mendez humo humo)
Kwa mujibu wa Documment ya TCRA mmiliki wa 45% kisheria ni Nasib Abdul.

Huyo Mendez yupo kwenye document yako.

1920059_2F0C8334-CFE4-4F05-8BB9-916DCA348955.jpeg
1920059_2F0C8334-CFE4-4F05-8BB9-916DCA348955.jpeg
 
Back
Top Bottom