Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Point ,na muhimu afanye hivyo ili awe huru zaidi kutengeneza vyombo vyakutuburudisha baada yakazi ngumu.Mbabe wa MAWINGU alikuwa Ruge... Huyu ndio kaondoka na Clouds tuliyoijua kwa fitina na ubunifu wa biashara kwenye tasnia ya sanaa
Na kwa Mondi ni vema akamuandaa mrithi kuna wakati atachoka@REJESHO HURU,
Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingineAcha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?
Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh
Unajua
Shida ni kwamba wcb ni part of kusagas kwahiyo wakiamua kummaliza Diamond is just a click
Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingine
Mark Zuckerburk wanzilishi wa Facebook ana 28% ,je unajua 72% anazo nani?Wasafi ni jina la biashara kwahiyo Diamond Ana percent chache kulingana na kusaga that means ni Diamond kuwa royal kwa kusaga hakuna kingine
Duh! Poa mkuu uwe na siku njemaNa kusaga
Sasa unataka kusema nini?...utamu ukisha big G inatemwa rafiki yangu!!!...Mark Zuckerburk wanzilishi wa Facebook ana 28% ,je unajua 72% anazo nani?
Lkn bado sauti anayo Facebook,alafu hii biashara inahitaji weledi na si ubabe.
Wafanya biashara wanacho angali jinsi gani ya kutengeneza faida na kushare risk ili kuhakikisha kampuni inaendela kusimama na ndio maana kuna HISA.
He has to be royal kwa namna yeyote ileHebu tuambie Diamond mwenye percentage chache ni ngapi? Hivi value ya Wasafi brand ni ndogo kumfanya Diamond kua royal kias hiko? Acha utani basi
Wewe una bisha tu wcb ni part ya kusaga kwahiyo what ever it takes Diamond lazima aeshimu matakwa ya boss wakeWaamue mara ngapi mkuu? Kwan figisu kwa mond wamezianza jana? Saizi wapo hoi,walianza kwa jide wakasanda,,wakaja kwa huyo Bin laden saiz mpela mpela wapo hoi..Mnachoshoshindwa kujua love ya Diamond ipo kwa watu na si kwa Kusaga au watu fulani....
So waanze kuua mashabik kwanza ndio wakamuue yeye...Damn[emoji16]
Biashara hujui ww,unatema vipi wakati ana 45% kisheria.Sasa unataka kusema nini?...utamu ukisha big G inatemwa rafiki yangu!!!...
Acha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?
Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh
Nabisha nini nimekwambia unitajie hiyo percentage ndogo unaanza kuyumba,,mara ni part ya kusaga,mara ni ya kusaga.. unakwama wapi kwani?[emoji16]Wewe una bisha tu wcb ni part ya kusaga kwahiyo what ever it takes Diamond lazima aeshimu matakwa ya boss wake
45% in business ya 100% na wewe ni jina tu unajua biashara kweli au una bishana (45% kuna Mendez humo humo)Biashara hujui ww,unatema vipi wakati ana 45% kisheria.
He
He has to be royal kwa namna yeyote ile
Unataka nikwambie percent!!!...wewe kweli mbishi naturallyNabisha nini nimekwambia unitajie hiyo percentage ndogo unaanza kuyumba,,mara ni part ya kusaga,mara ni ya kusaga.. unakwama wapi kwani?[emoji16]
Hehehe hatari sanaBasi hata kusaga nayeye yupo loyal..mana wcb brand kubwa sio kitoto
Kwa mujibu wa Documment ya TCRA mmiliki wa 45% kisheria ni Nasib Abdul.45% in business ya 100% na wewe ni jina tu unajua biashara kweli au una bishana (45% kuna Mendez humo humo)