Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Mkuu experience ya miaka 20 sio mchezo, Ruge kafanya sehemu yake na bado wengine wanaendelea alipoishia,
hakuna taasisi inayokuwa inategemea akili za mtu mmoja tuweke tu akiba ya maneno maana hao Clouds wanachofanya leo wamekipractice for 20 years na ni team nzima sio mtu mmoja.
Unajua nmesoma hii coment yako nikawaza moyoni kwamba kumbe Aliyewaita chadema nyumbu hakukosea. Mbona nyie mnategemea Mbowe pekee mkuu pale chadema?
 
Diamond kwenye playlist yangu nyimbo zake nyingi zipo na ninakubali hustle zake na pia sina tabia ya kumchukia mtu hususani ambaye hata sijuani naye.
shida ni nyie mashabiki mandazi wa Diamond mnateseeeka usiku hamlali.
Acha uboya DIAMOND BABA YAKO
 
Kuna kaujinga flan nakaona kapo humu na watu wanakaendeleza cjui ni chuki ama ni upopoma ua ufala (in mzee wa upako's voice) au ndo wale marofa wa mh B.W. Mkapa... Hivi unawezaje kusema WCB inamilikiwa na Kusaga? Unaijua WCB ni kitu gani?... Kuna mwingine kanvunja mbavu mpaka nkasema mzee Lowasa hakukosea aliposema Elimu Elimu Elimu, eti mondi anamilikiwa na Kusaga... Hahahaaaah! dadek kuna vichwa vya watu humu vimejaa funza aseee....

Kwa nijuavyo mie na watanzania wengi wenye elimu ya biashara na sio mataputapu ya vilabu uchwara vya pale Manzese ni kuwa Wasafi Media ndo ina uwekezaji wa mke wa Kusaga na si Kusaga... Na huo uwekezaji hauhusiani kabisa na Mond km msanii wala label yake ya WCB Wasafi, hata studio zake za video na audio productions na hata ile festival haipo kwenye huo uwekezaji a.k.a umiliki...

So bifu la Mond na Clouds Media linamuathiri sana Kusaga kwa vile Wasafi Media sio target ya Mond haters na haiathiriwi na hilo bifu (wenye akili washanielewa namaanisha nini)

NAWASILISHA
 
Diamond Vs Clouds Media, ni mlinganisho usio sahihi, Diamond ni msanii, Clouds ni media house.

Pia kuifanya Clouds kama label ya mziki si sahihi, na hii ndio inafanya wasanii wawe wanyonge badala ya kuwa wadau ambao media yoyote inaweza fanya nao kazi.

Ulinganifu sahihi kwa Diamond uwe na wasanii wenzake au mafanikio yao kutokana na kazi zao za sanaa.

Wasanii wanatakiwa wajitambue thamani yao, wasiruhusu mtu au media kuwawekea mipaka ya ufanyaji kazi zao za sanaa.
very true.....
 
Acha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?

Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh

Halafu huyo ni mtu mzima ujue, ongea naye kistaarabu!

Eti Diamond kaajiriwa na Kusaga (kwa sauti ya kubana pua). Mnajua nguvu ya Brand nyie? Mtu anaweza asiweke hata senti tano akaweka Brand yake na mkapasua pasu shares za kampuni, acheni masihara jamani. Uzeni hata nyanya mjue struggle ya kutengeneza brand labda kidogo mtafahamu thamani yake.
 
Halafu huyo ni mtu mzima ujue, ongea naye kistaarabu!

Eti Diamond kaajiriwa na Kusaga (kwa sauti ya kubana pua). Mnajua nguvu ya Brand nyie? Mtu anaweza asiweke hata senti tano akaweka Brand yake na mkapasua pasu shares za kampuni, acheni masihara jamani. Uzeni hata nyanya mjue struggle ya kutengeneza brand labda kidogo mtafahamu thamani yake.
Hahahahahahahahah Wauze hata nyanya.
 
Hofu yangu tu watu kuhama kwenye ushindani wa biashara wakaja nje ya biashara kwa kudhuriana, hiyo ndio hofu yangu ndio maana tunatoa angalizo uko wasafi yupo mtu mmoja tu ndio anaibeba uyo mtu likitokea lakumtokea wanapoteana wale
Sasa redio haina mwaka unalalama inataka kufananisha na wenye miaka 20 kwenye game lakin kwa mwaka huu wamekubali shoo na mwakani watakubali zaidizaidi sana.
 
Back
Top Bottom