Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kwa mujibu wa Documment ya TCRA mmiliki wa 45% kisheria ni Nasib Abdul.

Huyo Mendez yupo kwenye document yako.
Brella umeenda!!!...Tcra ni watoa leseni tu rafiki yangu!!!..unabisha tu...na mishipa inakutoka
 
Brella umeenda!!!...Tcra ni watoa leseni tu rafiki yangu!!!..unabisha tu...na mishipa inakutoka
Brella na TCRA vyombo vya serikali,TCRA yy ndiye aliyegawa bandwidth kupitia wamiliki wanaotambulika na BRELA na ndio maana ktk ile Document TCRA anawatambua watu watatu.
 
Brella na TCRA vyombo vya serikali,TCRA yy ndiye aliyegawa bandwidth kupitia wamiliki wanaotambulika na BRELA na ndio maana ktk ike Document TCRA anawatambua watu watatu.
Kama hujui kitu Bora ukaa kimya tu!!!
 
Kama hujui kitu Bora ukaa kimya tu!!!
Yaani umiliki kampuni alafu BRELA wasijue.
Ukitaka kufungua kampuni yoyote wa kwanza kumuona BRELA,alafu ndio unaenda kwenye taasisi nyingine kama TRA,TCRA nk ,ambao data wanapata kutoka BRELA.

Mondi na partners wamefungua kampuni ya maswala ya Broadcasting so lazima akajiandikishe BRELA,alafu BRELA watampeleka TCRA na TCRA akitaka kujua wamiliki ataenda BRELA kwa hiyo hao wa miliki waliochapishwa TCRA kawajua kupitia BRELA.

Au wewe unazani ukitaka kufungua radio au TV kwanza unaenda TCRA,bila kupitia BRELA?
 
Yaani umiliki kampuni alafu BRELA wasijue.
Ukitaka kufungua kampuni yoyote wa kwanza kumuona BRELA,alafu ndio unaenda kwenye taasisi nyingine kama TRA,TCRA nk ,ambao data wanapata kutoka BRELA.

Mondi na partners wamefungua kampuni ya maswala ya Broadcasting so lazima akajiandikishe BRELA,alafu BRELA watampeleka TCRA na TCRA akitaka kujua wamiliki ataenda BRELA kwa hiyo hao wa miliki waliochapishwa TCRA kawajua kupitia BRELA.

Au wewe unazani ukitaka kufungua radio au TV kwanza unaenda TCRA,bila kupitia BRELA?
Rafiki yangu nimekwambia Tcra ni watoa license nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki wa company ni kinanani?...unaanza story ndio nimekwambia Kama hujui ni Bora ukakaa kimya!!!
 
Rafiki yangu nimekwambia Tcra ni watoa license nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki wa company ni kinanani?...unaanza story ndio nimekwambia Kama hujui ni Bora ukakaa kimya!!!
Wewe ndiye hujui,hizi taasisi kazi zipo tofauti,ila kuna wakati lazima zisaidiane at zifanye kazi pamoja.

Hata TRA kabla hujaenda kwao lazima uanze BRELA,baadaye utaenda TRA na TRA watataka kujiridhisha kwamba umeisajili kampuni yako BRELA,wataomba data zako Kutoka BRELA na watajua wakukadilie kiasi gani cha kodi.
 
Wewe ndiye hujui,hizi taasisi kazi zipo tofauti,ila kuna wakati lazima zisaidiane at zifanye kazi pamoja.

Hata TRA kabla hujaenda kwao lazima uanze BRELA,baadaye utaenda TRA na TRA watataka kujiridhisha kwamba umeisajili kampuni yako BRELA,wataomba data zako Kutoka BRELA na watajua wakukadilie kiasi gani cha kodi.
Narudia tena kama hujui ni Bora ukakaa kimya tu!!!...
 
Tatizo la Clouds wanajishtukia na tatizo lao kubwa hawampendi Diamond,wanatamani kumwona anatetereka lkn dogo haanguki kila siku anazidi toboa.Usifanye msihala kufanya show ktk nchi za Anglophone as a Main Act.

Yeye mwenyewe alishasema wasipige nyimbo zake na wa simfiatilie.Kafanya Wasafi Festival kesho Asubuhi Soudy na Diva wanaanza kuponda,WCB wamemchunia.Haya show ya jana huko Gunea baada ya kuwa na mafanikio makubwa mara akina Soudy na Diva,show kingililio kilikuwa bei rahisi,mara wasanii walikuwa wengi hakuwa peke yake,wamesahau wao washaandaa show kibao zina wasanii kibao lkn zinakuwa na MAIN ACT,basi waelewe tu japokuwa itawaumiza Gunea kwa mujibu wa waandaaji MAIN ACT alikuwa Diamond Platnumz.

Diamond mwenyewe alisema hataki wapige nyimbo zake wala kumfuatilia na wao CMG wana utaratibu wao ukikoseana nao hapigi nyimbo zako wala kukuongelea mf Lady Jay dee.Lady Jay dee kishafanya matamasha kibao lkn hawampigi vijembe Why Diamond?
Kwa kifupi jamaa wamemshinda,walilolitegemea litokee kwa Mondi halijatokea na kila siku anfanya vizuri.

Cha Msingi CMG waache kumfuatilia Diamond kwani wakiendelea kumfuatilia watazidi kuumia na kukereka,Diamond kila siku ana achieve kitu kipya kikubwa ,mwezi huu tu ana show ktk nchi zaidi nne za Anglophone as Main act.Wao waendelea na mambo yao Mondi nae anaendelea na mambo yake.

Swala Kwamba Mondi akianguka WCB ina anguka hayo ni ya mbele tumwachie Mungu,unaweza ukatabiri kuanguka kwa Mondi hujui kesho Clouds ikaanguka Mondi akaendelea kusimama.Kuna watu walikuwa wanamiliki kampuni kubwa tu zinazoingiza mabilioni ya shilingi Duniani lkn yaka anguka so yote yanawezekana.

Cha msingi wawe kama EA TV na Redio wao Mondi hata afanye vizuri au vibaya hawampigi vijembe wala hawamfuatilii kwa kifupi hawana time na Mondi.

Sasa wewe humpendi Mondi,hupigi nyimbo zake BADO UNAMFUATILIA kuanzia mziki wake mpaka event zake,alafu unategemea afeli kumbe unalolitegemea halimpati zaidi ya dogo kufanya vizuri na hiki ndicho kinawaumiza Clouds na WATAENDELEA kuumia.

SO KAMA HUMPENDI MTU HUSIMFUATILIE NA WALA HUSIMPE TIME YAKO.
2E0015A9-93D0-4009-A89E-031B202F328B.png

Hiyo ndio poster Yao wapi wamesema Domo main act?damn
 
Wewe ndiye ufiche ujinga wako.
Mjinga ni yule asiyejua kitu lakini anangania anajua!!!... biashara nyingi zinatumia licence ambazo siyo za wamiliki wa biashara hizo!!..ndio maana nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki kina nani!!!...Ndugu Mishipa inmekusimaa ohh ohhh ohhh
 
Mjinga ni yule asiyejua kitu lakini anangania anajua!!!... biashara nyingi zinatumia licence ambazo siyo za wamiliki wa biashara hizo!!..ndio maana nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki kina nani!!!...Ndugu Mishipa inmekusimaa ohh ohhh ohhh
TCRA lazima aende BRELA kujua wamiliki wa kampuni ili kuepusha kwapa bandwidth kampuni HEWA.

TCRA anawajua wamiliki wa Wasafi kupitia BRELA alafu ndio anawapa bandwith kuepuka kampuni HEWA.

Kama una bisha bisha lkn ninacho ongea NAKIJUA.
 
Kwenye biashara kuna umafia ukiona uyu mwenzangu vipi basi umafia unabidi utumike akijulikana nani the master of the game uyo uyo wana deal naye

Tuliona kilichomkuta 2 PAC, na B.I. G

Kwaiyo WCB inabebwa na mtu mmoja tu DIAMOND tofauti na CLOUDS MEDIA kwaiyo kama mpo kwenye biashara endeleeni ila kama mpo kwenye serious battle hakuna kuchekeana usoni tunapambana kuona nani mjanja WCB mnajidanganya
Uzi wa kibwege
 
Mbabe wa MAWINGU alikuwa Ruge... Huyu ndio kaondoka na Clouds tuliyoijua kwa fitina na ubunifu wa biashara kwenye tasnia ya sanaa
Na kwa Mondi ni vema akamuandaa mrithi kuna wakati atachoka@REJESHO HURU,
You have a point chief
 
Sasa ww unaongea vitu usivyo vijua ulitaka nikuvungie? Mbona unaanza swaga za diva the bawse,[emoji16]
Unataka nikwambie percent!!!...wewe kweli mbishi naturally
 
Back
Top Bottom