Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Unajua
Shida ni kwamba wcb ni part of kusagas kwahiyo wakiamua kummaliza Diamond is just a click
 
Unajua

Shida ni kwamba wcb ni part of kusagas kwahiyo wakiamua kummaliza Diamond is just a click
Mondi Taasisi hata Kusaga hana ubavu wa kumshusha Mondi,Kusaga anajua impact ya brand ya WASAFI ktk biashara.

Diamond akisema brand yake ya WASAFI isitumike pale Wasafi TV na Radio,basi TV na Radio hamna kitu.

Diamond karanga si mlisema ya Kusaga na wale wahindi,Mondi kakataa kuongeza mkataba,je Diamond karanga unaziona mtaani.?

Usione Nike wajinga kumng'ang'ania Jordan,Jordan akisema Nike wasitumie brand yake ,Nike mauza ya viatu,nguo yata poromoka.
 
Hamna kitu Kama hicho wasafi is just a business name Kama ilivyokua choice fm Sasa wanaita classic fm
 
Zipo karanga fresh fwatilia vizuri
 
Babu msondo ishakufa,hebu mwacheni dhahabu afanye yake
Simchukii Diamond anatafuta rizki yake na maneno hayawezi kumzuiya kufikia mafanikio yake.

Tatizo liko kwa nyie mashabiki mandazi mnatokwa mapovu weeeee ila anayeingiza pesa kwenye both radio anabaki kuwa Kusaga.
 
Hamna kitu Kama hicho wasafi is just a business name Kama ilivyokua choice fm Sasa wanaita classic fm
Ndio maana yake na lina nguvu ktk entertainment Industry,ndio maana ni rahisi kupromote bidhaa yako kupitia brand ya WASAFI.
 
Acha unazi basi [emoji16][emoji16], kwanza be specific wasafi gani ya kusaga? Kama ni Brand basi Diamond ndio mweny wasafi yake,kama ni media pale kuna percentage ,sasa kusaga utasemaje yake? Kwani anamilik 100%?

Yani unazi wa Wawingu mnataka kuupeleka hadi WCB? Hizi akili za Diva the bawse zimewaingia badi mashabik wa Mawingu..doh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…