Kama biashara sawa kama utoto wa mjini WCB hamuwezi

Kwa mujibu wa Documment ya TCRA mmiliki wa 45% kisheria ni Nasib Abdul.

Huyo Mendez yupo kwenye document yako.
Brella umeenda!!!...Tcra ni watoa leseni tu rafiki yangu!!!..unabisha tu...na mishipa inakutoka
 
Brella umeenda!!!...Tcra ni watoa leseni tu rafiki yangu!!!..unabisha tu...na mishipa inakutoka
Brella na TCRA vyombo vya serikali,TCRA yy ndiye aliyegawa bandwidth kupitia wamiliki wanaotambulika na BRELA na ndio maana ktk ile Document TCRA anawatambua watu watatu.
 
Brella na TCRA vyombo vya serikali,TCRA yy ndiye aliyegawa bandwidth kupitia wamiliki wanaotambulika na BRELA na ndio maana ktk ike Document TCRA anawatambua watu watatu.
Kama hujui kitu Bora ukaa kimya tu!!!
 
Kama hujui kitu Bora ukaa kimya tu!!!
Yaani umiliki kampuni alafu BRELA wasijue.
Ukitaka kufungua kampuni yoyote wa kwanza kumuona BRELA,alafu ndio unaenda kwenye taasisi nyingine kama TRA,TCRA nk ,ambao data wanapata kutoka BRELA.

Mondi na partners wamefungua kampuni ya maswala ya Broadcasting so lazima akajiandikishe BRELA,alafu BRELA watampeleka TCRA na TCRA akitaka kujua wamiliki ataenda BRELA kwa hiyo hao wa miliki waliochapishwa TCRA kawajua kupitia BRELA.

Au wewe unazani ukitaka kufungua radio au TV kwanza unaenda TCRA,bila kupitia BRELA?
 
Rafiki yangu nimekwambia Tcra ni watoa license nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki wa company ni kinanani?...unaanza story ndio nimekwambia Kama hujui ni Bora ukakaa kimya!!!
 
Rafiki yangu nimekwambia Tcra ni watoa license nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki wa company ni kinanani?...unaanza story ndio nimekwambia Kama hujui ni Bora ukakaa kimya!!!
Wewe ndiye hujui,hizi taasisi kazi zipo tofauti,ila kuna wakati lazima zisaidiane at zifanye kazi pamoja.

Hata TRA kabla hujaenda kwao lazima uanze BRELA,baadaye utaenda TRA na TRA watataka kujiridhisha kwamba umeisajili kampuni yako BRELA,wataomba data zako Kutoka BRELA na watajua wakukadilie kiasi gani cha kodi.
 
Narudia tena kama hujui ni Bora ukakaa kimya tu!!!...
 

Hiyo ndio poster Yao wapi wamesema Domo main act?damn
 
Wewe ndiye ufiche ujinga wako.
Mjinga ni yule asiyejua kitu lakini anangania anajua!!!... biashara nyingi zinatumia licence ambazo siyo za wamiliki wa biashara hizo!!..ndio maana nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki kina nani!!!...Ndugu Mishipa inmekusimaa ohh ohhh ohhh
 
Mjinga ni yule asiyejua kitu lakini anangania anajua!!!... biashara nyingi zinatumia licence ambazo siyo za wamiliki wa biashara hizo!!..ndio maana nikakuuliza umeenda brella ukaona wamiliki kina nani!!!...Ndugu Mishipa inmekusimaa ohh ohhh ohhh
TCRA lazima aende BRELA kujua wamiliki wa kampuni ili kuepusha kwapa bandwidth kampuni HEWA.

TCRA anawajua wamiliki wa Wasafi kupitia BRELA alafu ndio anawapa bandwith kuepuka kampuni HEWA.

Kama una bisha bisha lkn ninacho ongea NAKIJUA.
 
Uzi wa kibwege
 
Mbabe wa MAWINGU alikuwa Ruge... Huyu ndio kaondoka na Clouds tuliyoijua kwa fitina na ubunifu wa biashara kwenye tasnia ya sanaa
Na kwa Mondi ni vema akamuandaa mrithi kuna wakati atachoka@REJESHO HURU,
You have a point chief
 
Sasa ww unaongea vitu usivyo vijua ulitaka nikuvungie? Mbona unaanza swaga za diva the bawse,[emoji16]
Unataka nikwambie percent!!!...wewe kweli mbishi naturally
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…