[emoji23][emoji23][emoji23]Kwamba nileta original kwamba hautambui uwepo wa ivyo vitabu ,ua lah basi bible inatambua we kilaza hamna unachojua wala sitaki tabu ivyo vitabu kaangalie kweny bible wamevitaja ..we kajamba nane wa porini hamna unachojua nabishana na wenye akili sio wapumbavu hamtaki kuelewa
Mpk Sasa mleta Uzi hajatokea ...kwhy Uzi ufungwe na leo iwe mwisho na mwanzo kujifanya mjuaji ...Uwezo wa kufikiri wa mleta Uzi haulingani na Uzi kimo Cha Uzi aliouleta.....mpk Sasa waislamu 5:0 dhidi ya mleta Uzi ...Ndg wasikilizaji na watazamaji mpaka ktk huu mtifuano nimefanikiwa kuyaona yafuatayo;
1. Mtoa mada ameweka wazi kuwa analinganisha hivi vitabu 'kimahakama'. Nilivyoelewa mimi hapo ni 'kidunia'.......i.e kipeter kibatala au kitundu lissu au kigenerali ulimwengu. 'Udunia' na 'Uroho' kuna wakati km vinapishana hv; siajabu ndo maana mtoa mada ameona kujirudia kwa baadhi ya habari za Biblia ktk Qur'an ni upuuzi tu kwake. Xiahabu ndo maana mtoa mada ameshangaa kwanini Muhammad amehangaika kuwazungumzia watu wengine badala ya Waarab wenzake tu (wa Mekka au Madina, bila shaka).
2. Kwakuwa kichwa cha habari chake kimeidunisha Qur'an, basi wale wasioipenda na wasiowapenda wafuasi wake wameibuka kwa shangwe kwelikweli huku wakisahau kupitia kwa kina habari nzima, tena neno kwa neno, ili waone jinsi gani upande wao ulivyoelezwa kuwa sio wao.
3. Mada imesheheni tuhuma kuwa Waislamu hawawapendi/wana chuki na Wakristo, lakini ajabu wanaosema hivyo wao ndo wameshindwa hata kujuzuia na chuki zao kwa Waislamu kiasi kwamba wanaweka kabisa maandishi ya kuwaprovoke. Hiyo huju mtandaoni, ukienda nje sote tuna majibu kuwa ni maeneo ya watu wa imani gani huwa kunakuwa kumesheheni matendo ya kikatili na ddhulma zaidi......
4. Mada ni kubwa kuliko mtoa mada. Sijasoma dini, sina uzoefu wa kubishana katika dini lakini ninaona kabisa baadhi ya hoja zinashangaza kidogo.
5. ........
Tuendelee kuwasikilizia wajuzi........
Hujui kitu kilaza Kaa pembeni..kasomeWewe kilaza mfia dini umeamua kufanya vihoja na kuwa joker badala ya kujibu hoja.
Poor you.
Huyu jamaa bora awe anachambua mambo yanayohusu wanawake kwenye dini mweupe kabisa hana ushahidi na hafanyii utafiti kile anachokizungumza , hata mkiristo mwenzake Championship kuna siku alimkosoa jamaa na kudai hata Bible hajua anatafsiri maandiko kiujanja ujanja.Mtu anayesema Mtume Muhammad (Swalla Allahu 'Alayhi Wa Aalihi Wa Sallam) alikuwa anatokea kabila la Wakurdi
Mtu ambaye anasema Malakul Mawt anaitwa Izrael na sababu ya kuitwa hivyo ni eti uhasama wa waarabu na wayahudi.
Eti mtu huyu anataka kujibiwa hoja zake. Hoja gani? Anatakiwa asome kwanza. Huyu mtu nimegundua kuna watu wanamkuza kumuweka mahali isiyo yake naye ameghurika.
Maswali uliyomuuliza hatoweza kuyajibu (na sidhani kama kayaelewa kwanza) ila katika kubainisha kwake na kwa wenzie ni sawa kuuliza maswali hayo ni muhimu sana waulizwe. Huenda Allah akawapa akawaongoza.
Umejiona jinsi ulivyo empty minded...akili zako ni hilo tako hpo kweny picha yakoSisi wakristo tukiamua kuchinja kivyetu tusijumuike kwenye ibada zenu za kuinamia kibla hamtauza kamwe.
Jibu hoja na wewe , thibitisha tukio la vita huko mbinguni katika biblia nani alikuwepo ?Wewe kilaza mfia dini umeamua kufanya vihoja na kuwa joker badala ya kujibu hoja.
Poor you.
Yoda na Retired bakini kule kule kwenye jukwaa la siasa ...Huu Uzi hamuuwezi ...ndio mana Tindo na brazaj na akina @Johnthebatist hamuwaoni huku...Wanalinda heshima zao...sio Kama Uzi hawauoni ila una kina kirefu....Wewe kilaza mfia dini umeamua kufanya vihoja na kuwa joker badala ya kujibu hoja.
Poor you.
Kwahyo Allah anajipinga humohumo kwenye Quran? Sehem zingine kaumba kwa udongo sehem zingine kaumba kwa damu iliyoganda tufate kipi?“Na kwa yakini Tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo. Kisha Tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti. Kisha Tukaiumba tone kuwa ‘Alaqah (ruba, kitu chenye kusubirishwa, na tone la damu), na Tukaiumba ‘Alaqah kuwa Mudhwghah (kitu kilichotafunwa, yaani pande la nyama)…”
Qur'an 23:12-14)
Simple Quran haina mba mba mba inanyoosha maelezo fresh.
Hii Mitume ipo mingi Sana mingine inakaanga korosho huku mtambaswala ha haahaa ...Huyu jamaa bora awe anachambua mambo yanayohusu wanawake kwenye dini mweupe kabisa hana ushahidi na hafanyii utafiti kile anachokizungumza , hata mkiristo mwenzake Championship kuna siku alimkosoa jamaa na kudai hata Bible hajua anatafsiri maandiko kiujanja ujanja.
Hili ndio tatizo la mtu kujifanya mjuzi kila kitu na kuiamini sana akili yako kinyume na uhalisia ,kuna uzi wake wa kudai "Putin ni Nabii au Mtume wa zama hizi ametumwa na Mungu " yaani ugoro mtupu hajui hata vigezo vya Mtume na Nabii.
Hakuna urefu wowote, these are simple issues of religion stories! Dini ni mastory tu, hakuna ukweli wowote!una kina kirefu....
Hii Ni defense mechanism turudi kwny spiritual and practical values uislamu utabaki kuwa Best....Hutaki achaHakuna urefu wowote, these are simple issues of religion stories! Dini ni mastory tu, hakuna ukweli wowote!
Hii Ni defense mechanism turudi kwny spiritual and practical values uislamu utabaki kuwa Best....Hutaki acha
Kwa uelewa wako ni ngumu sana mimi kujadiliana na wewe!!!Kwa Uelewa wako huo msahafu uliopo nyumbani wakati WA Mtume ulikuwepo?
Alafu ukimaliza kujibu Hilo swali naomba ujinu hoja mojamoja za Uzi huu. Ili wenzako waelewe.
Jibu Kwa mantiki Kama upo mahakamani
Nimezaliwa mkristu nimeenda kanisani na kujifunza mengi. Naelewa taratibu za kikristu kwa kiasi chake.Umesema haupo kwenye kuamini dini yyte sasa Umejuaje huyu km sio yesu au mavazi sio ya kwake.
Kwahyo Allah anajipinga humohumo kwenye Quran? Sehem zingine kaumba kwa udongo sehem zingine kaumba kwa damu iliyoganda tufate kipi?
Then hayo maelezo hapo unahisi yanaakisi kinachotokea kwenye reproducrtion?
Tusome hiyo Aya yote then tukuoneshe makosa aliyokosea Muhamad kuhusu reproduction?
Hapo sijadili Mungu najadili uhusiano wa vitabu vya dini vinavyosema vimetokana na Mungu lakini havina uthibisho wa kutokana Mungu zaidi vyenyewe kudai kwenye maandishi kuwa ndio vimetokana na Mungu.Pale unapomfikiria mungu kam binadamu
Mpk Sasa mleta Uzi hajatokea ...kwhy Uzi ufungwe na leo iwe mwisho na mwanzo kujifanya mjuaji ...Uwezo wa kufikiri wa mleta Uzi haulingani na Uzi kimo Cha Uzi aliouleta.....mpk Sasa waislamu 5:0 dhidi ya mleta Uzi ...
Ukisikiliza watu wanavyosisitiza wanasema ”allah ni mmoja tu” tena kwa ishara ya kidole kimoja ila in reality ukisoma kwenye kitabu au hao hao wanaosema alah ni mmoja watakuambia kwa wingi!!!“Na kwa yakini Tumemuumba mtu kutokana na asli ya udongo. Kisha Tukamjaalia awe tone ya mbegu ya uzazi katika kalio madhubuti. Kisha Tukaiumba tone kuwa ‘Alaqah (ruba, kitu chenye kusubirishwa, na tone la damu), na Tukaiumba ‘Alaqah kuwa Mudhwghah (kitu kilichotafunwa, yaani pande la nyama)…”
Qur'an 23:12-14)
Simple Quran haina mba mba mba inanyoosha maelezo fresh.
Bora umesema ukweli ,,,na ukweli humuweka mtu huru,,sisi kwetu huku unaweza kuhoji kila Jambo na ukapewa majibu....kiongozi wa dini na waumini wote Ni sawa ,,hakuna mkubwa zaidi ya Muumba...pia tunapeana nasaha juu ya kutenda wema kwhy Ni juu ya mtu mwenyewe kufuata...akifa Bado tutamzika Kama km muislam hata km alikuwa Cha pombe...Nimezaliwa mkristu nimeenda kanisani na kujifunza mengi. Naelewa taratibu za kikristu kwa kiasi chake...
Hata sasa hivi ilibidi kwenda Church naenda ingawa si kwa matakwa yangu ni mambo ya kijamii tu ndo yaninipeleka huko.
But linapokuja suala la kiimani kuna vitu naona havipo sawa na havijawahi kuniingia akilini. Biblia ina mambo mengi tu ya ajabu yasiyoeleweka na ukihoji unaonekana una pepo sijui. Hawataki uhoji maana hawana majibu ya kuridhisha.
Kwahiyo ndani ya moyo wangu kuna mkanganyiko. Najua nikifa nitazikwa na wakristu lakini kama kweli Mungu yupo basi anauelewa msimamo wangu.