Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Kwani wewe Gavana, unatumia Qurani gani ?Nimekusikia sasa jibu swali
Wewe umesema unaitumia QJV , jee
Unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Wewe tumia biblia Kati ya 1000 ulizosema unazo ,jibu swali kwa kutumia uliyonayo weweNimekusikia sasa jibu swali
Wewe umesema unaitumia QJV , jee
Unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Jibu swaliWewe tumia biblia Kati ya 1000 ulizosema unazo ,jibu swali kwa kutumia uliyonayo wewe
Pangua swali moja baada ya jingine kwa chaguo lako la biblia
Umeuliza biblia ipi natumia nimekujibu bado unarukaruka tu
Umemuuliza mtoa mada biblia ipi amekujibu na kanisa kakujibu bado unarukaruka
biblia sio maneno yote ni ya Mungu Kuna watu wameandika history zao na maisha Yao Kuna maneno ya Mungu moja kwa mojaJibu swali
Wewe umesema unaitumia QJV , jee
Unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Jibu unaloulizwa , usituletee ngonjerabiblia sio maneno yote ni ya Mungu Kuna watu wameandika history zao na maisha Yao Kuna maneno ya Mungu moja kwa moja
Ngoja nikusaidie kijana , gusa link utakuta biblia zaidi ya 20 tumia unayotaka ujibu maswali
Nimeshakujibu biblia sio maneno yote ni ya Mungu hilo ndio jibu la mwisho,Jibu unaloulizwa , usituletee ngonjera
Wewe umesema unaitumia QJV , jee
Unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Mimi nime anza kuku uliza wewe unatumia qurani gani.Wewe unaitumia QJV ,? jee
Unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Nimekuuliza QJV jee unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?Nimeshakujibu biblia sio maneno yote ni ya Mungu hilo ndio jibu la mwisho,
Sasa jibu mada
Mimi sijaandika thread Nimo kuwauliza nyinyi na hivyo vitabu vyenuMimi nime anza kuku uliza wewe unatumia qurani gani.
Nijibu kwanza ili na mimi nikujibu.
Biblia sio maneno yote ni ya Mungu yapo ya binadamu mpaka yapo maneno ya shetani kaongeaNimekuuliza QJV jee unaiamini kuwa ni maneno ya Mungu?
Sasa umo kuuliza au kujibu mtoa threadMimi sijaandika thread Nimo kuwauliza nyinyi na hivyo vitabu vyenu
Sijakujibu wewe au unatumia id 3Sasa umo kuuliza au kujibu mtoa thread
Mimi naiamini, wewe unaiamini qurani gani ?Mimi sijaandika thread Nimo kuwauliza nyinyi na hivyo vitabu vyenu
Jee wewe unaiamini biblia ya QJV?
Ninazo 10 inategemea umejibu ipiSijakujibu wewe au unatumia id 3
Kwa hivyo unaiamini au huiamini?Biblia sio maneno yote ni ya Mungu yapo ya binadamu mpaka yapo maneno ya shetani kaongea
Unachanganya biblia na Koran ndio shida Yako
Walioandika QJV waliamua kuondoa maneno yote yanayokaripia mashoga na wakaweka maneno wanayopenda wao
Sasa Rudi kwenye mada jibu maswali
Kwa hivyo ninapojibu nielewe kuwa Mokiti ni Robert pia ni Che mittoga au vipi?Ninazo 10 inategemea umejibu ipi
For the sake of argument, tumeshakujibu sasa itumie hiyo QJV ujibu maswali ya post number 1Kwa hivyo unaiamini au huiamini?
NdioKwa hivyo ninapojibu nielewe kuwa Mokiti ni Robert pia ni Che mittoga au vipi?
Kwa hivyo unaiamini au huiamini?For the sake of argument, tumeshakujibu sasa itumie hiyo QJV ujibu maswali ya post number 1