hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
Na alifikaje afrika kutoka bustani ya edeni?
Na ilikuwaje hadi mzungu mwarabu walikuja kumwambia muafrika mungu yupo wakati huo wote walitoka sehemu moja?
Na ilikuwaje mungu kila mtu anamuita kwa jina lake na wakati huo aliye waumba ni mmoja na jina lake alifahamika kwa jina moja toka alivyo waumba?
Na ilikuwaje hadi mzungu mwarabu walikuja kumwambia muafrika mungu yupo wakati huo wote walitoka sehemu moja?
Na ilikuwaje mungu kila mtu anamuita kwa jina lake na wakati huo aliye waumba ni mmoja na jina lake alifahamika kwa jina moja toka alivyo waumba?