Kama binadamu aliumbwa kwa 100% je, ilikuwaje mwaafrika akawa mtu mweusi?

Kama binadamu aliumbwa kwa 100% je, ilikuwaje mwaafrika akawa mtu mweusi?

Mungu alisema na tumuumbe mtu kwa mfano wetu, je? SURA YA MUNGU UNAIJUA?
 
POLE SANA KAMA UMESHINDWA KUJUA JAMBO HILI,JIBU LA HILI HATA KAMA WEWE NI MKIRISTO SOMA SURAT AL-JATHIYA kuanzia mwanzo mpaka mwisho utapata jibu la swali lako na mambo mengine mengi sana

Mpeni majibu acheni longo longo bana.
 
Watu weusi MMELAANIWA
Ni kizazi kilicholaaniwa ndio maana mkawa weusi

Soma biblia utaona.
 
QURAN:30:20(WARUMI)

“Na katika Ishara zake ni kuwa kakuumbeni kwa udongo. Kisha mmekuwa watu mlio tawanyika kote kote”

QURAN:30:22(WARUMI)
“Na katika Ishara zake ni kuumba mbingu na ardhi, na kutafautiana ndimi zenu na rangi zenu. Hakika katika hayo zipo Ishara kwa wajuzi
 
Back
Top Bottom