Kama binadamu aliumbwa kwa 100% je, ilikuwaje mwaafrika akawa mtu mweusi?

Kama binadamu aliumbwa kwa 100% je, ilikuwaje mwaafrika akawa mtu mweusi?

Bustani ya Edeni Lugha ya picha kuelezea tu kwamba Mungu aliwawekea binadamu wa kwanza mazingira kamilifu kabisa.Ni mazingira yaliyojitosheleza.Kwamba binadamu wa kwanza waliishi maisha ya upekee sana.Kwamba walikuwa na Abundant resources.Leo tuna Limited resources.
 
Bustani ya Edeni Lugha ya picha kuelezea tu kwamba Mungu aliwawekea binadamu wa kwanza mazingira kamilifu kabisa.Ni mazingira yaliyojitosheleza.Kwamba binadamu wa kwanza waliishi maisha ya upekee sana.Kwamba walikuwa na Abundant resources.Leo tuna Limited resources.
 
Swali zuri sana, kwanza achana na stori za waarabu na wazungu, wakitunga tui kumtawala mtu mweusi

Binadamu wa kwanza kabisa ni mtu mweusi, ambaye alikuwa ana asili ya nyani huyu aliitwa Australopithecus afarensis alihamia maeneo mbali mbali ya Asia na Ulaya akitoka East Afrika kwenda Ethiopia ndo aka vuka mabara mengine. na kubadilika kutokana na mazingira na hali ya hewa.
Alitumia usafiri gani mkuu..maana kutembea kitaa kimoja kwenda kingine tu ni kazi..hayo mabara alivukaje?
 
Hii mada haitafika mwisho, hebu mje na majibu kamili, fanyeni utafiti halafu nje kamili, mi pia natafuta majibu, maana kila mtu anagusagusa tuuu....
 
Nyeusi ndio Original People, Team Apes... Kubwa la Manyani, Jungle Master!
 
Na alifikaje afrika kutoka bustani ya edeni?

Na ilikuwaje hadi mzungu mwarabu walikuja kumwambia muafrika mungu yupo wakati huo wote walitoka sehemu moja?

Na ilikuwaje mungu kila mtu anamuita kwa jina lake na wakati huo aliye waumba ni mmoja na jina lake alifahamika kwa jina moja toka alivyo waumba?
asili ya binadam ni moja 'ADAM na Hawa' au ADAM na EVA', waliishi katika 'bustani' hiyo kwa muda amabo waliendelea kufuata masharti ya kuishi humo, na walipo vunja masharti hayo, waliletwa duniani, namna gani walifika hapa, haina tofauti na namna gani YESU (ISSA) alipaishwa kwenda mbinguni.

Ukizitazama dini zote duniani utaona zinayo asili moja au aina fulani ya uwiano, sababu mitume mbalimbali walitumwakote duniani kwa watu wote, wa rangi, kabila na maeneo tofauti, kwenye mafunzo ya kiislam tunajifunza duniani walifika mitume takribani 125,000. Kati hao kuna mitume wanne (4) wakubwa, ambao ni, Daudi, Musa, Issa, Muhhamad (amani ya Mola iwe juu yai wote), majukumu yao hawa yalikuwa makubwa zaidi na hasa mtume wa mwisho Muhammad ambaye amekuja kwa watu wote na majini wote ulimwenguni kote. KWA MAELEZO ZAIDI TIZAMA BLOGI YA SALIMMSANGI, Posti inayotwa 'NAMTAFUTA MUNGU.'

Binadam tunatofautina kabila na lafudhi, hivyo MUNGU, kwa watu na makabila tofauti ametajwa kwa majina tofauti.
 
asili ya binadam ni moja 'ADAM na Hawa' au ADAM na EVA', waliishi katika 'bustani' hiyo kwa muda amabo waliendelea kufuata masharti ya kuishi humo, na walipo vunja masharti hayo, waliletwa duniani, namna gani walifika hapa, haina tofauti na namna gani YESU (ISSA) alipaishwa kwenda mbinguni.

Ukizitazama dini zote duniani utaona zinayo asili moja au aina fulani ya uwiano, sababu mitume mbalimbali walitumwakote duniani kwa watu wote, wa rangi, kabila na maeneo tofauti, kwenye mafunzo ya kiislam tunajifunza duniani walifika mitume takribani 125,000. Kati hao kuna mitume wanne (4) wakubwa, ambao ni, Daudi, Musa, Issa, Muhhamad (amani ya Mola iwe juu yai wote), majukumu yao hawa yalikuwa makubwa zaidi na hasa mtume wa mwisho Muhammad ambaye amekuja kwa watu wote na majini wote ulimwenguni kote. KWA MAELEZO ZAIDI TIZAMA BLOGI YA SALIMMSANGI, Posti inayotwa 'NAMTAFUTA MUNGU.'

Binadam tunatofautina kabila na lafudhi, hivyo MUNGU, kwa watu na makabila tofauti ametajwa kwa majina tofauti.
Kwahiyo unamaanisha bustani ya edeni haipo dunian?
 
asili ya binadam ni moja 'ADAM na Hawa' au ADAM na EVA', waliishi katika 'bustani' hiyo kwa muda amabo waliendelea kufuata masharti ya kuishi humo, na walipo vunja masharti hayo, waliletwa duniani, namna gani walifika hapa, haina tofauti na namna gani YESU (ISSA) alipaishwa kwenda mbinguni.

Ukizitazama dini zote duniani utaona zinayo asili moja au aina fulani ya uwiano, sababu mitume mbalimbali walitumwakote duniani kwa watu wote, wa rangi, kabila na maeneo tofauti, kwenye mafunzo ya kiislam tunajifunza duniani walifika mitume takribani 125,000. Kati hao kuna mitume wanne (4) wakubwa, ambao ni, Daudi, Musa, Issa, Muhhamad (amani ya Mola iwe juu yai wote), majukumu yao hawa yalikuwa makubwa zaidi na hasa mtume wa mwisho Muhammad ambaye amekuja kwa watu wote na majini wote ulimwenguni kote. KWA MAELEZO ZAIDI TIZAMA BLOGI YA SALIMMSANGI, Posti inayotwa 'NAMTAFUTA MUNGU.'

Binadam tunatofautina kabila na lafudhi, hivyo MUNGU, kwa watu na makabila tofauti ametajwa kwa majina tofauti.

wacha porojo za warabu lete facts!
 
Kwahiyo unamaanisha bustani ya edeni haipo dunian?
Haipo kwenye dunia yetu hii yenye three dimensional, hajapata kuwepo hapa wala haita pata kuwepo hapa, sababu pepo ya mtu wa chini kabisa, pepo ya mtu ambaye atakuwa ni mtu wa mwisho kutoka motoni, baada yake hato toka mwingine yeyote huko, na ndiye atakuwa mtu wa mwisho kuingia peponi, baada yake hataingia mtu mwingine yeyote hapo, pepo ya mtu huyu ni sawa na hii dunia unavyo iyona kwa maana ya ukubwa, mara kumi na zaidi. Hiyo ni ya mtu mmoja tu, tena mtu wa chini kabisa, vipi hiyo pepo ya Mtukufu wa daraja Muhammad (s.a.w) na mitume wengine kama Issa (Yesu) Mussa n.k, na kwa taarifa ni kwamba pepo ni zaidi ya three dimensional! Ni vipi iwepo hapa kwenye three dimensional duniani, hajawepo hapa wala haitopata kuwepo hapa.
 
Mkuu hapo ungerekebisha swali lako na au ungeweka maneno haya ".... je ilikuwaje mwamerika, Muulaya akawa mtu mweupe?" Na kwa taarifa yako kuna waafrika weupe kabisaa, na huwezi kuwatofautisha na wazungu au waarabu angalia africa kaskazini kama vile Morocco, niger, misri, Libya nk.
 
wacha porojo za warabu lete facts!

What is the fact?
A fact is something that has really occurred or is actually the case. The usual test for a statement of fact is verifiability—that is, whether it can be demonstrated to correspond to experience. Standard reference works are often used to check facts. (according to Wikipedia)

Ukiitazama hiyo definition kuna sifa tatu za msingi za hicho kinacho itwa 'Fact'
1- something has real occurred
2- Verifiability
3-Standard reference for check it.

Je kile ambacho hakiingii kwenye hizo sifa tatu siyo 'fact?' Kama vile uwepo wa roho, uwepo wa MUNGU MMOJA. Kwenye universal yetu ni 1% tu ya vitu vyote ndivyo tunavyo weza kuvidiriki kupitia milango yetu mitano ya fahamu na 99% hatuwezi kuvidiriki, je tutasema hivyo 99% siyo fact? Nywele zako, kucha zako zinakua unazikita, lakini kwenye definitio ya fact huwezi kuestablish ni vipi, kwa namna gani, kwa kiwango cha spidi gani vitu hivyo vinakuwa, je utasema siyo fact?

Adama na Hawa waliumbwa kutokana na udongo, 'fact' yake ni mchanganyiko wa madini mbalimbali yanayo tokana na udongo yaliyopo kwenye miili yetu. 'Fact' yake ni vyote tunavyo kula kwenye aridhi hii vinaendana na kuwiana sawia na maumbile ya mwili wetu. Lakini roho haitokani na udongo, na chakula cha roho si vitu vilivyopo kwenye udongo. Roho imetoka katika ulimwengu mwingine kabisa.

Mambo ya binadam na tabia zake hizi, zinamfanya binadamu aonekane ni mgeni kwenye dunia hii kushinda wanyama wenzake. Kwanini anaamini juu ya nyota, ulimwengu ambao hata tembo wala bluu Whales baharini hautambui. Hisia zake kubwa ni zile za woga, lakini siyo ule waoga wa kibaiolojia ambao wanyama wengine huuhisi, ni woga wa kiroho. Woga wa kutokuridhika, woga wa maajabu yanayo mzunguka, woga wa ibada zake, woga wa matokeo ya vitendo vyake. Woga ulio zalisha majina ya vitu kama ‘kitukufu,’ ‘halali,’ ‘siyo halali,’ ‘haramu,’ ‘kibaya,’ ‘kizuri,’ nakadhalika. Lakini haya yote yanatoka wapi ikiwa hapa ni kwetu na ndiko asili yetu. Hapana binadamu ni kama mgeni kwenye uso huu wa dunia, ni kama anayo asili nyingine, asili ya kiroho.

Kwanini mwanadamu kisaikolojia haridhiki, pamoja na kuwa atamiliki kila kitu anacho kitaka. Kwanini pesa siyo kila kitu, atakuwa na nyumba, magari, viwanja, biashara kubwa, kubwa, familia kubwa, na mengine na mengine, lakini bado shimo lake la saikolojia halitotoshwa kujazwa na vitu hivyo? Kwa nini kujiua na magonjwa ya akili vimeongezeka kila pale, hali nzuri ya maisha ilipo ongezeka na elimu ilipo ongezeka? Kwanini maendeleo ya kivitu hayamaanishi maendeleo ya kiutu? Sababu binadam anayo asili mbili, asili ya mwili na asili ya roho ambapo wazazi wetu Adam na Hawa waliishi, na ambapo kila roho kabla ya kuja hapa duniani kupitia 'kiwiliwili' kinacho itwa mwili, inaishi huko.

Do your research na si kila ukweli wa msingi uwe umekidhi defenition ya 'fact.'

Kuna zaidi ya kile ambacho milango yako mitano ya fahamu inaweza kukidiriki hadhiri yake, lakini kuna ambavyo vipo na haviwezi kudirikiwa na milango hiyo.
 
Mkuu hapo ungerekebisha swali lako na au ungeweka maneno haya ".... je ilikuwaje mwamerika, Muulaya akawa mtu mweupe?" Na kwa taarifa yako kuna waafrika weupe kabisaa, na huwezi kuwatofautisha na wazungu au waarabu angalia africa kaskazini kama vile Morocco, niger, misri, Libya nk.
Lazima tujitathimi sisi waafrika
Nao wazungu nao watajitathimini kivyao.
 
Mkuu acha siasa, tunazungumzia hicho chanzo na sio uafrika au uamerika, kwani wewe unajuaje kama mimi ni mwafrika, au JF imekuwa limited kwa waafrika tuu! Fikiri nje ya boksi
 
Kwanini useme muafrika alitokeaje Na usiseme Mzungu au mwarabu alitokeaje??
Mungu alimuumba mwanadamu akiwa mweusi hao wazungu Na sijui wahindi waarabu sijui walitokeaje kwakweli!!
Mungu alimuumba mtu mweus wapi ww?mtu wa kwanza alikua mweupe sie weuc tulipatwa na ajali gan mpk tukabadilika rangi na kuwa na rangi hii inayofanana na tabia zetu na maendeleo yetu!
 
Mkuu hapo ungerekebisha swali lako na au ungeweka maneno haya ".... je ilikuwaje mwamerika, Muulaya akawa mtu mweupe?" Na kwa taarifa yako kuna waafrika weupe kabisaa, na huwezi kuwatofautisha na wazungu au waarabu angalia africa kaskazini kama vile Morocco, niger, misri, Libya nk.
Kunawahindi weusi tiii kama mkaa..ata waafrica hatuwafikii kwa weusi wao.utafikiri wamepakwa kiwi
 
Back
Top Bottom