Kama binadamu aliumbwa kwa 100% je, ilikuwaje mwaafrika akawa mtu mweusi?

Wewe ni mzungu au mwafrika...mbona km swali lako lina ubaguzi,kwa hiyo hii rangi we unaona km adhabu au?
 
Mbona ushangai uwepo wa Wazungu, we ushangai ulaya kuwa ya Wazungu?, india kuwa ya Wahindi?
 
aah mku,DAUD ni mtume?
 
ha ha ha ha,abundant resource ya machungwa labda...so why walikuwa uchi wa mnyama?
 
Binadamu wa kwanza ni mweusi katika mabara yote walioweusi au wekundu ndo wenye asili ya mabara hayo na weupe wote ni wageni angalia Africa, Australia, Marekani na Hata Asia utakuwa Magia ni weusi ni specie ambayo inapatika dunia yote na hii ndo uzao wa binadamu wengine wote duniani hao weupe ni upungufu wa baadhi ya virutubisho ndo maana miili yao hubadili rangi na kushambiwa na magonjwa kama vimafua kirahisi sana
 
Kabisa
 
Wewe ni mzungu au mwafrika...mbona km swali lako lina ubaguzi,kwa hiyo hii rangi we unaona km adhabu au?
Sio ubaguzi ila inatakiwa waafrika tujitathimini upya na sio lazima tukipokee kila kitu.
Kutoka kwa watu ambao walitutawala.
 
Rangi ya binadamu hutokea kutokana na mazingira anayoishi,si tu kwa binadamu bali kwa wanyama wengi yaani adaptation.Mfano waafrika walio karibu na Msitari wa Ikweta rangi zao ni weusi zaidi ya wale walio mbali na Ikweta hii humfanya aweze kuishi kwenye mazingira
 
Kwahiyo unakubari kwamba bindamu hakuumbwa ila alitokea kutokana na mazingira?
 
Kwahiyo binadamu hakuumbwa ila alitokea kutokana na mazingira?
 
Hizo ni decorations tuu. kwani nyumba zote zina rangi moja?? Zina rangi tofauti ili kupendezesha mtaa hata uumbaji ndo ivoo. Usiwaze wala kuconfuse mambo!
 
Safi ungekuwa mtoto wakike ningekuchumbia safi umeeleweka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…