dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Vitabu vya dini vimeandikwa na watu kama sisi na kama ilivyokawaida mapungufu ia binadamu kuna uongo mwingi. Hata mimi ninavitabu vyangu vya dini na watu wanatumia.
So akili ya kuambiwa changanya na yako.
Ndgu nimecheka sana! Yaani cjui watu mnafikiriaga nini Kwahiyo wapo watu wanatumia Vitabu vyako kuhubiri daah....! Nway ila naamini mleta mada atakuwa amekuelewa vzr...!