Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unataka kunishawsh lakn hebu ngoja kwanza nitarudi
Duh!...kwa hiyo sio Adam tena kama tunavyosoma katika maandiko ya Wazungu na Waarabu?Binadamu wa kwanza ni mweusi anaitwa "australopithecus chadensis" kutoka chad.. ni mweusi tii kama mkaa
So unaamini at first binadamu alikua mweupe lakini mazingira/climate yakafanya watu wakawa weusi brown etc basi kama ivo tungekua tukizaa watoto at first wawe weupe then mazingira yawafanye weusi coz kama mtu umebadilishwa na mazingira/climate gene yako bado nyeupe, so i beg to disagree wit day buddy!
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
mabadiliko kwa binadamu yalitokea kwa kasi ndogo sana inachukua mamilioni ya miaka kuona mabdiliko, amini mpaka sasa hvi evolution bado inaendelea kutokana na mazingra na kuingiliana kwa watu mbalimbali, mfano babu zetu walikuwa giant ,watu wenye nguvu za asili bila kunyanyua vyuma lakni wanaozaliwa sasa hvi nitofauti.
vipi kama nikisema gene ndio kila kitu kwa mwafrika kwanin isiwe hivyo?? vipi albino(homozygous) akikutana na homozygous mwenzie?? wanaweza kuzaa mweusi?? hii n sawa na mzungu kwa mzungu.vipi mzungu akikutana na mwafrika??
mmmh., unazungumzia mada hii iliyopo hapa au umechanganya jukwaa... albino? mweeeh.!!!
Mi Nnavojua huu weusi tulionao laana hii...kipindi kile cha nuhu ,baada ya gharika kuna mtoto mmoja alimchungulia baba ake akiwa uchi akamcheka wengine wawili wakaenda kinyume nyume wakamfunika,NUhu akamlaani yule aliemchungulia kuwa 'utakuwa mtumwa wa ndugu zako'...na ndo haya mnayoyaona throughout history,slave trade ,neocolonialism,underdevelopment yani ilimradi wazungu wako mbele...ingekuwa genes and revolution basi tungeevolve kuwa wazungu au wao kuwa weusi...source ndo hyo apo ,nikipata andiko specific ntaweka hapa mjionee
Mi Nnavojua huu weusi tulionao laana hii...kipindi kile cha nuhu ,baada ya gharika kuna mtoto mmoja alimchungulia baba ake akiwa uchi akamcheka wengine wawili wakaenda kinyume nyume wakamfunika,NUhu akamlaani yule aliemchungulia kuwa 'utakuwa mtumwa wa ndugu zako'...na ndo haya mnayoyaona throughout history,slave trade ,neocolonialism,underdevelopment yani ilimradi wazungu wako mbele...ingekuwa genes and revolution basi tungeevolve kuwa wazungu au wao kuwa weusi...source ndo hyo apo ,nikipata andiko specific ntaweka hapa mjionee
unataka kunishawsh lakn hebu ngoja kwanza nitarudi
Kwa mujibu wa :vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mp inasema aka watu weusi wakatokea duniani?
Ni kweli kabisa Adam na Eva hawakuwa " WEUSI" kwa sababu kundi la weusi limeanzishwa mwaka jana tu, na Adam na Hawa waliishi miaka elfu saba iliyo pita.
So unaamini at first binadamu alikua mweupe lakini mazingira/climate yakafanya watu wakawa weusi brown etc basi kama ivo tungekua tukizaa watoto at first wawe weupe then mazingira yawafanye weusi coz kama mtu umebadilishwa na mazingira/climate gene yako bado nyeupe, so i beg to disagree wit day buddy!
Right now in the Arab Gulf Region the temp is above 40deg celsius sababu iko jua kali sana why the native arab people are of different diverse shades and mostly not black and have softer hair? Evoulution with its al good intention it is biased against non whites and was used politically mostly against black people. Read about the darwinism study called Teleology.