Vitabu vya dini vimeandikwa na watu kama sisi na kama ilivyokawaida mapungufu ia binadamu kuna uongo mwingi. Hata mimi ninavitabu vyangu vya dini na watu wanatumia.
So akili ya kuambiwa changanya na yako.
I see! kumbe fuvu la Adam limepatikana olduvai George? very interesting sasa naamini kweli Tanzania inaongoza kwa watu wenye Iq ndogo.
bila shaka fuvu la Eva litapatikana msoga.
hii mada watu watapakana sana matope
hivi it is possible sisi ni udongo uliopuliziwa hewa?au imaginary scene ya tuone mwanzo wetu ulikuwepo?na ulianza hivyo!
Mungu yupo ila dini ni sanaa tupu na utumwa. mitume wa mashark ya kati mnawakubal wa kbongo hamuwatak akat nao wanadai kuoteshwa vile vile ka wale wa mashark ya kati. DINI SANAA TUPU
Mungu yupo ila dini ni sanaa tupu na utumwa. mitume wa mashark ya kati mnawakubal wa kbongo hamuwatak akat nao wanadai kuoteshwa vile vile ka wale wa mashark ya kati. DINI SANAA TUPU
evolution inaelezea jinsi watu tunavotofautiana, kuna mambo mengi sana ndani yake yanayofanya species aina moja kua na genes tofauti, mazingira ikiwa ni kitu mojawapo, mwili unatend kuadopt kulingana na mazingira, sasa kwa binadamu ambaye anakaa sehemu za joto, over period of years lazima changes zitokee mfano anakuwa na nywele fupi sana sababu hakai kwenye baridi, sasa mwili unakua exposed kwenye jua, hapo ndipo melanin inachukua kazi yake sasa, melanin inafanya ngozi yetu kua nyeusi ili kuweza kuishi bila kuhitaji vitu kama sunscreen ambao wenzetu weupe huzitumia sana wakati wa jua kali.... Hakuna kitu kama laana wala nini, its simply evolution tu
Right now in the Arab Gulf Region the temp is above 40deg celsius sababu iko jua kali sana why the native arab people are of different diverse shades and mostly not black and have softer hair? Evoulution with its al good intention it is biased against non whites and was used politically mostly against black people. Read about the darwinism study called Teleology.
Hayo mawazo yananisumbua sana kila nikimtazama wasira.
Mungu yupo ila dini ni sanaa tupu na utumwa. mitume wa mashark ya kati mnawakubal wa kbongo hamuwatak akat nao wanadai kuoteshwa vile vile ka wale wa mashark ya kati. DINI SANAA TUPU
kutokana na sabau za kijiografia mtu wa kwanza alipoumbwa alikaa sehem fulani na shemu zingine zilikua tupu hazina watu walipozaana ndio watu wakazagaa sehemu tofauti
kwanini watu weusi
jibu ni sabau za kijografia mfano africa imepitiwa na mstari wa ikweta mabara yaliyopitiwa na mstari huu yanakua na joto sana kwa hiyo sababu hzi zinapelekea ngozi kutengeneza melanini nyingi sana ukiangalia america ya kusini nchi kama venezuela ,brazili na peru watu ni weusi ukija africa watuu ni weusi ukienda indonesia malyasia na nk unapata watu weusi pia ila kadri watu wanapozagaa na ndio wanachanganya damu
Vitabu vya dini vimeandikwa na watu kama sisi na kama ilivyokawaida mapungufu ia binadamu kuna uongo mwingi. Hata mimi ninavitabu vyangu vya dini na watu wanatumia.
So akili ya kuambiwa changanya na yako.