Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
am profeseri!!/ktk my readings of years ago! dunia ilikuwapo na viumbe wote walikuwapo although ktk survival baadhi ya viumbe waliweza kutoweka lkn binadamu kwa rangi zao na asili zao walikuwepo kama viumbe vya sayari hii! dini za mwanzo pia zilikuwepo kwa wakati huo na aliabudiwa father "sigil"the great evolution ilizidi kuendelea huku watu wakizidi kuamka na kupambazuka interception religion zikizidi kujitokeza ukrist mara hindu mara islamu which are so recently religion/pia baadhi ya sign na alama za diini zetu za sasa zimetoka kwa father sigil km nyota mwezi msalaba double keys inaendelea......[/QUOTE hujajibu swali, soma mada toa jibu husika!!
ndugu yangu mbona wajichanganya tena........mtu wa kwanza umesema alikuwa mweusi kutokana na udongo( ukumbuke pia kuna udongo mwekundu)1.mimi nina amini kuwa mwanadamu wa kwanza alikuwa mweusi sababu ukisoma maandio utaona mungu alifinyanga udongo kisha akapulizia pumnzi ndio mwanadamu aka kama alivyo sasa jiulize udogo ni rangi gani utapata jibu
2. watu weupe wametokana na kizazi cha kaini baada ya kumuua ndugu yake mungu alimlaani na kupigwa chapa ya muhuri ambayo ndio ngozi nyeupe, (ukirudi nyuma utangundua nyoka/ shetani aliwadanganya wakila tunda basi watajua mema na mabaya maana ake watakuwa na akili nyingi) ndio maana ngozi nyeupe ni werevu zaidi yetu sisi weusi.
Nb: Ndio maana wanasema fuvu la mtu wa kwanza limepatikana ngorongoro
Did you smoke something you shouldn't smoke?
we jamaa bwn
So unaamini at first binadamu alikua mweupe lakini mazingira/climate yakafanya watu wakawa weusi brown etc basi kama ivo tungekua tukizaa watoto at first wawe weupe then mazingira yawafanye weusi coz kama mtu umebadilishwa na mazingira/climate gene yako bado nyeupe, so i beg to disagree wit day buddy!
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
mi naamini kuna muumba. lakini uumbaji na sababu za uumbaji ni siri.
dini ni kulazimisha kuelewa siri hiyo.
theory ninayoipenda sisi, wadudu na wanyama wengine wote tulitolka kwenye sayari nyingine... tukiwa na program ya kuja kuzaliana hapa kwenye sayari hii.
dini ni jitihada za kuelewa siri ya tulikotoka. kwa hiyo kwangu mimi swali kubwa ni kwa nini safari ya kutuleta huku haikuruhusu blue print ya kule tulikotoka? dini tunakisiakisia tu jibu ndo maana ziko dini lukuki
na hapo kwenye maswali yako ndipo tunarudi kule kule kwa kutokufahamu tunachokifahamu leo..................cjui nimeeleweka?
Kuna watu wanaamini kwamba Watu wa kwanza kuumbwa walikuwa ni Adam na Lilit. Lilit akagoma kuwa chini ya Adam akaondoka kwa Adam. Hapo ndipo akaletwa Eve/Hawa. Wanaamini Kaini alikokwenda alikutana na Lilit wakaendeleza kizazi chao cha watu wao.
Kwa mujibu wa vitabu vya dini mtu wa kwanza kuumbwa alikuwa ni Adamu kisha Eva ambao walikuwa sio watu weusi, ni nini kilitokea mpaka watu weusi wakatokea duniani?
[
na hapo kwenye maswali yako ndipo tunarudi kule kule kwa kutokufahamu tunachokifahamu leo..................cjui nimeeleweka?