Sasa waruhusuni waulize maswali ili mjue ni Nini haswa Kiko kichwani mwao wananchi.[emoji419][emoji375]CCM mnafanya mikutano mikubwa kujibu mambo kuhusu bandali; wengi wanauliza kwa Nini mtumie nguvu hivi? Si mbadili tu huo nkataba? Mkimaliza mikutano yenu hakuna anaeelewe.
Sasa waruhusuni waulize maswali ili mjue ni Nini haswa Kiko kichwani mwao wananchi.
CCM mnafanya mikutano mikubwa kujibu mambo kuhusu bandari; wengi wanauliza kwa Nini mtumie nguvu hivi? Si mbadili tu huo mkataba? Mkimaliza mikutano yenu hakuna anaeelewe.
Sasa waruhusuni waulize maswali ili mjue ni nini haswa kiko kichwani mwao wananchi.
Hahahaha maswali ni magumuSasa waruhusuni waulize maswali ili mjue ni Nini haswa Kiko kichwani mwao wananchi.[emoji419][emoji375]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana majibu. Hawakujiandaa na kuvuja Kwa mkatabaCCM mnafanya mikutano mikubwa kujibu mambo kuhusu bandari; wengi wanauliza kwa Nini mtumie nguvu hivi? Si mbadili tu huo mkataba? Mkimaliza mikutano yenu hakuna anaeelewe.
Sasa waruhusuni waulize maswali ili mjue ni nini haswa kiko kichwani mwao wananchi.