Kama CCM imeshindwa na Makonda kaweza, CCM ya Nini tena?

Kama CCM imeshindwa na Makonda kaweza, CCM ya Nini tena?

Chakaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2007
Posts
40,455
Reaction score
73,145
Nimeona madudu yanayoibuliwa na Makonda na kushangiliwa sana na watu wa CCM wakiona kama Makonda ndiye CCM na taasisi na wengine wote ni Chauma au UDP.

Labda niwakumbushe watu wa Arusha, haya anayo yaibua Makonda ndiyo madhaifu ya serikali ya CCM. Rushwa, ubadhilifu, kunyima haki raia, matumizi mabaya ya madaraka nk.

Ila haya kwa vile hapo Arusha yalikuwa yanasemwa na Lema wa Chadema asiye madarakani mlikuwa mnaona hayana maana lakini kasema aliye madarakani mnaona yuko sahihi.

Ndiyo mjue hiyo CCM ni uozo na ni kurudi kwenye ujinga kuipigia kura tena.

Ni kweli wanaiba kura, lakini kama hata hizo kidogo hawatapata wataibaje zingine.

Asante sana Makonda aka Bashite kwa kuonyesha ubovu wa chama mfu.
 
Makonda ni Jeshi la mtu mmoja 😄

Ana Wafuasi Wengi kuliko wa Vyama vyote Vya Siasa
 
Nimeona madudu yanayoibuliwa na Makonda na kushangiliwa sana na watu wa CCM wakiona kama Makonda ndio CCM na taasisi na wengine wote ni Chauma au UDP.
Labda niwakumbushe watu wa Arusha, haya anayo yaibua Makonda ndio madhaifu ya serikali ya CCM. Rushwa,Ubadhilifu, Kunyima haki raia, matumizi mabaya ya madaraka nk.
Ila haya kwa vile hapo Arusha yalikuwa yanasemwa na Lema wa Chadema asiye madarakani mlikuwa mnaona hayana maana lakini kasema aliye madarakani mnaona yuko sahihi.
Ndio mjue hiyo CCM ni uozo na ni kurudi kwenye ujinga kuipigia kura tena.
Ni kweli wanaiba kura, lakini kama hata hizo kidogo hawatapata wataibaje zingine.
Asante sana Makonda aka Bashite kwa kuonyesha ubovu wa chama mfu
Makonda ni mkuu wa mkoa inaonekana leo umepata kitu na njaa!
 
CCM ni EMPTY SET...Bashite kaona atumie hili OMBWE ili atoke vipi kwa maslahi yake BINAFSI ya sasa na hata ya baadae
 
Kidumu milele fikra za mwalimu Nyerere chama Cha mapinduzi. 😃😃😃😃😃
 
Back
Top Bottom