Pre GE2025 Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...

Pre GE2025 Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila...

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe atawatungua kwa jiwe moja ni ndege gani hao?

Try to guess, halafu jioni nitakutajia.

Jumatatu njema.

Paskali
Chadema haiokoti wagombea mitandaoni kwa kushauriwa na mamluki , inao utaratibu wake wa kila mwenye kudhani anaweza achukue fomu
 
Upinzani walikuwa na UKAWA na bado CCM ilishinda kwa kishindo .upinzani gani hao ambao wakiungana wanaweza kuitikisa CCM? Kumbuka vyama vingi sana hapa nchini vinavyojiita vya upinzani ni vyama ambavyo vipo hoi bin taabani mifukoni mwa watu. Ni vyama vinavyoibuka kipindi cha uchaguzi na havina uwezo hata wa kuizunguka Dar es salaam nzima au mikoa ya nyanda za juu kusini tu . Angalia vyama kama NCCR mageuzi au CUF au TLP hata vikiungana unafikiri vitaleta upinzani gani kwa CCM hii ya Rais Samia iliyokamilika kila idara na kusheheni mwanguli na magwiji wa sayansi ya siasa na uongozi?

Vyama gani havina hata ofisi tu za kupanga huku mitaani wala kuwa na matawi mikoani huku? Je ndio vitaleta upinzani na kupata wabunge au madiwani mbele ya CCM? Kumbuka kuwa nafasi ya Urais hiyo siwezi kuizungumzia maana hiyo inaeleweka na kila mtanzania mwenye akili Timamu kuwa ni ya CCM tu .
Muulize mwendazake Nini kilimfanya apitishe wabunge, madiwani, wenyeviti vijiji mitaa vitongoji bila kupingwa tena na yeye mwenyewe kujipitisha? Kama kweli vyama upinzani havina nguvu ni kwann Kila uchaguzi serikali inaongeza magari ya kukojolea watu pilipili? Na ni kwann Kila CHADEMA wakitangaza maandamano tena ya amani lazima serikali itangaze kuwa majeshi Fulani yatakuwa yanadeki barabara
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe atawatungua kwa jiwe moja ni ndege gani hao?

Try to guess, halafu jioni nitakutajia.

Jumatatu njema.

Paskali
Gonga like kama mwandishi aliposema uchaguzi wa 2020 walijua matokeo.
Huyu bro nadhani alikuwa india kipindi cha ule uchafuzi wa mwaka 2020 .tunashukuru sana alietuulia ile mbwa ya chato.
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe atawatungua kwa jiwe moja ni ndege gani hao?

Try to guess, halafu jioni nitakutajia.

Jumatatu njema.

Paskali
Kwanza 2025 hakutakuwa na uchaguzi kutakuwa na kugawa a majengo ya Uma. Hatuwezi kuendelea na ujinga huu wa miaka yote. Kodi za watanzania kutumika kugarmia uchaguzi ambao unaamriwa na mtu mmoja. Ni aibu kwa msomi kama wewe kuandika kishabeki kwa kiwango hiki. Yaani unaandika kama vile unachambuwa mchezo. Hivi kweli unawafikiria wanao au kwa vile wewe unaona uko vizuri na system hii ya utawala unaona hamna shida. Hapa sio jambo la kuchaguwa Kati ya mwanamke na mwanaume hapa ni kuchaguwa Kati uhuru na utumwa. Au Kati ya elimu na ujinga. Sasa msomi kama wewe kuongelea suala serious kama uchaguzi kwa style ya kushabekea Chama tawala ni bahati mbaya Sana.
 
Shida ni kuwa hata wakijitokeza wachache kupiga kura, mwisho wa siku kuna maarifa yatafanyika kujazia kura.... wala hutajua zimetokea wapi... ila utaambiwa walijitokeza wananchi wa kutosha na matokeo ndio hayo 99% ushindi.
Labda ziwekwe camera kwenye vituo vya kupiga kura vinginevyo hakutakuwa na jinsi ya kuhakiki...
Mkuu hata wakiweka kura za uongo, Bado ukweli utakuwa unaonekana maana binadamu sio kivuli, kama hawapo hawapo tu, na ujumbe utakuwa umefika sawia kuwa watu wamewachoka.
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe akiamua kugombea urais wa 2025 kama mgombea wa umoja wa wapinzani

1. Kufuatia kuvunjika kwa maridhiano, kati ya CCM na Chadema, hii maana yake ni hakuna tena kugawana nusu mkate, hivyo Freeman Mbowe asipogombea urais angegombea ubunge jimbo la Hai, nusu mkate ndio ingemrudisha Mbowe bungeni, bila hiyo nusu mkate, then uchaguzi wa 2025 utakuwa kama ule wa. 2020, hivyo kugombea urais ndio the best honorable execuse ya kutogombea jimbo la Hai.

2. Freeman Mbowe na Rais Samia, wanajuana vema, Mbowe alipofutiwa kesi ya ugaidi, break yake ya kwanza ikawa ni Ikulu, na Chadema ilijuwa inakabiliwa na hali fulani, mara ghafla Chadema mambo yake yakawa super, mara wakawa na uwezo wa kufanya kikao cha Baraza Kuu, mara viongozi wakaanza kupiga trips za ulaya, Mbowe akawa haeshi Ikulu. Hivyo Freeman Mbowe akimchalleng Samia, then it's a clash of titan, hivyo Freeman Mbowe atamtikisa Samia na upinzani utavuna kura nyingi na kupata wabunge na madiwani wa kutosha.

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali

Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe akiamua kugombea urais wa 2025 kama mgombea wa umoja wa wapinzani

1. Kufuatia kuvunjika kwa maridhiano, kati ya CCM na Chadema, hii maana yake ni hakuna tena kugawana nusu mkate, hivyo Freeman Mbowe asipogombea urais angegombea ubunge jimbo la Hai, nusu mkate ndio ingemrudisha Mbowe bungeni, bila hiyo nusu mkate, then uchaguzi wa 2025 utakuwa kama ule wa. 2020, hivyo kugombea urais ndio the best honorable execuse ya kutogombea jimbo la Hai.

2. Freeman Mbowe na Rais Samia, wanajuana vema, Mbowe alipofutiwa kesi ya ugaidi, break yake ya kwanza ikawa ni Ikulu, na Chadema ilijuwa inakabiliwa na hali fulani, mara ghafla Chadema mambo yake yakawa super, mara wakawa na uwezo wa kufanya kikao cha Baraza Kuu, mara viongozi wakaanza kupiga trips za ulaya, Mbowe akawa haeshi Ikulu. Hivyo Freeman Mbowe akimchalleng Samia, then it's a clash of titan, hivyo Freeman Mbowe atamtikisa Samia na upinzani utavuna kura nyingi na kupata wabunge na madiwani wa kutosha.

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali
Mimi napendekezza uchaguzi ufaanyike baada ya Kupatikana kwa katiba mpya.

Wakiwamaliza Kuwaondoa Wamasai kwenye ardhi yao watakuja kwa Wasukuma. Watawatumia Machawa waliojipenyeza usukumani kama Biteko kuwarubuni badala ya kuwatetea. Kama wamasai wenye silaha mkononi wamehamishwa itakuaje kwa Wasukuma ,wagogo nao kupisha madini kama Urenium n.k.
Hatukatai wawekezaji wala kuwahamisha watu tunachokataa ni kuwauzia wageni rasilimali zetu bila tija itakayobadilisha maisha ya Wazawa badala yake wanaonufaika ni watawala na machawa wao kwa pesa za kuhongwa na hao wanaowaita wawekezaji matokeo yake ni kupandishwa kwa kodi na kuongezeka kwa tozo na kikokotoo na kushuka kwa thamani ya pesa yetu na madeni makubwa na bidhaa kupanda bei mpaka zile za ndani ya nchi kama vyakula.

Ili zoezi la uwekezaji lifanyike kwa tija na kwa haki ni lazima tupate viongozi waliochaguliwa na wananchi kwa haki kuanzia kule chini mpaka juu.

Haiwezeka ni nchi za kiarabu ,China , Korea , Marekani nk. ambazo kwa hulka na mikakati yao ya kibeberu na kinyonyji na hawakubali mwanamke kutawala kwenye nchi zao lakini leo wanatupaka mafuta kwa mgongo wa chupa na kutusifia kuwa tupo kwenye njia sahihi kumbe ni ili watudhoofishe kimaamuzi na kiutawala na kupora rasilmali zetu kirahisi kabisa.
 
Nadhani ni vizuri tu na Yeye agombee Ubunge ili tusikose michango yake bunge lijalo,kuliko kuwa msindikizaje wa Rais atakayetoka CCM.
Michango ya Mbowe 2010-2015 ilikuwa na tija sana.
Nachoamini safari hii nadhani Tume ya Uchaguzi kwa maagizo ya Rais idadi ya Wabunge wa Vyama vya Upinzani angalau itakuwa kubwa (chini ya theruthi ya Wabunge wote)!
Kama Tume ingekuwa Huru na vyama vya upinzani vikajipanga vizuri safari hii CCM ingepoteza wabunge wengi sana mfano wa chama cha ANC huko SA ilivyopoteza.
 
Uchaguzi wa mwaka huu ni maigizo tu, kama 2020 mgombea mwenza alisema " hata nchi nzima mki wapigia CHADEMA/Upinzani, CCM ndiyo itaongoza dola", na akongezea kwamba "kuwapigia kura CHADEMA ni sawa na kumwaga sukari ziwani".

Na huyo alikuwa mgombea mwenza, sasa leo yeye ndiye mgombea kutokana na sera na utaratibu wao mzuri na wa kidemokrasia wa chama chao, kwamba form ya mgombea urais huko CCM itatolewa moja na tayari ina mwenyewe ambaye ni SSH, unategemea nini kipya.

Wakiruhusu demokrasia ndani ya ccm kwenyewe hashindi hiyo nafasi, iweje agombee nchi nzima ashinde?

Nchi hii ili tutoke tulipo lazima nchi hii ivurugike, bila hivyo iko siku utasikia hata Makonda kawa rais wa JMT.
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mildly politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe akiamua kugombea urais wa 2025 kama mgombea wa umoja wa wapinzani

1. Kufuatia kuvunjika kwa maridhiano, kati ya CCM na Chadema, hii maana yake ni hakuna tena kugawana nusu mkate, hivyo Freeman Mbowe asipogombea urais angegombea ubunge jimbo la Hai, nusu mkate ndio ingemrudisha Mbowe bungeni, bila hiyo nusu mkate, then uchaguzi wa 2025 utakuwa kama ule wa. 2020, hivyo kugombea urais ndio the best honorable execuse ya kutogombea jimbo la Hai.

2. Freeman Mbowe na Rais Samia, wanajuana vema, Mbowe alipofutiwa kesi ya ugaidi, break yake ya kwanza ikawa ni Ikulu, na Chadema ilijuwa inakabiliwa na hali fulani, mara ghafla Chadema mambo yake yakawa super, mara wakawa na uwezo wa kufanya kikao cha Baraza Kuu, mara viongozi wakaanza kupiga trips za ulaya, Mbowe akawa haeshi Ikulu. Hivyo Freeman Mbowe akimchalleng Samia, then it's a clash of titan, hivyo Freeman Mbowe atamtikisa Samia na upinzani utavuna kura nyingi na kupata wabunge na madiwani wa kutosha.

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali
Kaka,Paskal
Chonde chonde,wewe unaonekana huwa una mawasiliano ya karibu na viongozi wengi wa CCM.Nakuomba uwashauri waanze kumuandaa mgombea mwingine.Hali ni mbaya mno kumsimamisha Mama.
 
Wanabodi!]
Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Paskali
Baada ya mnyama Simba kupewa jina la TL, nimeukumbuka huu uzi
Wanabodi,
Mhe. Tundu Lissu ndiye anayeongoza kwa kuleta vurugu aliponyanyuka akamvurumishia tena Makombora mazito, na kama angeendela kidogo tuu!, Spika ange break down kwa machozi!. (Naamini akifika ofisini kwake, atajifungia kidogo na kuimalizia hasira yake the same way wanawake wote wanamalizaga hasira zao!).

Kwa kuzingatia sifa kuu iliyomfanya Mama kuchaguliwa akiujua fika uwezo wa Madam kwanini anaendelea kumsulubisha kila apatapo fursa?!. This is not fair!.

Kwa vile Mama amepewa cheo kwa ajili ya gender issue, kwa uzi huu, namuomba Mhe. Tundu Lissu na Kambi ya Upinzani, wanapokuwa na hoja za msingi, wamuaddress Madam with courtesy of addressing a decent, honorable lady, ili ku restore confidence ambapo kwa sasa, ameshindwa kabisa, kwa hasira,

Nawauliza wajameni, hivi hiki anachofanya Mhe. Lissu na wengine kumsubulu Madam ambaye ni mwanamke bila huruma, ni sawa kweli?!.

Kiafrika, wanawanake ni ni watu wa kubembelezwa na kuonewa huruma!, hivi hawa wapinzani ni watu wa aina gani wasio hata na huruma kwa wanawake?!, leo ilibakia kidogo tuu madam angelia!, jee hiki wanachofanya ni sawa kweli?!. Ni haki?!

Nawaombeni wapinzani tumtendee haki Madam wetu aendesha kwa haki na kujiamini!. Pia tunamuomba Tundu Lissu aache kumuonea mwanamke, asubiri tupate tena mwanaume mwenzake ndio wapambane, Kiafrika sio vizuri kwa mwanaume kupambana na mwanamke, huku ni kumuonea.

Atakapokuja kutokea mwamume ndio Lissu apambane na sio kumyanyasa Mwanamke.

Pasco.
Wanabodi,
Leo nimelikumbuka bandiko hili kuhusu TL kukosesha mtu usingizi baada ya kuiangalia clip hii
View: https://youtu.be/UXFoyKtbEEA?si=l6IxoAUVEFFWXWSP

Usikute TL anamkosesha mtu usingizi!, halafu itokee TL ndie asimame nae 2025!, na alivyo hana break... si kuna mtu ataogeshwa .... kila uchao?.
Hapa ni ninauliza tuu!.

Ndio maana nimeshauri, kama mgombea wa urais wa chama kubwa 2025 ni mwanamke, then vyama vyote viweke wagombea urais wanawake wapambane na sio jitu dume zima lipambane ma majike!.

Hivyo nikapendekeza Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Na endapo wapinzani watakuwa hawana kabisa mwanamke ambaye ni match na mgombea wa chama kubwa hivyo ni lazima kumsimamisha mwanaume, then mgombea wa upinzani asiwe TL ili kumstahi mgombea mwanamke, maana jinsi TL asivyo na breki, hachelewi kumuogesha na mvua ya ... TL saizi yake alikuwa JPM na sio huyu Maza Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

hivyo nimeshauri mgombea wa upinzani awe Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia 2025, Mnaonaje Freeman Mbowe Awe Mgombea wa Upinzani? Atapiga Ndege 3 kwa Jiwe Moja, Atavuna Wabunge Wengi ila... sababu ya kupendekeza FM ni kufuatia kukubali maridhiano na CCM kugawana nusu mkate, TL anayabeza maridhiano Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Hili mnalionaje?.

P
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mild politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe akiamua kugombea urais wa 2025 kama mgombea wa umoja wa wapinzani

1. Kufuatia kuvunjika kwa maridhiano, kati ya CCM na Chadema, hii maana yake ni hakuna tena kugawana nusu mkate, hivyo Freeman Mbowe asipogombea urais angegombea ubunge jimbo la Hai, nusu mkate ndio ingemrudisha Mbowe bungeni, bila hiyo nusu mkate, then uchaguzi wa 2025 utakuwa kama ule wa. 2020, hivyo kugombea urais ndio the best honorable execuse ya kutogombea jimbo la Hai.

2. Freeman Mbowe na Rais Samia, wanajuana vema, Mbowe alipofutiwa kesi ya ugaidi, break yake ya kwanza ikawa ni Ikulu, na Chadema ilijuwa inakabiliwa na hali fulani, mara ghafla Chadema mambo yake yakawa super, mara wakawa na uwezo wa kufanya kikao cha Baraza Kuu, mara viongozi wakaanza kupiga trips za ulaya, Mbowe akawa haeshi Ikulu. Hivyo Freeman Mbowe akimchalleng Samia, then it's a clash of titan, hivyo Freeman Mbowe atamtikisa Samia na upinzani utavuna kura nyingi na kupata wabunge na madiwani wa kutosha.

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali
Upo serious?
Mbowe hapana
Anajua anachokifanya ninyi hamjui hamjashtuka bado.
Perepereeee mingi action zero.
Mabadiliko yanahitajika pande zote watawala na wapinzani ni dugu moya.
Otherwise tuna miaka mingine 60 ya kuwa kama mazombie kama sasa.
 
Wanabodi!

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali
Kufuatia Lissu kutangaza nia kugombea Uenyekiti wa Chadema, Mbowe hana jinsi ni lazima apishe njia, kumpisha Lissu kukifufua Chadema kwa amsha amsha.

Namna ya Mbowe kuondoka kwa heshima, ni kupitia kugombea urais.

Kwenye urais nako Lissu anakutaka, kwa vile Lissu tunamjua jinsi asivyo na breki, asiruhusiwe kugombea urais, hachelewi kumuogesha mtu wetu kwa mvua za mananiliu!.
Mbowe ndie agombee
P
 
Kaka,Paskal
Chonde chonde,wewe unaonekana huwa una mawasiliano ya karibu na viongozi wengi wa CCM.
Sii kweli, ila kufuatia fani yangu ya uandishi wa habari, nawajua viongozi wa CCM na serikali akiwemo Rais Samia, nimefanya nae mahojiano mara mbili .
Nakuomba uwashauri waanze kumuandaa mgombea mwingine.
Tumeisha shauri, ushauri wa kwanza uko kwenye HII kitu.
Hali ni mbaya mno kumsimamisha Mama.
Hata hali iwe mbaya vipi, mshindi ni yule yule, chama kile kile !. Zisipo tosha, zinatosheshwa, zisipo jaa, zina jazilizwa!.
P
 
Wanabodi!

Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa na sio Chadema, ila mimi ni political advisor mzuri tuu, nimeisha wahi kuwa hired kuwa a political advisor wa taasisi mbalimbali kubwa tuu za kitaifa na kimataifa ambaye kwa sasa naendesha kipindi kiitwacho KMT kinachorushwa na Kituo cha Televisheni cha Channel Ten kila siku Jumapili saa 3:00 usiku na marudio kila siku za Jumatano saa 9:30 alasiri.

Tukubali tukatae Siasa za uchaguzi za Tanzania zinatawaliwa na chama kimoja, CCM kama Chama Dola vikishindana na vyama makapuku katika mashindano ya kugombea kisu cha makali kuwili kwa mtindo wa kunyang'anyana huku CCM imeshika kwenye mpini na kuelekezea wapinzani wake upande wa makali kuwili!.

Tena game yenyewe inachezewa katika uwanja tenge, CCM ikiwa upande wa juu palipoinuka, washindani wakiwa upande wa chini palipolala!.

Tangu tumeanza tena uchaguzi wa vyama vingi ile 1995, mazingira ya uchaguzi ni yale yale, hivyo kila uchaguzi ni vicheko kwa CCM na vilio kwa wapinzani.

Funga kazi ni uchaguzi mkuu wa mwaka 2020, ndipo wapinzani wakapigwa bumbuwazi na matokeo ya uchaguzi wa mwaka 2020.

Wengi waliyapokea matokeo hayo as a surprise, lakini kuna akina sisi, we saw it coming tangu ile ile 2015 na tuliandika humu, kwa waliosoma mabandiko haya na kuyaelewa, matokeo ya uchaguzi wa 2020 was not a surprise.
30th Nov, 2015 Kwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
2017 Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?

2019 The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Chama kikuu cha upinzani, kilisusia uchaguzi ule na kuuita ni uchafuzi, hakiyatambui matokeo, hakimtambui mshindi, hakilitambui Bunge!.

Chadema wakapewa nafasi 19 za ubunge wa viti maalum, wakazigomea, kukajitokeza mashujaa 19 wakachangamkia tenda.

Machi 12 Sir Godi akafanya jambo, taifa likatangaziwa Machi 17, Rais Samia, akiwa ni mwanamke wa kwanza, akaingia madarakani kwa kudra tuu za Mwenyezi Mungu.

Akaamua uchaguzi wa mwaka 2025, tutasimamisha mwanamke ili Watanzania wachague mwanamke.
Hii ya kusimamisha mwanamke, 2025, hata mimi niliunga mkono. Watanzania, tuunge mkono 2025 ni zamu ya Mwanamke, ila sio lazima awe yeye bali yule aliyepangiwa na 'YEYE', kama ni yeye aliyepangiwa, then ni yeye!

Kama CCM Itamsimamisha Rais Samia, kuwa Mgombea wake wa urais kwa uchaguzi mkuu wa 2025, mnaonaje kama tutamchagiza na kumshinikiza Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ndie awe mgombea wa pamoja wa umoja wa upinzani?.

Baada ya Rais Samia kupendekeza 2025 twende na Mwanamke, na Chadema wakaingia maridhiano na CCM na kukubaliana kugawana nusu mkate, niliwashauri Chadema na wapinzani Iwapo Watanzania wataamua 2025 twende na Mwanamke, mnaonaje tukiwashauri CHADEMA wasimamishe Mwanamke? Maana Mwanaume kushindwa na Mwanamke ni aibu!

Tundu Lissu alipotangaza kupitia ITV kuwa yeye atagombea urais kwa tiketi ya Chadema uchaguzi mkuu wa mwaka 2025, niliogopa sana, kwasababu Lissu namjua, kwa kuzingatia maridhiano ya Chadema na CCM halafu Lissu agombee na Rais Samia, kiukweli Rais Samia angeyaoga sana, kwasababu Lissu ana uwezo fulani kumshinda hata Magufuli, ndio maana nilishauri Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Na aliporejea nchini na kukuta maridhiano, aliyozungumza haya, niliuliza humu Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?

Sasa kwa vile maridhiano yamevunjika, tunarudi kule kule kwenye politics of hostilities and confrontation, the best candidate kwa umoja wa upinzani ni Freeman Mbowe, kwasababu huyu ni a mild politician, ni muungwana, akigombea na mwanamke kampeni zitapigika, lakini Lissu ni an extremist hachelewi kumlipua mtu.

Mbowe akilikubali hili, atapiga ndege 3 kwa jiwe moja, na upinzani utavuna Wabunge wengi, madiwani wengi, vijiji, mitaa na vitongoji, ila kwenye urais, bado ni CCM, halafu upinzani uitumie hiyo miaka 5 ya 2025-2030 kujipanga kujaribu kutimiza hili neno la uzi huu, Uchaguzi mkuu wa mwaka 2030, ndio mwanzo wa mwisho wa CCM! Wajinga karibu wote watakuwa wamemalizika!

Hao ndege 3 ambao Freeman Mbowe akiamua kugombea urais wa 2025 kama mgombea wa umoja wa wapinzani

1. Kufuatia kuvunjika kwa maridhiano, kati ya CCM na Chadema, hii maana yake ni hakuna tena kugawana nusu mkate, hivyo Freeman Mbowe asipogombea urais angegombea ubunge jimbo la Hai, nusu mkate ndio ingemrudisha Mbowe bungeni, bila hiyo nusu mkate, then uchaguzi wa 2025 utakuwa kama ule wa. 2020, hivyo kugombea urais ndio the best honorable execuse ya kutogombea jimbo la Hai.

2. Freeman Mbowe na Rais Samia, wanajuana vema, Mbowe alipofutiwa kesi ya ugaidi, break yake ya kwanza ikawa ni Ikulu, na Chadema ilijuwa inakabiliwa na hali fulani, mara ghafla Chadema mambo yake yakawa super, mara wakawa na uwezo wa kufanya kikao cha Baraza Kuu, mara viongozi wakaanza kupiga trips za ulaya, Mbowe akawa haeshi Ikulu. Hivyo Freeman Mbowe akimchalleng Samia, then it's a clash of titan, hivyo Freeman Mbowe atamtikisa Samia na upinzani utavuna kura nyingi na kupata wabunge na madiwani wa kutosha.

3. Kufuatia Freeman Mbowe ku overstay kwenye nafasi ya Uenyekiti wa Chadema, kugombea urais kutampa Freeman Mbowe a perfect and an honorable exit.
Paskali
Advocate wewe upo upande wa Mwamba.
Ila Lisu ana "manifesto" nzuri.
 
Back
Top Bottom