Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hakuna neno maccm yanaogopa kulitaka kama neno TanganyikaMajina yaliyotolewa ni ya awali tu , mengine yenye rufaa ama makandokando mengine yatakufikia muda si mrefu , chadema imeweka wagombea kwenye majimbo yote ya Tanganyika
Mzee maonesho ya 88 yanaendeleaje? Nikiwa nakuangalia kwenye tv , niki relate unavyobishana na wajukuu zako humu jf huwa nabaki mdomo wazi.Mkuu Yohana Mbatizaji, kiukweli nimetokea kuipenda objectivity yako.
Hili unalolizungumzia kuhusu uwezo wa Chedema kutawala nchi, tumeisha lijadili sana humu tangu ile 2015, nothing has changed
CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
P
Tanzania bara kuna jumla ya majimbo 214 ya uchaguzi na Zanzibar majimbo 50..
Kumbe hujui...Buddy upo salama? Uliadimika humu jukwaani mpaka Star TV jana hukuonekana. Kulikoni!?
Uongo cha kiwango SGRMajina yaliyotolewa ni ya awali tu , mengine yenye rufaa ama makandokando mengine yatakufikia muda si mrefu , chadema imeweka wagombea kwenye majimbo yote ya Tanganyika
Acha urongoMajina yaliyotolewa ni ya awali tu , mengine yenye rufaa ama makandokando mengine yatakufikia muda si mrefu , chadema imeweka wagombea kwenye majimbo yote ya Tanganyika
Its true, ndio maana hata humu tumeanza mchakato wa kustaafuMzee maonesho ya 88 yanaendeleaje? Nikiwa nakuangalia kwenye tv , niki relate unavyobishana na wajukuu zako humu jf huwa nabaki mdomo wazi.
Bora ufanye hivyoIts true, ndio maana hata humu tumeanza mchakato wa kustaafu
P
Walio bize kutoa maoni ya kupinga upinzani ni wale wanao lipwa pesa kama wewe. Nadhani mtu mmoja anaaccount mia fb. Kazi yake ni kubadili tu maoni. Vipi we unazo ngapi?Mkuu nenda kwenye page ya Mnyika kule facebook uone maoni ya raia kwenye kile kipande cha hotuba ya Lisu jana pale dodoma.
Chadema imekimbiwa
Jidanganye!Walio bize kutoa maoni ya kupinga upinzani ni wale wanao lipwa pesa kama wewe. Nadhani mtu mmoja anaaccount mia fb. Kazi yake ni kubadili tu maoni. Vipi we unazo ngapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamjua Ntimizi wa Igalula Tabora?Hamna kapi la CCM litafanikiwa kuhama Chama safari hii.CCM wamebana majina mpaka dakika za Majeruhi ili wakose muda wa kuhama
Acheni adventurism attitude, kuna wagombea wengi wa Chadema tunawajua; ni mapoyoyo. Quality of candidates matters. Ubora wa wagombea wa upinzania utatokana na kushirikiana baina yao.Majina yaliyotolewa ni ya awali tu , mengine yenye rufaa ama makandokando mengine yatakufikia muda si mrefu , chadema imeweka wagombea kwenye majimbo yote ya Tanganyika
Wewe unayefikiria kwa kutumia njegere majimbo yenu yana awamu safari hii!Usitumie kufikiria kwa kiungo cha kutolea uchafu mavi.
Wamekwambia hiyo ni toleo la kwanza
Kibamba
Kinondoni
Kilombelo
Mbagala
Kondoa
Kilosa
Unadhani haya majimbo wameshindwa kuweka kweli? Au watu hawapo? Fikiria kabla ya kusema
Hata hao 214 waliotangazwa ni wasindikizaji tu. Ni kama wameua soo ili kushiriki tu lakini hamna watachopata. Angalia mgombea waliomuweka Nyamagana hata udiwani hawezi kupata.Tanzania bara kuna jumla ya majimbo 214 ya uchaguzi na Zanzibar majimbo 50.
Chadema imetangaza kuweka wagombea katika majimbo 163 sawa na 76% ya majimbo yote ya Tanzania bara.
Hivyo basi uwezekano wa Chadema kuunda serikali ama ni finyu sana au haupo kabisa kwa sababu hadi sasa kuna majimbo 51 haina wagombea achilia mbali watayofeli katika hayo 163.
Kwa maana hiyo utaona umuhimu wa vyama vya upinzani kuweka itikadi pembeni na kushirikiana.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
KATIKA ORODHA ILIYOTOLEWA NA CHADEMA PALE CHINI MWISHO WAMEANDIKA KUWA ORODHA NYINGINE ITAFUATA. SASA SIJUI LENGO LENU NI NINI KAMA SIYO KUPOTOSHA.INA MAANA HUO MSTARI HAMJAUSOMA HAPO CHINI MWISHO WA FOMU.Tanzania bara kuna jumla ya majimbo 214 ya uchaguzi na Zanzibar majimbo 50.
Chadema imetangaza kuweka wagombea katika majimbo 163 sawa na 76% ya majimbo yote ya Tanzania bara.
Hivyo basi uwezekano wa Chadema kuunda serikali ama ni finyu sana au haupo kabisa kwa sababu hadi sasa kuna majimbo 51 haina wagombea achilia mbali watayofeli katika hayo 163.
Kwa maana hiyo utaona umuhimu wa vyama vya upinzani kuweka itikadi pembeni na kushirikiana.
2020 Hakunaga kama Dr Magufuli!
Kumbe na wewe huwa unafuata mkumbo.katika orodha hiyo mwisho kuna mstari unasema hiyo ni orodha ya awali,nyingine itafuata baadae.umakini ungeweka akiba ya maneno.au ungeweza kukujiridhisha kutoka kwa viongozi wa chadema.tatizo uko biased sana.huna balansi,pengine uko kazini kumtumikia bwana wako.Mkuu Yohana Mbatizaji, kiukweli nimetokea kuipenda objectivity yako.
Hili unalolizungumzia kuhusu uwezo wa Chedema kutawala nchi, tumeisha lijadili sana humu tangu ile 2015, nothing has changed
CHADEMA: Tujadili Utayari wa Kutawala Nchi 2015
P
Tangu lini Chadema mmeanza kuleta habari nusu nusu!KATIKA ORODHA ILIYOTOLEWA NA CHADEMA PALE CHINI MWISHO WAMEANDIKA KUWA ORODHA NYINGINE ITAFUATA. SASA SIJUI LENGO LENU NI NINI KAMA SIYO KUPOTOSHA.INA MAANA HUO MSTARI HAMJAUSOMA HAPO CHINI MWISHO WA FOMU.
Mkuu kasome ile fomu mwishoni.siandiki kwa ushabiki vitumbua km wewe.sipendagi propaganda zisizo na mashiko.wao ndio wamesema hivyo kuwa orodha nyingine itafuata. na wenye akili wanasubiri na baada ya muda kama hawatatoa ndio unaweza kuandika ulichoandika na kikawa na mashiko.hata mm ntakubaliana na wewe.Tangu lini Chadema mmeanza kuleta habari nusu nusu!
Hahahaaaa..... unaonyesha una hasira sana.Mkuu kasome ile fomu mwishoni.siandiki kwa ushabiki vitumbua km wewe.sipendagi propaganda zisizo na mashiko.wao ndio wamesema hivyo kuwa orodha nyingine itafuata. na wenye akili wanasubiri na baada ya muda kama hawatatoa ndio unaweza kuandika ulichoandika na kikawa na mashiko.hata mm ntakubaliana na wewe.