Uchaguzi 2020 Kama chama kikuu cha upinzani uwezo wake ni kugombea kwenye majimbo 163 kati ya 214 yaliyopo kuna haja ya wapinzani kushirikiana!

CDM itasimamisha wagombea majimbo yote 214 na kata zote 3672. Hayo matokeo yametolewa kwa awamu tukianza na majimbo 163 na tutamaliza na yaliyobaki hivi punde. CDM HOYEEEE!
 
CDM itasimamisha wagombea majimbo yote 214 na kata zote 3672. Hayo matokeo yametolewa kwa awamu tukianza na majimbo 163 na tutamaliza na yaliyobaki hivi punde. CDM HOYEEEE!
Ngoja tuone!
 
Chama kinatakiwa kuwa na wabunge wangapi kuunda serikali?
Je kwanini Magufuli pamoja na ccm kuwa na wabunge wengi alichagua mawaziri kutoka watu aliowateua viti maalumu?
Je kwann waliohamia ccm wakiwa bado wageni walipewa nyazifa za juu?
 
Nimekunukuuu
"Update: 10:00 am
Saa 4:00 ndio hii, bado sijafanikiwa kumpata Polepole ili kujiunga CCM, hivyo mpaka sasa bado sijastaafu, na humu jf bado nipo nipo, sijaacha, naendelea kumfuatilia Polepole ili kujiunga CCM, siku nikifanikiwa kujiunga CCM, nitawajulisha kupitia uzi huu, na baada ya kujiunga rasmi CCM, ndipo nitastaafu na nitaaga rasmi kwa ku update uzi huu".
Sijaona update ya uzi huu ukisema umeonana na Polepole na kuwa umekuwa kada,hivyo umestaafu humu jukwaani. Nauliza tena kulikoni!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yasemekana mmemchagua Mshana Jr. Kuwa Mganga wa Chama ilihali yeye mwenyewe ana kadi ya ACT WAZALENDO [emoji23]
Yaani watu wa UVCCM, UWT, WAZAZI na CCM kwa ujumla mnavyopenda ushirikina, mpaka mnakera kwa kweli.
Maandiko yenu ni ushirikina.
Mawazo yenu ya kishirikina.
Matendo yenu ya kishirikina.
Maneno yenu ya kishirikina.
Ule mwenge kutokimbizwa ndio anguko lenu linapoanzia mwaka huu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zanzibar mwaka 2015 mlichukua majimbo yote nini mlichowafanyia wananchi?
 
Majina yaliyotolewa ni ya awali tu , mengine yenye rufaa ama makandokando mengine yatakufikia muda si mrefu , chadema imeweka wagombea kwenye majimbo yote ya Tanganyika
Ungemwacha huyu mpiga zumari wa lumumba
 
Raia makada wenu mnaowapa bundle kutuliza upepo mtandaoni. Achana na Facebook mambo yote huku watu wana fake Id huwezi jua nani ni nani. Huku ndo kuna mawazo huru!!
Ukweli usiyo na shaka
 
Magamba mnajichetua chetu tu kama mazuzu tu, Tulieni dawa iwaingie vyema maungoni
Lisu kakataliwa dogo, huoni kwenye page ya Mnyika watu wanampiga mawe?
 
Huyu jamaa huwa anaona fahari kuanzisha nyuzi hata kama hazina kichwa wala miguu Ilimradi aongeze idadi ya threads alizoandika!
Mkuu pale lumumba wanalipwa kutokana na idadi ya thread na jinsi gani umewatukana wapinzani
 
KATIKA ORODHA ILIYOTOLEWA NA CHADEMA PALE CHINI MWISHO WAMEANDIKA KUWA ORODHA NYINGINE ITAFUATA. SASA SIJUI LENGO LENU NI NINI KAMA SIYO KUPOTOSHA.INA MAANA HUO MSTARI HAMJAUSOMA HAPO CHINI MWISHO WA FOMU.
Unapenda kuamini kwa kuwa unajifurahisha. Uteuzi wa wagombea huwq haufanyiki kwa awamu. Alichokuwa anafanya ni ku-avoid maswali in advance juu ya sababu za chama kutoweza kuweka wagombea kwenye majimbo yote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…