Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

Kama Cloutus Chama tunayemwimba kwenye mpira wetu wa Bongo kwenye Timu yake ya Taifa hayupo hata reserve basi Ligi yetu ya Bongo ina walakini

Mimi kinachonishangaza ni ubishani WA mpira mitaani na maofisin
Ma Gruop ya watsap hadi kero..

Sasa mpira wenyewe ukija tazama
Hata Mimi huwa nashangaa sana,kwel binadamu tupo tofauti sana
 
Hivi mikia kwanini mimacho inawatoka kutoitwa Chama kwenye timu ya taifa ninyi mnamwona mchezaji mkubwa kwelikweli kumbe ni wa kawaida sana anayejua mpira atabaki simba kufanya nini sasa hivi unasikia tetesi Fei Toto na Mwamnyeto kutakiwa na klabu kubwa za Kongo hao ndio wachezaji mnamvimbisha sana kichwa mchezaji wa bongo
 
Hivi mikia kwanini mimacho inawatoka kutoitwa Chama kwenye timu ya taifa ninyi mnamwona mchezaji mkubwa kwelikweli kumbe ni wa kawaida sana anayejua mpira atabaki simba kufanya nini sasa hivi unasikia tetesi Fei Toto na Mwamnyeto kutakiwa na klabu kubwa za Kongo hao ndio wachezaji mnamvimbisha sana kichwa mchezaji wa bongo
Nchi yetu imejaa wajinga kwelikweli kama haufahamu tp mazembe wapo watanzania watatu ambao hata ihefu awapati namba ulimwengu(kachoka),ambokile na singano .Tumia milango yote ya ufahamu usiandike andike tu
 
Hivi mikia kwanini mimacho inawatoka kutoitwa Chama kwenye timu ya taifa ninyi mnamwona mchezaji mkubwa kwelikweli kumbe ni wa kawaida sana anayejua mpira atabaki simba kufanya nini sasa hivi unasikia tetesi Fei Toto na Mwamnyeto kutakiwa na klabu kubwa za Kongo hao ndio wachezaji mnamvimbisha sana kichwa mchezaji w
[/QUOT

Utopolo ni utopolo tu..Kama chama ni mchezaji wa kawaida sana hao wachezaji wako watakuwaje maana wanatoka kwenye ligi moja ambayo chama kachukua tuzo ya mchezaji bora wa ligi.
Utopolo fikiria unapotaka kuandika.
 
Kama chama ni mchezaji wa kawaida sana hao wachezaji wako uliowataja watakuwaje maana wanatoka ligi moja ambayo chama kachukua tuzo ya mchezaji bora wa ligi na hao wakiwepo.Utopolo fikiria unapotaka kuandika.
 
Mimi utopolo ila kiukweli chama kwa soka letu hapa bongo hana mpinzani. Tukianza porojo sijui hayupo hata kwa reserve timu ya zambia hayo ni mengine.
 
Akili ikiganda huwezi kuona njia mtukuzeni huyo Chama mchezaji mzuri hawezi kubaki nchini wazuri wanachukuliwa na timu kubwa wake up
 
Juzi kati nilikuwa nasoma majina ya Wachezaji walioitwa kwenye Timu ya Taifa ya Zambia na Kocha Mkuu wa timu hiyo Bw. Micho. Nilistaajabu nilipoona jina la mchezaji na kiungo pendwa wa ligi yetu kutokuwemo kwenye orodha ya wachezaji wa timu hiyo. Pia, kiungo mwingine fundi Larry Bwalya naye hakuwemo kwenye orodha hiyo. Nikajiuliza mpira wetu una tatizo gani?

Iweje leo kiungo tunayemwona kuwa asipokuwepo kwenye mechi ya Simba na timu nyingine tuanona kama hakuna timu, leo anakosekana kwenye timu yake ya taifa. Kwa kweli sikuyaamini macho yangu kuhusu hilo. Chama huyu huyu aliyeimpandishia dau la kumsajili timu yake ya Simba baada ya kutakiwa na mahasimu wao Yanga anakosa hata kuwa kwenye wachezaji wa akiba (Reserve)?

Nilipoendelea kushangaa nikakutana na mchambuzi mmoja mahiri alikuwa akieleza kuhusu ubora na udhaifu wa timu ya Simba inapocheza uwanjani. Kwa kumnukuu mchambuzi huyo alieleza kuwa "Timu ya Simba ni bora kwa kuchezea mpira hasa wa pasi fupi za kufurahisha mashabiki (wenyewe wanaita pira biriani) lakini ni dhaifu ikikutana na timu zinazocheza mpira wa nguvu".

Akaendelea kusema ubora wa Simba unamtegemea zaidi Cloutus Chama, ingawa naye hana uwezo wa kucheza mpira wa nguvu. Sehemu kubwa ya mpira anaocheza Chama anatumia unyumbufu wa mwili wake kuwadanganya wapinzani wake kwa vyenga vya hapa na pale.

Hivyo, kama taifa yatupasa tujitathmini kuhusu Ubora wa Ligi yetu ambayo ina wachezaji wanaoimbwa midomoni kama Chama na wengine.
hivi ww ni mshabiki wa mpira au mfatiliaji wa mpira?hivi hujui kuwa kuitwa timu taifa ni uamuzi wa kocha tena uamuzi ambao unaathiriwa sababu nyingi zikiwemo za kitaalamu technical and tactical decisiion na pia sababu binafsi za kocha? kwani ni makocha wote unadhani hawatamuita chama?kila kocha ana mbinu zake,we hujui hilo,what if kocha hataki wachezaji wa design ya chama?kwani hajawahi kuitwa timu ya taifa ya zambia?
haya niambie yule beki bora wa man city chini ya kocha bora duniani pep guadiola,Anaitwa Aimeric larporte mmbona haitwi timu ya ufaransa ilhani ndo tegemeo pale man city?
au nikurudishe nyuma basi,kwanini Romario alichwa world cup ya 2002 na scolari akamchukuwa ronadinho?
fahamu kwanini mchezaji ameachwa na sio kupiga fujo. alaaaaaaa
 
Back
Top Bottom