Good idea...Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
CCM wajiandae na mabadiliko ya teknolojia, tayari magari ya umeme 100% yanauzwa kila sehemu dunianiMkishajaa kwenye gesi mkawa wengi, MTAJUA HAMJUI. Hiiiiiiiiiiii..........................................!!!!!!!!!
Hao CCM jinsi walivyo wase*ge ni mwendo wa kutunyonya mpaka tunyonyoke mamaqqee. Hio gas bei watakavyopandisha pindi watu watakavyo jazana, haielezeki. Wao katika kila jambo muhimu kwa wananchi ndio wanaona fursa ya kupandisha kodi.CCM Ni Chanzo Cha Matatizo, badala ya kufikiria kuboresha maisha ya watu wake, wao wanafikiria ni jinsi gani wawaumize wananchi.
Kwa mawazo yenu mgando ya kuamini kwenye uchawi wa mwenge kupumbaza watu, yakiingia nchini magari ya umeme 100% mtachaji Nini?
Tayari mtaani Kuna pikipiki na bajaji nyingi za umeme 100% mnazikamuaje Kodi ya kila siku?
Siku zao zinahesabikaHao CCM jinsi walivyo wase*ge ni mwendo wa kutunyonya mpaka tunyonyoke *****. Hio gas bei watakavyopandisha pindi watu watakavyo jazana, haielezeki.
Ubungo maziwa pale wanakojazia gesi gari ndogo kuanzia kg 800 hadi tone 2.5 kufunga ni milioni moja na laki 3 pamoja na ufundi hiyo.Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550...
Mafuta unanunua kama lita 3 tuu kwa ajili ya kuwashia asubuhi tuu ule muda unataka kutoka baada ya kuwaka unabonyeza boton ya gass kazi inaendeleaIshu ya mafuta itatuhamisha wengi Kwenye gesi....
Unatoka nayo Ubungo hadi Mlandizi au Ruvu kwa gari ndogoHiyo kilogram moja inaweza kukusukuma hadi wapi?
Karibuni yote saa hivi kafunga wale madereva wezi wa mafuta kwa sasa wanaisoma namba
Zipo nyingi hadi daladala kwa siku anatumia gesi ya 30000 analaza hesabu ya 200000 na hapo ushatoa posho ya konda na sukaKuna mtu gari ist kafunga mtungi wa gesi
Anatwanga mwendo
Ova
Tena na rahisi mno ni watu hawajashtukiaBora gas
Gharama zipoje? Vituo vya kujazia gesi vipo vingapi nchini? Uzito wa Gari unakuaje baada ya kufunga mtungi? Usalama je?Ishu ya mafuta itatuhamisha wengi Kwenye gesi....
Stori za vijiweni. Tulia mkishakuwa wengi ndo utawajua EWURA na tozo zao.Kuna mtu gari ist kafunga mtungi wa gesi
Anatwanga mwendo
Ova
Bujibuji unajua tatizo siyo mafuta Bali tatizo ni akili za watawala wetu, tatizo lingekuwa mafuta watanzania walioko maeneo ya mipakani wasingekimbilia nchi jirani kujaza mafuta.Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550..
Haya mafuta mikodi imekuwa mingi mnoTena na rahisi mno ni watu hawajashtukia
Ngoja ninyakue Tesla....Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550...
Mwenzio kabadili mfumo kwwakuwa kwenye mafuta aalikuwa anaapigwa mnoo, jamaa wanapiga nyoka kama hawana akili nzuri. Kwenye gas hakuna nyokaMafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
akuMafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Ujinga wa hii kitu inamaliza nafasi kwenye buti ukishaweka utakuwa ukitoka Chunya au Tukuyu kuja Dar unaacha kubeba Mchele na maparachichi na mikungu ya ndizi...Na kingine huwa siamini kama Technology hiyo ni salama hasa pale gari linapopata ajali na kupinduka huwa nahisi kama mlipuko utkaotokea hapo si wa kitotoMafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi