Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Sawa malafyale
 
Halafu mkoani unaendaje??

Au inakuwa na mifumo miwili??
 
Shida yake ni moja tu...hiyo gari itakuwa ya Dar Es Salaam tu
 
Hatari sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…