Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo yanazidi kunogaNenda pale DIT chuoni ndio wanafanya hiyo mauchawi ya kubadili mfumo
Tunafuraha sana, lile takataka Bora lilienda zakeSi mlisema sasa mnapumua?
Tuhame tu aiseee..... Kwenye mafuta tunachajiwa hadi Kodi za kuwastarehesha viongozi wa chama chakavu
nasikia ukizidi 180km/saa gariinaweza ikapaaNiliwai sikia ,sina uhakika kuwa mtungi wa kilo 6 ule unaenda 200km...
Madereva wa kibongo ukiwabania kupiga nyoka wanaacha kazi [emoji16] washafanya kupiga nyoka n hak yao ya msingiMwenzio kabadili mfumo kwwakuwa kwenye mafuta aalikuwa anaapigwa mnoo, jamaa wanapiga nyoka kama hawana akili nzuri. Kwenye gas hakuna nyoka
aku
Madereva wanaacha kazi
Sawa malafyaleUjinga wa hii kitu inamaliza nafasi kwenye buti ukishaweka utakuwa ukitoka Chunya au Tukuyu kuja Dar unaacha kubeba Mchele na maparachichi na mikungu ya ndizi...Na kingine huwa siamini kama Technology hiyo ni salama hasa pale gari linapopata ajali na kupinduka huwa nahisi kama mlipuko utkaotokea hapo si wa kitoto
Halafu mkoani unaendaje??Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Tutawafata huko huko tuwaongeze gharama ya gesi 😂Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo
Shida yake ni moja tu...hiyo gari itakuwa ya Dar Es Salaam tuMafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.
Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.
Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Sasa unalialia nini kama takataka lako lilienda zakeTunafuraha sana, lile takataka Bora lilienda zake
Bado matakataka mawili CCM na katiba ya Mwaka 1977Sasa unalialia nini kama takataka lako lilienda zake
Magari yanayotumia umeme yanakuja na Ni Bei poa Sana tuShida yake ni moja tu...hiyo gari itakuwa ya Dar Es Salaam tu
Basi utaisoma namba sanaBado matakataka mawili CCM na katiba ya Mwaka 1977
Hatari sanaMkisha badilisha mifumo ya mafuta kwenye vibebi woka (Magari Ya Mtumba) vyenu na mkaweka mifumo ya gas. Mtuambie, ili sisi kama serikali ya chama pendwa ya CCM tutapandisha kodi maradufu za gas kutoka "KG 1 KWA 1550/Tsh" na kufikia "KG 1 KWA 3,500/Tshs".
Itakua fursa nzuri kwetu kuongeza makusanyo ya kodi ili kuendeleza miradi ya kimkakati, tuweze kufika uchumi wa juu kabisa kuliko ulaya. Kama tulivyoongeza kodi kwenye "KILIMO CHA UMWAGILIAJI".
CCM Hoyee!!! CCM Hoyeeeeeeeee!!! Makofi!!!
Mfumo wa mafuta hauondolewiHalafu mkoani unaendaje??
Au inakuwa na mifumo miwili??
Hamna watu wanaoisoma namba Kama makada wa Chama Cha Mazezeta, hamuonekani kwenye teuzi, Wala hamko special mkilinganisha na raia wengine.Basi utaisoma namba sana