Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Kama Dangote kafunga mitungi ya gesi kwenye malori yake, Mimi ni nani hata nisibadili mfumo wa nishati ya gari yangu?

Gesi ni kama sola. Gharama ni kubwa sana mwanzoni katika kuweka mifumo yake. Ukishaweka unaenjoy maisha mpaka itakapopata hitilafu na kuhitaji repair. Ila ni chaguo zuri sana.

Nashauri ufanyike uwekezaji mkubwa kwenye vituo vya kujazia na utengenezaji wa mitungi bora hapahapa nchini.

Halafu kabla sijasahau, tuliambiwa gesi ya mtwara itakuwa ikitumika majumbani mwetu kipitia mabomba kama ilivyo maji ya DAWASA, hii plani imeishia wapi? Au ilikuwa danganya toto ya wanasiasa?
Tatizo mmejenga nyumba kiholela bila kufuata mipango miji, wakisema wawaletee gesi kutakuwa na majanga kila siku.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
 
Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.

Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.

Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Ukimaliza tu kubadirisha vuuup mafuta yanashuka gesi inapanda, Ndo utajua hujui mbona.
 
Hii nchi unaijua unaiskia? Tuna madini, Maziwa, misitu na maliasili kibao lakini watengeneza sera wakaona Imported good kama mafuta ndo yakuiwekea 100 Mia ya TARURA ....usishangae mkijaa kwenye gas wanatia 1000 nzima
Watengeneza Sera wanatoka kwenye Chama Cha Mazezeta, hivyo ndivyo walivyo Kama Chama chao
 
Tatizo mmejenga nyumba kiholela bila kufuata mipango miji, wakisema wawaletee gesi kutakuwa na majanga kila siku.

Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Natural gas has a flammability range of approximately 5 to 15 percent. That means that any mixture containing less than 5 percent or greater than 15 percent natural gas to air would not support combustion. Natural gas, when mixed with air and exposed to an ignition source, is combustible
 
Zipo nyingi hadi daladala kwa siku anatumia gass ya 30000 analaza hesabu ya 200000 na hapo ushatoa posho ya

Ukimaliza tu kubadirisha vuuup mafuta yanashuka gesi inapanda, Ndo utajua hujui mbona.
Unarudi kwenye mafuta kwani unakuwa hujaua mtiririko wa kutumia mafuta,unapofunga gesi inakupa machaguo ya Aina mbili,utumie gas au utumie mafuta kutegemea na Hali uliyonayo na sehemu uliyopo........hivyo kuweka mtindo wa ges ktk gari ni best option,hutakiwi kuKOSa
 
Mkuu, katika vitu tunafeli waafrika ni kutegemea kila kitu toka kwa wazungu!

Sioni kama selikali yangu ya ccm inafanya juhudi zozote kuhakikisha hii gesi inawanufaisha wanachi kama ilivyo kwa waarabu na mafuta,.
Hiki ulichoandika kimeakisi uzalendo wako uliotukuka kwa nchi yetu tofauti na kipindi kile ulikuwa unaandika kwa kufuata mapenzi yako kwa chama........Safi Sana comrade
 
Jikusanyeni halafu mkisha badilisha mifumo ya mafuta kwenye vibebi woka (Magari Ya Mtumba) vyenu na mkaweka mifumo ya gas. Mtuambie, ili sisi kama serikali ya chama pendwa ya CCM tutapandisha kodi maradufu za gas kutoka "KG 1 KWA 1550/Tsh" na kufikia "KG 1 KWA 3,500/Tshs".

Itakua fursa nzuri kwetu kuongeza makusanyo ya kodi ili kuendeleza miradi ya kimkakati, tuweze kufika uchumi wa juu kabisa kuliko ulaya. Kama tulivyoongeza kodi kwenye "KILIMO CHA UMWAGILIAJI".

CCM Hoyee!!! CCM Hoyeeeeeeeee!!! Makofi!!!
Sema makofi mengi tasafali
 
Mafuta yanapanda Bei Kila kukicha, kipato kinapungua kila kukicha.

Nimepita Ubungo, kituo cha kujaza natural kwenye magari (sheli, tuite hivyo ili nieleweke) nimekuta kg 1 ni shilling 1550.
Gharama za kubadili mfumo ni kama milioni moja na kidogo.

Jumamosi naipeleka gari ikabadilishwe mfumo, sitaki ujinga mimi
Hii ni Taarifa au Tangazo?
 
Hiki ulichoandika kimeakisi uzalendo wako uliotukuka kwa nchi yetu tofauti na kipindi kile ulikuwa unaandika kwa kufuata mapenzi yako kwa chama........Safi Sana comrade
Tungekuwa wazalendo tusinge jiwekea Kinga za kutoshitakiwa ili tusiwe wazalendo,tutumie mamlaka vibaya.
 
Mfumo unakuwa na uwezo wa kujaza gesi kiasi gani kwa gari kama Spacio?
Mtungi una ukubwa wa mtungi wa gass ule mkubwa kabisa unawekwa kule nyuma kwenye boot pipie zinatoka mbele kwenye zinapitishwa ndani kwa ndani hata huzioni ni garji tuu inewekwa mle karibu na batery la gari lilipo na ndani kwenye contol box ya gari kuna dayodi inaongezwa ya kukontroi gass na ndani kwenye gari pale kwenye dush bord kun aweka ki boton tuu cha kubinya kama unataka gass ai petrol yaani ni simple tuu kwa spacil hata milioni na nusu haifiki imezidi saaana ni milioni na laki 2 hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkishajaa kwenye gesi mkawa wengi, MTAJUA HAMJUI. Hiiiiiiiiiiii..........................................!!!!!!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpwaaa JAMAA.MMOJA.ALINITONYA MWAKAJAN A DAH NKAULIZA MNAPATA SH NGAPI NA AC MNATUWEKEA AKAJIBU FAIDA IPO NUNUA IST NIKUPEMCHONGO WA GESI

SASA NAELEEWA KWANINI KWA MWAMPOSA NA KUHANI MUSA KUNA JAAAA KILAKITU KINA PLAN B YA MAISHA UTOKE
AISEE
Soma tena ulichoandika
 
Back
Top Bottom