bloggerboy
JF-Expert Member
- Nov 13, 2017
- 568
- 1,217
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vizuri ungeainisha makosa yaliyopo katika barua, sio watu wote wamesoma sarufi na miundo ya kiswahili boss. Tunahitaji kujifunza zaidi kutokana na makosa
we unahisi hiyo barua imejileta hapo juu?Blogger asiyeweza kuscreenshoot pdf na ku upload,hana tofauti na huyo karani aliye andika hiyo barua kwa niaba ya Mkurugenzi.Bongo watu wana lipua lipua mambo tu.
soma upya tenaKosa la hiyo barua ninini?
assume wewe ni baba umeagiza nyama kilo 5,mtoto kaleta kilo 1,umeiona na umeipokea,ukampa mama jioni inapikwa unaluzwa kwann ndogo,utasema wewe kama baba hauna makosa yoyote?DED hana kosa lolote hapo.
sio kosa langu kutofautisha, soma kilichoandikwa ndio utatambua ninachomaanishaHilo ni tangazo sio barua. Halafu, unafikiri DED anapata wapi muda wa kuandika barua kiongozi. DED anasaini tu barua,by the way sijaona shida kwenye hio document kiasi cha kukosoa.
Ni Ujinga kusaini bila kusomaHilo ni tangazo sio barua. Halafu, unafikiri DED anapata wapi muda wa kuandika barua kiongozi. DED anasaini tu barua,by the way sijaona shida kwenye hio document kiasi cha kukosoa.
Hizi kazi ilikuwa rushwa kwa kwenda mbele. Hii nchi imelaaniwaKama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu haya ni matumizi mabaya ya pesa za mlipa kodi
View attachment 2158496