Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Sentensi ni ndefu sana na hakuna vituo. Content haina shida. Sema barua hizo Ma-DED wanaandikiwa
Duuuuh kweli elimu mali, mi niliona ipo sawa tu 🤣🤣🤣. Btw mtoa mada angekuwa mmoja wapo ya waliochaguliwa na kweli anashida ya kazi, asingeweza spot hayo makosa
 
assume wewe ni baba umeagiza nyama kilo 5,mtoto kaleta kilo 1,umeiona na umeipokea,ukampa mama jioni inapikwa unaluzwa kwann ndogo,utasema wewe kama baba hauna makosa yoyote?
Wewe ndio mwenye matatizo, uandishi gani huo wa kuanza na herufi ndogo?
 
Hivi hiyo ni barua au tangazo? tuanzie hapo kwanza.
 
Hiyo sio barua ni tangazo lakini twambie makosa yakowapi kwenye tangazo hilo
 
Mtoto wa kidato cha nne katoka kujifunza barua rasmi na Tangazo anakuja kumbwela JF.
 
yani hadi muda huu hakuna alieona tatizo hilo,kweli hii nchi inahitaji maombi?
Dogo upo kimajungu sana na hujiamini ndo mana unaogopa kuainisha makosa

Lakini kifupi utambue hilo ni tangazo na sio barua kama ambayo umesema
Manake hapo tu wewe mtoa mada unahitaji maombi mazito na mafuta ya mwamposa
 
Walitangaza lini mbona nipo Moshi hata sijaona Ili tangazo ?
 
... kituo ni pumzi yako itakapoishia; una-pause then unaendelea. Tunatofautiana pumzi; vituo jiwekee mwenyewe.
Bila vituo au alama nyinginezo inakuwa ngumu hata kupata maana.
Mfano mzuri wewe mwenyewe hapo umezitumia vizuri alama ndio maana umeeleweka.
Mfano tu mwenyewe hapo, kama hilo neno "una-pause" ungeandika "unapause" tayari tungeanza kubabaika kwamba lugha gani hii!
 
jinga halijui tofauti ya barua na tangazo,halafu hata makosa ya DED umeshindwa kuainisha
 
Back
Top Bottom