Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Mtoa post ni kilaza wa karne amejionesha kuwa amekalili

USSR
wewe mwenye akili umeshindwa hasaa kujua makosa yaliyopo kwenye barua, na kila siku upo jamiiforums inaonesha wewe ni mzee wa malavidavi tu
 
Ndio maana address inakuwa na namba ya nyumba, jina la mtaa, eneo na code husika.

Sasa ‘POSTIKODI’ kwa Kiswahili ndio kitu gani.

Ujabandika Code zenyewe kila barabara na mtaa

Ujajenga vituo vya kutumbukizia barua mtaani au maeneo ya karibu ata kama unakusanyia madukani.

To name a few Ila umeanza kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa wilaya ambapo unajiuliza what is their role in all these early planning.

Hivi unawezaje kuongelea kitu hadharani kwa nguvu zote ata planning ya ku execute mission yenyewe kumbe uelewi, udhani ata hizo funds za kuagiza magari, kuajiri watu, kujenga majengo ya postal zenye warehouses za kupokea mizigo locally, kuingia contract na local shops kama drop centres and so forth with operation mission ya huo mradi zipo tayari.

Unaenda ku train wafanyakazi wilayani ambao bado najiuliza, what is their role in all these early phases of project or in the future.

The nonsense with this country is beyond me.
Kilatha ndio upo mbali na Nchi hii na unatumia nguvu kuelimisha somo lisilo kabisa
Kwanza kweli Tanzania hatuna vitu hivyo na ndio vinaletwa sasa
Rais Mama Samia ametoa pesa lukuki kwa ajili ya kuandika POSTKODI za makazi na watu km mtu akiwa Canada ajue upo wapi kwa Postkodi yako
Tanzania nzima inatakiwa iwekwe kwenye ramani ya post kodi Nchi nyingine wameongeza na zip code ambapo baadae hata vitambulisho vya Uraia itawekwa ni wapi unapatikana.
umeeleza vizuri lakini uliposema Mkurugenzi anaajiri watu hata magari bado si hivyo, wao wameshaanza kazi na wanaweka Mitaa na nyumba
Mfano KILATHA Street (kibao cha machungwa)
House number 20
ndiyo kazi wanazofanya hao waliotangaziwa kazi za muda Nchi nzima hivyo ili uwe na mawasiliano ya kimtandao ni lazima uwe na smartphone
Kwa Majiji waliopata kazi hizo ni siku 30 kwa posho ya kati ya 30,000. mpaka 40 kwa siku x siku 30
Miji ni siku 7 tu posho ni hiyo hiyo
 
DED hana kosa lolote hapo.
Responsibility mkuu

Unasaini vipi documents zenye editorial mistakes?

Mwinyi alilijuizulu uwaziri baada ya wafungwa kutoroka jela , Angeweza kusena hahusiki maana yeye kama waziri, , , hakuwepo kwenye hilo lindo.
 
Back
Top Bottom