Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu

Uandishi mzuri ni ule unaozingatia matumizi sahihi ya alama za uandishi katika sehemu sahihi sio kujiwekea tu alama nyingi za uandishi pasipo mantiki ya kufanya hivyo, kwahiyo hilo tangazo lipo sahihi kabisa lina alama chache ambazo zimetumika kiusahihi kabisa na sehemu zilipostahili kuwepo.
 
assume wewe ni baba umeagiza nyama kilo 5,mtoto kaleta kilo 1,umeiona na umeipokea,ukampa mama jioni inapikwa unaluzwa kwann ndogo,utasema wewe kama baba hauna makosa yoyote?
Barua haijakosewa
kusudio limekufikia na walioomba wamepewa kazi
Communication Skill huwezi kudodosa kila herufi na grammer hapo kimeeleweka kuwa wafike na vitu vi3 kimojawapo ni simujanja
pia wafungue wavuti ya Manispaa ya Moshi utakuta majina
sasa km blogger unashindwaje kufungua wavuti uangalie hizo Kata zenye mitaa ukajaza ?
 
Kosa lake linaweza kuwa ni kuweka signature na mhuri kabla hajaisoma, lakini hizo barua huandaliwa na MAAFISA UTUMISHI na hupewa MASEKRETARI kuziandaa.
Mkurugenzi haandiki barua. Barua nyingi zinaandikwa na vitengo idara ndani ya Halmashauri.

Hata Mhuri wa DEDE haupatiani kwa DED pekee hata MASJALA UPO.
 
Pamoja na matumizi mabaya ya herufi kubwa, alama kama (,.) Lkn unaposema wafuatao, maana yake unawaorodhesha hapo chini au umeambatanisha lkn huyu kasema ukasema kwenye tovuti
 
‘POSTIKODI’ ndio kitu gani

Postal Code = Area Code

Postal/Area = Eneo

Code = namba maalum

Ndio maana address inakuwa na namba ya nyumba, jina la mtaa, eneo na code husika.

Sasa ‘POSTIKODI’ kwa Kiswahili ndio kitu gani.

Sisi kwa tafsiri zetu

Post = Anwani
Code = (msaada kwenye tuta, ila kodi sio neno sahihi).

Kama ata neno sahihi tu hatuna tumejipanga sahihi kweli na hii mission.

Sijui ofisi ya wilaya inahusika vipi na maswala ya kutuma na kupokea barua.

Muhusika mwenyewe tanzania post ofisi mpaka sasa hana postal services kila eneo bado.

Ujajua unahitaji wafanyakazi wangapi wa hizo ofisi; jumlisha wa kusambaza na kukusanya hizo barua

Ujabandika Code zenyewe kila barabara na mtaa

Ujajenga vituo vya kutumbukizia barua mtaani au maeneo ya karibu ata kama unakusanyia madukani.

To name a few Ila umeanza kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa wilaya ambapo unajiuliza what is their role in all these early planning.

Hivi unawezaje kuongelea kitu hadharani kwa nguvu zote ata planning ya ku execute mission yenyewe kumbe uelewi, udhani ata hizo funds za kuagiza magari, kuajiri watu, kujenga majengo ya postal zenye warehouses za kupokea mizigo locally, kuingia contract na local shops kama drop centres and so forth with operation mission ya huo mradi zipo tayari.

Unaenda ku train wafanyakazi wilayani ambao bado najiuliza, what is their role in all these early phases of project or in the future.

The nonsense with this country is beyond me.
 
Ni vizuri ungeainisha makosa yaliyopo katika barua, sio watu wote wamesoma sarufi na miundo ya kiswahili boss. Tunahitaji kujifunza zaidi kutokana na makosa
Kwanza haitakiwi kuandika barua kwa herufi kubwa hadi kwenye text. Kwenye kichwa cha habari ni sawa. Halafu barua haina koma wala nukta na paragraph nzima ni sentensi. Ukisoma inabidi uombe glass ya maji ushushie ndio uendelee, kweli! Huo sio uandishi unaofaa! Mengine wataongezea Wananzengo.
 
Back
Top Bottom