Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Daktari wa lugha kwema? Nimewamiss Dodoma
THANKS , ITS WHAT I WAS NEEDINGBado hata tarehe/siku ya kuripoti hao wafuatao...hakuna!
Kwa masikitiko Ded ni PhD holder ikama ile PhD ya Doto biteko.Kama DED anaandika Barua hivi, kuna haja ya kufanya Reformation kwa hawa watu haya ni matumizi mabaya ya pesa za mlipa kodi
View attachment 2158496
Nimeona muda saa wanayotakiwa kureport, lakini sijaona ni siku gani (tarehe ya kufika). na kuna makosa mengine mengi tu madogomadogoTatizo likowapi wanazengo
NA HAYA NDIO MAKOSA MAKUBWA HASANimeona muda saa wanayotakiwa kureport, lakini sijaona ni siku gani (tarehe ya kufika). na kuna makosa mengine mengi tu madogomadogo
Mtoa post ni kilaza wa karne amejionesha kuwa amekaliliNi vizuri ungeainisha makosa yaliyopo katika barua, sio watu wote wamesoma sarufi na miundo ya kiswahili boss. Tunahitaji kujifunza zaidi kutokana na makosa
wewe mwenye akili umeshindwa hasaa kujua makosa yaliyopo kwenye barua, na kila siku upo jamiiforums inaonesha wewe ni mzee wa malavidavi tuMtoa post ni kilaza wa karne amejionesha kuwa amekalili
USSR
Kilatha ndio upo mbali na Nchi hii na unatumia nguvu kuelimisha somo lisilo kabisaNdio maana address inakuwa na namba ya nyumba, jina la mtaa, eneo na code husika.
Sasa ‘POSTIKODI’ kwa Kiswahili ndio kitu gani.
Ujabandika Code zenyewe kila barabara na mtaa
Ujajenga vituo vya kutumbukizia barua mtaani au maeneo ya karibu ata kama unakusanyia madukani.
To name a few Ila umeanza kutoa mafunzo kwa wafanyakazi wa wilaya ambapo unajiuliza what is their role in all these early planning.
Hivi unawezaje kuongelea kitu hadharani kwa nguvu zote ata planning ya ku execute mission yenyewe kumbe uelewi, udhani ata hizo funds za kuagiza magari, kuajiri watu, kujenga majengo ya postal zenye warehouses za kupokea mizigo locally, kuingia contract na local shops kama drop centres and so forth with operation mission ya huo mradi zipo tayari.
Unaenda ku train wafanyakazi wilayani ambao bado najiuliza, what is their role in all these early phases of project or in the future.
The nonsense with this country is beyond me.
Responsibility mkuuDED hana kosa lolote hapo.