Kama Dhahabu ni pesa, kwanini tupokee mgao wa makaratasi Badala ya Dhahabu?

Niliwahi kuandika haya kuhusu dhahabu yetu:
 
Ngoja tuone Madelu anayevaa tai ya Bendera ya Taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿kama Ishara ya Uzalendo ataona Uzi huu na kupeleka ushauri kwenye Cabinet ya mawaziri!!
Hivi naweza kufungua account ya gold bars?
 
Mkuu,mkuu hii dunia ya Biashara ina levels za iufanya mambo,kumbuka Magufuli aliwahi sema Mabebebru walishachukua gesi,na dhahabu ni hivyo hivyo.Imagine hata hilo unalosema ilitakiwa lifanyike kwenye dhahabu.
 
Botswana na Tanzania ni tofauti kama mjamzito na tasa! Very very different experience!
Hivi hiyo ccm yenu inayapokea haya maoni??
 
Mawazo haya unayo wewe mkuu mwenye kulitakia mema Taifa, na sio kuitakia mema mifuko yako.
 
Tumempa ushauri wa bure kwake
Niwaambie ili tufike hapo 50/50 ni lazima tukomae Tuwe nchi ya Uchumi wa kati,kiukweli Magufuli alikuwa mtu mhimu mno,in fact ukiwa uchumi wa kati kuna profile inapanda katika nyanja za uchumi,watesi wakala kichwa
 
Mkuu,mkuu hii dunia ya Biashara ina levels za iufanya mambo,kumbuka Magufuli aliwahi sema Mabebebru walishachukua gesi,na dhahabu ni hivyo hivyo.Imagine hata hilo unalosema ilitakiwa lifanyike kwenye dhahabu.
Bt Kuna migodi na maeneo mengi Bado hayajawekezwa Kwa wageni.

Ndo tunamshauri maeneo hayo wasipewe wageni Hadi tubadili Katiba na SHERIA Ili tupate 50+1%
 
Bt Kuna migodi na maeneo mengi Bado hayajawekezwa Kwa wageni.

Ndo tunamshauri maeneo hayo wasipewe wageni Hadi tubadili Katiba na SHERIA Ili tupate 50+1%

Upi sahihi migodi mipya mikataba yake iwe ya magao wa mali kwa mali ya vitofali vya dhahabu


MJADALA WA BIASHARA YA DHAHABU KWA MAFUTA WAPAMBA MOTO NCHINI 🇬🇭

Mjumbe wa kamati ya migodi na nishati ya Bunge nchini Ghana, Dr. Kwabena Donkor amesema hizi ni sarakasi zinazochezwa na serikali ambazo ni kiini macho kwani haziwezi kutekelezeka.

Kujaribu biashara ya mali-kwa-mali (barter trade) ya kubadilisha dhahabu kwa mafuta ya petroli / dizeli kimataifa ni dalili ya serikali kushindwa kusimamia uchumi anasisitiza mbunge na mjumbe huyo wa kamati ya bunge Dr. Kwabena Donkor ambaye aliwahi kufanya kazi ktk sekta ya petroli.


Dr. Kwabena Donkor akishiriki ndani ya mjadala exclusive wa kituo cha JoyNews amekwenda ndani zaidi kwa kuhoji ni nani anayemiliki migodi hiyo, na inajulikana ni makampuni makubwa ya kigeni hivyo watawalipa nini wenye migodi je ni kwa pesa za madafu yaani sarafu ya cedis ya Ghana au dollars za Kimarekani ambazo serikali ya Ghana haina fedha hizo za kigeni.

Anaongeza hoja Dr. Kwabena Donkor, pia kama serikali italenga kununua kwa wachimbaji wadogo wadogo itaweza kushindana na bei ya dhahabu ya soko la dunia? Maana itapelekea wachimbaji hao wadogo kutorosha dhahabu kupitia njia za panya za mipakani.

Hii ni kutokana na serikali itashindwa kuwalipa bei nzuri wachimbaji wadogo au kuwalipa kwa dollar za marekani wachimbaji wadogo kulingana na bei ya soko la dunia kwani serikali haina hifadhi ya kutosha ya fedha za kigeni.

Kimsingi katika mada hii moto ya kituo cha TV JoyNews pia mtendaji mkuu (CEO) wa chemba ya migodi ya Ghana, Dr. Sulemanu Koney naye ktk mahojiano ametoa kauli juu ya changamoto ya jinsi ya uhalisia wa uwezekano wa sera hiyo mpya ya biashara ya mali-kwa-mali kuweza kutekelezeka, kwani kuna mengi ya kuyafanya kabla ya sera hiyo kuweza kutekelezeka ingawa chemba hiyo milango yake ipo wazi kwa majadiliano na serikali ya Ghana.

View: https://m.youtube.com/watch?v=idU-ZxmfIMUSource : JoyNews
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…