Hivi naweza kufungua account ya gold bars?Ngoja tuone Madelu anayevaa tai ya Bendera ya Taifa 🇹🇿🇹🇿🇹🇿kama Ishara ya Uzalendo ataona Uzi huu na kupeleka ushauri kwenye Cabinet ya mawaziri!!
Ndio inawezekana.Hivi naweza kufungua account ya gold bars?
Kutaifisha gold zako ni kugusa tu. Halafu wanakupa madafu.Hivi naweza kufungua account ya gold bars?
Benki kuu wanazo hizo dhahabu?Ndio inawezekana.
Nenda Benki kuu kafungue.
Mmmh hatariKutaifisha gold zako ni kugusa tu. Halafu wanakupa madafu.
🤣Benki kuu wanazo hizo dhahabu?
Mkuu,mkuu hii dunia ya Biashara ina levels za iufanya mambo,kumbuka Magufuli aliwahi sema Mabebebru walishachukua gesi,na dhahabu ni hivyo hivyo.Imagine hata hilo unalosema ilitakiwa lifanyike kwenye dhahabu.Zimbabwe imetengeneza sarafu ya Dhahabu yenye thamani sawa na USD 900 baada ya pesa Yao kutoimarika.
Sie Watanzania tumebinafsisha migodi yetu, wachimbe pesa Kisha kutupa mgao wa makaratasi, tena Kwa makadirio na wakati mwingine wanatangaza HASARA na kubadili Majina Ili kukwepa Kodi mf Kutoka Barrick kwenda Acacia 😳
Ikumbukwe kuwa tangu kuumbwa Kwa Dunia, Dhahabu haijawahi tetereka katika soko la Dunia.
Kununua Dhahabu Kutoka wachimbaji WADOGO Bado uzalishaji uko chini kutokana na uwekezaji wa Serikali chini ya Mamlaka husika kuzalisha na kuongeza ubora Kwa viwango vya kidunia.
Hivyo kuwaelekeza wafanyabiashara huko kununua Dhahabu Ili waende kuuza kupata dollar za kuagizia mafuta na bidhaa adimu, ni kukosa vision.
Botswana ni Nchi IPO hapa hapa Africa, wao wamebinafsiaha Dhahabu Yao Kwa wageni Kwa kupewa hisa ya 50%.
Sie Watanzania tunapewa mrabaha wa chini ya 20%, na mbaya zaidi tunalipwa cash Dhahabu inaenda.
Ikiwa kama Nchi tunaona uelekeo sahihi ni kununua Dhahabu Kwa wachimbaji wa ndani, kwanini tusianze na makampuni tuloyabinafsishia migodi Ili yatulipe mrabaha in terms of Gold na Si pesa cash?
Pia kwanini tusirudi mezani na kuhakikisha tunapata share ya 50+1% sababu sisi ndo wamiliki wa raslimali?
Na hiyo 50+1% Inatakiwa tupewe in terms of Gold iliyozalishwa Kwa ubora wa juu katika gold bars(vitofali).
Yaani tunaweka wazalendo kwenye Kila mgodi pale jikoni vinapitengenezwa vitofali yaani gold bars, moja letu, moja lao mwanzo mwisho.
Kwa kufanya hivyo, Nchi ingepata vitofali vingapi Kwa siku? Ni Dhahabu kiasi Gani inapelekwa nje ukizingatia wanafanya KAZI day and night?
Stamico kwanini haisitishi vibali vya utafiti na uchimbaji madini yetu Kwa makampuni ya nje Ili yenyewe iunde na kusimamia migodi itayochimba Dhahabu yetu na tukapata share kubwa zaidi?
Kwanini Benki kuu isianzishe SARAFU ya Dhahabu yenye ubora wa kimataifa Ili kuimarisha currency yetu ya Tshs?
Kwani madini yetu Mungu alitupa tuwagawie majirani au tulipewa yatutajirishe?
Watoto wanakaa chini wakati Dhahabu yetu inaenda kutajirisha wageni ambao hawakujaliwa raslimali hizo!!
Wazalendo wa Nchi wapo wapi?
Karibuni🙏
Cc Faiza fox, Meneja wa makampuni, Lord Denim, Kalamu.
Na kwa sasa ni yeye mwenyeweBila shaka umerefer hapa
1. Barua ya Wazi kwa Waziri wa Nishati, Mheshimiwa Dkt. Dotto Mashaka Biteko: Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi.
2. Barua ya wazi kwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Basi yapasa nakala moja imwendee waziri wa nishati na waziri wa madini Waagizaji wa Mafuta watumie Dhahabu kununua Mafuta Nje ya Nchi.
Tumempa ushauri wa bure kwakeNa kwa sasa ni yeye mwenyewe
Usije ukathubutuHivi naweza kufungua account ya gold bars?
I see!Usije ukathubutu
Botswana na Tanzania ni tofauti kama mjamzito na tasa! Very very different experience!1 July 2023
Under the new deal announced on Friday, Botswana gets a bigger share of rough stones from their joint venture, Debswana.
Botswana and mining company De Beers have announced a new diamond sales deal.
View attachment 2709249
The new deal, concluded on Friday, gives Botswana a bigger share of rough stones from their joint venture.
Debswana, a joint venture between Anglo American unit De Beers and Botswana's government, sells 75% of its output to De Beers, with the balance taken up by state-owned Okavango Diamond Co.
The new agreement covers a 10-year sales deal for Debswana rough diamond production through to 2033 and 25-year Debswana mining licences.
In the run-up to Friday's deal, Botswana President Mokgweetsi Masisi, who is expected to seek re-election next year, had pushed De Beers for a bigger share of Debswana's output.
In March, Botswana announced it would take a 24% stake in Belgian gem processing firm HB Antwerp in a move seen as designed to loosen De Beers' grip on the country's gems.
Botswana supplies 70% of De Beers' rough diamonds
Hivi hiyo ccm yenu inayapokea haya maoni??Niliwahi kuandika haya kuhusu dhahabu yetu:
Ushauri wa kiuchumi kuhusu Dhahabu yetu kwa Serikali ya Tanzania
Ipitishwe sheria bungeni, dhahabu yetu yote, inayochimbwa na wachimbaji wadogo na wakubwa inunuliwe na BOT, kitengo cha hazina ya Taifa. Na wao pekee ndiyo watakaoiuza ndani na nje ya Tanzania. Hii ni wepesi sana kuhakikisha hatukaukiwi na fedha za kigeni na tunadhamana ya kutosha kukopa kwa...www.jamiiforums.com
Niwaambie ili tufike hapo 50/50 ni lazima tukomae Tuwe nchi ya Uchumi wa kati,kiukweli Magufuli alikuwa mtu mhimu mno,in fact ukiwa uchumi wa kati kuna profile inapanda katika nyanja za uchumi,watesi wakala kichwaTumempa ushauri wa bure kwake
Ila ni wazo zuri sana kama wangekuwa wanaaminika hawa wanasiasa wetu.I see!
Bt Kuna migodi na maeneo mengi Bado hayajawekezwa Kwa wageni.Mkuu,mkuu hii dunia ya Biashara ina levels za iufanya mambo,kumbuka Magufuli aliwahi sema Mabebebru walishachukua gesi,na dhahabu ni hivyo hivyo.Imagine hata hilo unalosema ilitakiwa lifanyike kwenye dhahabu.
Bt Kuna migodi na maeneo mengi Bado hayajawekezwa Kwa wageni.
Ndo tunamshauri maeneo hayo wasipewe wageni Hadi tubadili Katiba na SHERIA Ili tupate 50+1%