900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
kashafanya makosa mengi tu mbona hata na hivyo maza kamtoa kistaarabu sanaNimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi
...
Magufuli ashavunja sheria mara ngapi? Magufuli ndio kapitisha izo sheria mbovu kuwalinda wakwapuzi wakeSamia kavunja sheria kwa kumuondoa mtu kwenye nafasi yake bila ruhusa hiyo, wasaidizi wake hawakuona hilo? au labda waliona wakapuuza kutokana na ulazima wa kuliunganisha taifa uliopo sasa, ningependa Mganga aende mahakamani kupinga kuondolewa kwake, tatizo wote ni wale wale.
Sasa ndio ampe cheo kingine?!Huyu ataweza kutoa haki kama jaji?Kwaiyo ni Bora angeendelea kumuacha,, kipi afadhali,kwaiyo angefuata sheria aendelee kumuacha mtu ambae hata nyinyi na sisi tunajua kwamba DPP biswalo hakuwa msafi!!?
Yote yako sahihi. Mh. Rais amemuondoa kwa kumpandisha cheo. Hilo halina tatizo. Ndivyo pia mwenda zake alivyobmuondoa Felesh.Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi...
Nani uyo mtamuondoa kupitia wagangaHuyu tutamuondoa kupitia waganga wa kienyeji hii ya kisheria itatuchelewesha sn
MgangaNani uyo mtamuondoa kupitia waganga
Mkuu we unashauri angefanyaje?!! Maana uwezi jua ana maana gani kumtoa pale na kumpeleka kwenye ujajiSasa ndio ampe cheo kingine?!Huyu ataweza kutoa haki kama jaji?
Siyo mwenda zake alileta hizi sheria bali bunge la Ccm. Kila kitu ndiyoooo.Masheria ya kipumbavu yaliyoletwa na mwendazake yafutwe yanasababishwa contradictions
Hata mimi naelewa Jiwe ndio alikuwa chanzo, ila na wao wanapaswa kuwajibila vinginevyo huu utakuwa ni mfano mbaya kwa watawala na wateuliwe wajao otherwise wangejiuzu.Amempandisha che kuwa jaji na ndio njia pekee ya haraka na rahisi kumuondoa ofisini hizi zingini ni mchakato mrefu lakini pia Biswalo huenda alisababishiwa yote hayo na mhimili mwingi na wala hakuwa yeye kama yeye, pengine ni mtu safi tu,hillo nalo mkae mkilizingatia wapo watu wengi tu kupitia awamu ya 5 wamechafuka sana ili kutimiza matakwa ya mtu.
Labda rais katafuta convenience kwa kumpa u-jaji, badala ya mlolongo wa kuunda tribunal ili kumng'oa..Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Raisi atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.
Sasa kama haya yana ukweli, Raisi Samia amemuon
Mganga harogekagi mkuuMganga
Kama inajulikana si Msafi kwanini ampeleke kua Jaji? Huoni kama huyu anaeteua na kutengua nae ana shida?Kwaiyo ni Bora angeendelea kumuacha,, kipi afadhali,kwaiyo angefuata sheria aendelee kumuacha mtu ambae hata nyinyi na sisi tunajua kwamba DPP biswalo hakuwa msafi!!?
Inawezekana uchunguzi ukifanyika,yataibuka mengi na kuna hatari ya Hayati kuhusishwa na ndio maana wanakwepa.Mkuu we unashauri angefanyaje?!! Maana uwezi jua ana maana gani kumtoa pale na kumpeleka kwenye ujaji
Ni ngumu sn kumtoa hukoKwani huko kwenye ujaji alipompeleka sheria inasemaje kuhusu kumuengua
Nimesoma mitandao ya jamii yote maarufu katika mambo ya kitaifa na kisiasa jana. Ni Jaji mmoja tu Biswalo Mganga aliyelalamikiwa kuwa siyo uteuzi "safi" na wanasema Mama "kakosea". Biswalo ana tuhuma nyingi za kubamnikiza watu makosa ya uhujumu uchumi na kujipatia fedha yeye binafsi kupitia kichochoro cha "plea bargain".
Rais Samia Suluhu assan ashauriwe kuunda Tribunal Maalum kwa ajili ya kumchunguza Biswalo Mganga kwa vitendo vyake kama DPP kuanzia mwaka 2016 hadi 2021.
Sheria ya National Prosecution Services Namba 27 ya 2008, kifungu 3-8, imetoa mwongozo wa namna ya kumuondoa DPP
Alafu Cha ajabu Watumishi wengi wa Umma ndiyo hawampendi sana! Wanamuektia na Sasa ndiyo huko ma officini ndiyo hawatumiki kabisa wame relax wanamuangalia Mama!!Huyu mazaa amefeli mapema sn ndiyo maana amepoteza mvuto mapema sn