Kama DPP haondolewi ofisini mpaka afanye makosa au awe na tatizo la kiafya, Rais kamuondoa katika mazingira gani?

Kama DPP haondolewi ofisini mpaka afanye makosa au awe na tatizo la kiafya, Rais kamuondoa katika mazingira gani?

Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Na KWANINI atungiwe Sheria ya kutokuondolewa mbona Watumishi wengine Sheria haziko hivyo?
 
Samia kavunja sheria kwa kumuondoa mtu kwenye nafasi yake bila ruhusa hiyo, wasaidizi wake hawakuona hilo? au labda waliona wakapuuza kutokana na ulazima wa kuliunganisha taifa uliopo sasa, ningependa Mganga aende mahakamani kupinga kuondolewa kwake, tatizo wote ni wale wale.
Huyo DPP anajua makosa yake na ukisoma hiyo sheria ni kama Samia amemsevu tu, ilipaswa haya malalamiko ya DPP kuonea watu yaundiwe tume then wamtimue kabisa ana bahati wamemstahi tu, yani akatulie huko anakoenda. Mfupi kama kimba
 


Nimw copy and paste
Embu chambua chambua sijui utapata jibu hapo
 
Mbona aliyekuwa DPP Mhe. Feleshi naye alipata kuondolewa kuwa DPP na Utawala uliopita?.
 
Tuna tatizo kubwa sana la wananchi kuishi nchini mwao kama wapita njia.
Ni muhimu sana kwa wananchi kuhakikisha katiba na sheria zinafuatwa na kulindwa kwa nguvu kubwa.
Hata hivyo, shida inaanzia pale viongozi wanapoachwa kutunga na kubadilisha sheria wanavyotaka.
Ni lazima wananchi wawe wakali dhidi ya viongozi na hata kuwashughulikia wanapochezea katiba na sheria.
Michango mingi hapa inaonesha wengi wanajifanya wapita njia kwa kupinga au kujipendekeza kwa viongozi badala ya kusimamia katiba na sheria.
Matokeo yake, mfumo wa uongozi umekuwa wa kutojali katiba na sheria bali matakwa ya mtu au kundi fulani.
 
Huyo DPP anajua makosa yake na ukisoma hiyo sheria ni kama Samia amemsevu tu, ilipaswa haya malalamiko ya DPP kuonea watu yaundiwe tume then wamtimue kabisa ana bahati wamemstahi tu, yani akatulie huko anakoenda. Mfupi kama kimba
Mama anakosea sana na huku ni kuweka mfano mbaya kwa viongozi wajao.
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Nimefuatilia kuwa ujimwondoa mbadala ni ujaji, naona mama ameumiza ki hwa sana namna ya kumuondoa u DPP
 
Waanze kuziondoa kinga za kushtakiwa kwa Waziri Mkuu, Speaker na Naibu Speaker.

Huo ujunga wa kuwapa kinga ya kutoku shtakiwa ndio unawafanya wawe viburi na washenzi.

Isingekuwa kinga ya kushtakiwa aliopewa Job Ndugai na marehemu, angekua ameshaburuzwa mahakamani muda mrefu sana kwa kuvunja katiba ya nchi.
Yes ni kweli
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

View attachment 1782394


Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Turudi hapa wadau. Huko jikoni tayari CAG kishafanya yake, kilichobakia ni kuweka mezani tu.

Biswalo Mganga, hachomoki
 
Back
Top Bottom