Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,963
- 3,685
Mkuu mbona kila kitu kipo waz na video zipo kibao na nimeziangalia nyingi tangu zama za john kenned wa usa mwezin mbona si mbal sana kias cha kushindwa kufika.... Video nimeangalia na watu waliovunja rekod wapo mkuu ya kuwa wtu w kwNza kufika huko