Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

Kama dunia ni duara sisi tupo ndani au nje?

Tupo njee tena pembenii mwa outer structure of the earth...(continental shelf)..ndanii kunasadkika joto lake..ni 150000c..utaishii go.mkuuu....?
 
Kwanza dunia siyo duara Bali Ni umbo la tufe kama yai vile nasisi viumbe Tupo kwenye gamba la dunia Yani nje .

Naona hata walioanzisha hii elimu nao walikuwa wanatuzid uwezo xn mana naona theories zao mara nyingne zinazingu xn
Mfano tukiwa primary darasa la kwanza na la pili sijui vile tuliambiwa 1-2 haiwezekani ila bade tukajifunza kuwa 1-2=-1 vivo hivyo tukaja kujifunza kuwa dunia ni duara na badae dunia ipo kama tufe na level ya chuo kwa waliosoma survey yenyenyewe kuna topic moja hiv inaitwa PHOTOGRAMETRY pia nayo inakuja kukataa kuwa Dunia iko kama Tufe kwa sababu zilizowekwa pale so na reasons za kushiba kabisa!!!!!!
kwa hiyo na mm tangu nisome hiyo topic pia huwa siamin kama dunia ni Tufe.........!!!!!!
 
Mi ninachojua tuko nje, swali ambalo huwa najiiliza kwa nini hatudondoki wakati dunia ikijizungusha kwenye mhimili wake?
Halafu mbona hakuna wakati tunakuwa kama popo? Yaani kichwa chini miguu juu??
 
Tupo njee tena pembenii mwa outer structure of the earth...(continental shelf)..ndanii kunasadkika joto lake..ni 150000c..utaishii go.mkuuu....?
sasa kama tupo nje kwann watu wanasema tunaishi duniani ?
 
Naona hata walioanzisha hii elimu nao walikuwa wanatuzid uwezo xn mana naona theories zao mara nyingne zinazingu xn
Mfano tukiwa primary darasa la kwanza na la pili sijui vile tuliambiwa 1-2 haiwezekani ila bade tukajifunza kuwa 1-2=-1 vivo hivyo tukaja kujifunza kuwa dunia ni duara na badae dunia ipo kama tufe na level ya chuo kwa waliosoma survey yenyenyewe kuna topic moja hiv inaitwa PHOTOGRAMETRY pia nayo inakuja kukataa kuwa Dunia iko kama Tufe kwa sababu zilizowekwa pale so na reasons za kushiba kabisa!!!!!!
kwa hiyo na mm tangu nisome hiyo topic pia huwa siamin kama dunia ni Tufe.........!!!!!!
hiyo topic inasema dunia ikoje ?
 
Pole sana mleta mada kwa mateso unayopata ya kutumia nguvu nyingi kufikiria juu ya hili, kama ulikaa darasani kwa makini ni kwamba, tuliaminishwa kuwa kuna nguvu ya uvutano kutoka ndani ya Dunia ambayo inatuvuta na kutufanya tusianguke, ila ukweli ni kumpa Mungu sifa kwani yeye ndo muweza anayejua kila kitu.
Hapa sawa. Haya mambo yako nje ya uwezo wetu sifa zipelekwe kwa Mungu
 
Wanasemaga eti tupo kwenye uso wa dunia, lakini nadhani walikosea maana mie naona tupo kwenye matak.o ya dunia(kutokana na tabia chafu za mifirano tunazoziendekeza)
Hahahahah

Nouma Sana
 
Back
Top Bottom