Sio kweli, umelishwa matango pori, dunia iko flatKuna kitu kinaitwa gravitational force.
No ni Africa ndio tuko kwenye matak.o ya dunia wengine wote wapo kwenye uso wa duniaWanasemaga eti tupo kwenye uso wa dunia, lakini nadhani walikosea maana mie naona tupo kwenye matak.o ya dunia(kutokana na tabia chafu za mifirano tunazoziendekeza)
😛😛😛No ni Africa ndio tuko kwenye matak.o ya dunia wengine wote wapo kwenye uso wa dunia
Conspiracy theoristsHakuna mtu aliyefika mwezini hizo za NASA unazoziona ni assumption na simulation za Nevada desert tu
Wajuzi wa jiografia naomba majibu ya haya maswali. Sote tumeaminishwa dunia ni duara/Tufe/yai, je sisi(viumbe vya duniani) tupo ndani yake au nje??
Kwanini unasema hivo ??Hakuna mtu aliyefika mwezini hizo za NASA unazoziona ni assumption na simulation za Nevada desert tu
Umeona eeh, au wewe unadhani tupo sehemu gani ya dunia mkuu kama si kwenye KUNDU la Mr Dunia?
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Wanasemaga eti tupo kwenye uso wa dunia, lakini nadhani walikosea maana mie naona tupo kwenye matak.o ya dunia(kutokana na tabia chafu za mifirano tunazoziendekeza)
Mbutaaa[emoji134] [emoji134] [emoji134]Umeona eeh, au wewe unadhani tupo sehemu gani ya dunia mkuu kama si kwenye KUNDU la Mr Dunia?
[emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777] [emoji777]Tuko nje mkuu
Hivi Siyo jografia ya darasa la 3 hii!!?
Daaah!
Mi ninachojua tuko nje, swali ambalo huwa najiiliza kwa nini hatudondoki wakati dunia ikijizungusha kwenye mhimili wake?