Kama familia ya Sabaya imerejeshewa madaraka basi dhulma inalipa mapema kuliko haki

Kama familia ya Sabaya imerejeshewa madaraka basi dhulma inalipa mapema kuliko haki

Resilience

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2023
Posts
1,096
Reaction score
4,948
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Hivi unaijua haki wewe kijana? Yaani Dunia hii iliyojaa vurugu za kila rangi halafu wewe unaleta ngonjera eti haki narudia tena dunia hii hakuna haki zaidi ya vurugu na danadana za kila aina
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
unawaza kinyumenyume...

laumu, manung'uniko na husda
haiwezi peleka mutu yeyote mahali ..

tafuta cha kufanya na ufanye kwa akili na bidii sana. Ya wengine yatachakaza moyo wako, nafsi Yako na kuchosha akili yako bure Kabisa .....
 
Tatizo la Bongo ni fikra za kuwa kila kiongozi ni malaika na akikosea asipewe nafasi nyingine,

Kibaya zaidi kosa la mmoja watataka waunganishe ukoo mzima, wote waadhibiwe

Sasa hii ni pumba first class

Leo mtaanza na kurejeshewa madaraka ilhali kampeni na kura zimepigwa kihalali, na hamkawii mnaweza kuanza hata kutunga na kuropoka kuwa si ajabu aliyepita kapumzishwa ili huyu aingie kwa jinsi mlivyo na hila.
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.

Tatizo la Bongo ni fikra za kuwa kila kiongozi ni malaika na akikosea asipewe nafasi nyingine,

Kibaya zaidi kosa la mmoja watataka waunganishe ukoo mzima, wote waadhibiwe

Sasa hii ni pumba first class
Mabwege ya Chadema yanawaza kwa kutumia kalio
 
Hivi unaijua haki wewe kijana? Yaani Dunia hii iliyojaa vurugu za kila rangi halafu wewe unaleta ngonjera eti haki narudia tena dunia hii hakuna haki zaidi ya vurugu na danadana za kila aina
“Dunia kutokuwa na haki”, haina maana ya wewe kukubaliana na dhulma.
 
“Dunia kutokuwa na haki”, haina maana ya wewe kukubaliana na dhulma.
Sasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika
 
Sasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika
Acha ujinga Sabaya Hana Hatia

Gaidi Mbowe mbona amlalamiki yeye kuwa huru huku alikua anataka kulipua makanisa, Vituo vya Mafuta na kua viongozi
 
Acha ujinga Sabaya Hana Hatia

Gaidi Mbowe mbona amlalamiki yeye kuwa huru huku alikua anataka kulipua makanisa, Vituo vya Mafuta na kua viongozi
Acha dharau na matusi kijana
Ni wapi na lini na mwaka gani niliwahi sema sabaya au mbowe wana hatia?
Mbona unanilisha maneno
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Siku utakapo tuhumiwa Kwa uzushi ndio utakuwa umuhimu wa mahakama kukusafisha
 
Back
Top Bottom