mjusilizard
JF-Expert Member
- Nov 7, 2019
- 1,027
- 1,869
Kuna family zipo duniani KUSHINDA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
Kwani lini ulisikia mwembe umezaa pera?Baba ahukumiwe kwa makosa ya mtoto?
Ww ni mfaidika wa uovu wa viongozi wa ccm, hivyo sishangai ukitetea uovu maana una maslahi nao.kulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
🌈Mabwege ya Chadema yanawaza kwa kutumia kalio
Wewe na wazazi wako mnawaza kwa kutumia kinyeoMabwege ya Chadema yanawaza kwa kutumia kalio
Wanamuomba radhi baba Sabaya kwa kumpa cheo.Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Mkuu majambazi yote yamerejea kaziniTuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Wewe dada umeamua kujiita jina la kichagaAcha ujinga Sabaya Hana Hatia
Gaidi Mbowe mbona amlalamiki yeye kuwa huru huku alikua anataka kulipua makanisa, Vituo vya Mafuta na kua viongozi
Una safari ndefu kufikia ustaarabu.Wewe na wazazi wako mnawaza kwa kutumia kinyeo
Kwa ccm chunja chunja ndio wanaopewa vyoe.Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Jamaa alifanyakazi vzr Tu Akina Mbowe wakaanza propaganda na uchonganishi hiki chama cha watoa taarifa kina majungu ajabukulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
Hicho ulichoandika hapa sio tatizo la bongo.Tatizo la Bongo ni fikra za kuwa kila kiongozi ni malaika na akikosea asipewe nafasi nyingine,
Kibaya zaidi kosa la mmoja watataka waunganishe ukoo mzima, wote waadhibiwe
Sasa hii ni pumba first class
Leo mtaanza na kurejeshewa madaraka ilhali kampeni na kura zimepigwa kihalali, na hamkawii mnaweza kuanza hata kutunga na kuropoka kuwa si ajabu aliyepita kapumzishwa ili huyu aingie kwa jinsi mlivyo na hila.