Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
CCM wanaangalia mayumbo yao tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiwa ccm unakutwaje na kosa sasakulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
Mbona hata hapa tunasikika hata rais mwenyewe alisema huwa anapita hapa?Sasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika
Wewe ndiye aliyekulawiti Sabaya? Naona kama una chuki zilizopitilizaTuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Ccm hupenda wale wenye history za kialifu kuwa nao karibu , uyu mzee inasemekana akiwa Mkuu wa wilaya aliwahi choma maboma ya watuTuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Kwani ushahidi ulioutoa mahakamani ukimtuhumu Sabaya Kukubaka ulikataliwa???Wewe na wazazi wako mnawaza kwa kutumia kinyeo