Kama familia ya Sabaya imerejeshewa madaraka basi dhulma inalipa mapema kuliko haki

Kama familia ya Sabaya imerejeshewa madaraka basi dhulma inalipa mapema kuliko haki

Kwani ujui kwamba sheria ni kwa ajili ya watu masikini
 
Ukiiba dollar hamsini unafukuzwa kazi ukiiba dollar milion moja unahamishwa kitengo.
 
Sasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika
Mbona hata hapa tunasikika hata rais mwenyewe alisema huwa anapita hapa?
 
Tangu lini kosa mtoto kwanini ahukumiwe baba?
Pia Sabaya ameshinda kesi mbele ya mahakama wewe bado unataka ahukumiwe tu.
Kathibishe mahakamani ahukumiwe upya.
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Wewe ndiye aliyekulawiti Sabaya? Naona kama una chuki zilizopitiliza
 
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.

Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.

Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.

Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Ccm hupenda wale wenye history za kialifu kuwa nao karibu , uyu mzee inasemekana akiwa Mkuu wa wilaya aliwahi choma maboma ya watu
 
Back
Top Bottom