Resilience
JF-Expert Member
- Jan 4, 2023
- 1,096
- 4,948
Hivi unaijua haki wewe kijana? Yaani Dunia hii iliyojaa vurugu za kila rangi halafu wewe unaleta ngonjera eti haki narudia tena dunia hii hakuna haki zaidi ya vurugu na danadana za kila ainaTuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Hakuna ajuaekulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
unawaza kinyumenyume...Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Mbowe ndio kaambulia kwa Mukya kitu gan?Wengi waliorudiana na ma ex wao waliambulia maradhi , ikiwemo Ukimwi
Aliwahi kumjadili au ni Kama jina lako tu?kulikuwa na makosa kweli au propaganda za kina mbowe?
Watakwambia amemeza vidonge vya kinga gerezani.Wengi waliorudiana na ma ex wao waliambulia maradhi , ikiwemo Ukimwi
Kwi Kwi Kwi , Tahadhari hiyo , hadi useme yaaniMbowe ndio kaambulia kwa Mukya kitu gan?
Wewe mnyika wewe ndio unajisema hapa?
Tuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.
Mabwege ya Chadema yanawaza kwa kutumia kalioTatizo la Bongo ni fikra za kuwa kila kiongozi ni malaika na akikosea asipewe nafasi nyingine,
Kibaya zaidi kosa la mmoja watataka waunganishe ukoo mzima, wote waadhibiwe
Sasa hii ni pumba first class
“Dunia kutokuwa na haki”, haina maana ya wewe kukubaliana na dhulma.Hivi unaijua haki wewe kijana? Yaani Dunia hii iliyojaa vurugu za kila rangi halafu wewe unaleta ngonjera eti haki narudia tena dunia hii hakuna haki zaidi ya vurugu na danadana za kila aina
Sasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika“Dunia kutokuwa na haki”, haina maana ya wewe kukubaliana na dhulma.
Acha ujinga Sabaya Hana HatiaSasa dunia yote hii yenye watu zaidi ya billion 7 sauti yangu pekee itaweza kusikika kweli kupinga dhuluma istoshe sina hata pa kukemea nikasikika
Acha dharau na matusi kijanaAcha ujinga Sabaya Hana Hatia
Gaidi Mbowe mbona amlalamiki yeye kuwa huru huku alikua anataka kulipua makanisa, Vituo vya Mafuta na kua viongozi
Siku utakapo tuhumiwa Kwa uzushi ndio utakuwa umuhimu wa mahakama kukusafishaTuliona danadana mahakamani siku siyo nyingi mara tukaambiwa ameshinda kesi. Wakati tunatafakari mara paap mzazi wa mtuhumiwa ni Mwenyekiti wa chama mkoa.
Funzo kubwa tunalopata hapa nikuwatesa wasiojitambua hadi wajitambue kwa sababu ni wajibu wao kujua mema na mabaya.
Hii siyo Ishara nzuri kwa Taifa linalotegemea kuwa na umoja, ni jambo jema kwa Taifa linalotegemea kumeguka aidha kisiasa au kiuchumi.
Soon mtoto atarejeshwa jukwaani tuone mtatufanya nini? Tutawapiga na mwisho tutajichagua kuwaongoza.