Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Yaani TumainiEl watanzania mpaka sasa hatuelewi nini maaana ya kitu kinachoitwa usalama wa taifa.

Haiwezekani rais auawe chini ya mikono yao halafu waliomuua waendelee na tambo mpaka kufikia hatua ya kujigamba kwa kauli bila kuogopa.

Ina maana wao ni walinzi wa maslahi gani? Kwa nini huu mjadala wa kumdhihaki Dkt Magufuli wasingeufunga ili watu wajadili maendeleo?

Inasikitisha sana kama kweli eti watu wazuri hawafi jamani basi Mungu yupo.

Karma is bad. Endeleeni kutafuta muiaji, mkimpata mtatuambia.
 
Magufuli hakuifufua ccm acha upotoshaji, bali alikuwa ni mlevi wa madaraka aliyoyatumia kukandamiza upinzani. Usidhani wanaccm wenzake ni wajinga. Wanajua fika hakuwa na ushawishi na wala ccm haikuwa na ushawishi, bali watu walijawa na hofu, kisha wakalishwa mapenzi bandia kwa CCM. Kama aliifufua CCM mbona yeye ndio aliiongoza kwa kunajisi uchaguzi?
Hivi habari za CCM siku hizi unazo? Safi sana. Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Tatizo hamjui mnachokitaka.
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitapiga kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli

Mbona kipindi CHADEMA wanapiga kelele Rais yupo wapi mlikuwa mnawasema vibaya. Mpaka walipotishia kufanya press conference ndipo usiku taarifa za kifo zikatangazwa. Kwangu Mimi CHADEMA ndio walikuwa Wana uchungu na Magufuli na sio CCM .
 
Kwa sababu speculation za kifo cha Dkt Magufuli zimeachwa kuzagaa bila uthibiti maana yake tunaamini tunachosikia sisi wananchi hasa kauli za viongozi waandamizi kushangilia kifo cha rais aliyekuwa madarakani

Lakini chanzo Cha kifo chake kilishatajwa. Kwamba ni mfumo wa umeme kwenye moyo.
 
Mungu Alipo sema Namnukuu ''Fanya kazi siku sita! ufanye Mambo yako yooote! lkn siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako!!''....alikuwa hatanii, chukulia huu km mfano ukawafundishe wana CHADEMA wenzako wooote!

Km yeye Mungu alimpumzika siku ya saba Jiwe yeye ni nani achape kazi za kitaifa mfululizo ivo??...km siyo wizi alikuwa anafanya?? ***** Kabendera amekufa kifo kibaya ajili ya Mateso ya yeye jiwe!!

Alitetea Taifa la chato?? Rais gani ana kuwa na upendeleo na chuki za wazi ivooo?? Mungu hana chuki na shetani japo atamuangamiza kifo kizuri!

Huyo siyo CHADEMA mkuu, ni CCM .
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitapiga kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Yule amekufa kutokana na kukosa akili.

Alikuwa Kila mtu anamuona ni adui.

Akafanya hujuma na kuuwa watu waziwazi.

Nae mungu kamuuwa.

Right angekili kuhusu watu kupotea au kuuwa na kupigwa tundu lissu risasi hadharani. Leo angekuwepo hai.
 
Unataka kusemaje mkuu? Naye yuko asali gang?

Ndio, kwanini aseme vile Tena kwa hasira . Angekaa kimya asingehusishwa. Kitendo Cha kusema vile msikitini halafu baadae inaonekana aliugua kwa muda , inaleta maswali.

Ningekuwa mpelelezi ningeanza na huyo Waziri Mkuu halafu anafuata Chalamila.
 
Anarejesha mashambulizi kwa JPM na genge lake kina Bashiru, kwa walivyo mtenda hapo kabla.

Kweli maana alimsema Bashiru live, Bashiru akabaki anajichekesha kwa aibu.
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitapiga kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Pamoja na kulalama Huku,niwambie ndugu zangu mkitaka nchi hii iwe mahala salama pa kuishi acheni unafiki Upinzani kama hautakuepo genge la Wanyonyaji litajenga mizizi vizazi na vizazi, mimi nashangaa sana mtu analalamika badala ya kutoa njia mbadala juu ya kesho, analalamika tu. Ukweli bila kupepesa mkitaka nchi iwe nyoofu kama rula Upinzani 40%Majority 60%.Nchi itanyooka hakuna atakae jifanya kambale. Ni hayo tu mkayatazame wenzangu!!
 
Wameshasahau waliiua CCM 2015 mpaka alipoifufua Magufuli.
Mwamba alikomaa kuinyoosha nchi iliyopindishwa na 'wahuni' wachache na aliwashughulikia haswa hadi wakabweka kama mbwa.

JPM atakumbukwa kwa mission kabambe alizoziasisi mara tu alipoingia madarakani, (kutumbua majipu, kudhibiti wenye vyeti feki, kufuta mishahara hewa, kufukuza bungeni wapinzani wa michongo, nk)

Madudu hayo yote yaliasisiwa na mzee wa Msoga.
 
Nimetazama clips za hotuba ya Kikwete na Makamba kwa umakini nikaona hawa wazee safari hii walikuwa wana hasira hatari. JK huwa yuko soft kwenye hotuba zake ila jana alikuwa wa moto mno. Neno mpuuzi, wapuuzi kalitaja mara kadhaa. Yaani hakuwa na masikhara hata kidogo. Makamba alikuwa na hisia kali toka juzi akihojiwa na waandishi. Mzee Makamba ndo alishindwa kabisa kuji-control. Bado sijaelewa kabisa sababu za wazee kucharuka hivi. Halafu mbona Bashiru alikuwa ka-relax kabisa? Nitafuatilia vizuri.

CCM wote wachawi wanajuana.
 
Back
Top Bottom