Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Kama hakuna Mzee au kiongozi yeyote wa kitaifa atamwambia ukweli Mzee Makamba, yajayo yanafurahisha

Mungu Alipo sema Namnukuu ''Fanya kazi siku sita! ufanye Mambo yako yooote! lkn siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako!!''....alikuwa hatanii, chukulia huu km mfano ukawafundishe wana CHADEMA wenzako wooote!

Km yeye Mungu alimpumzika siku ya saba Jiwe yeye ni nani achape kazi za kitaifa mfululizo ivo??...km siyo wizi alikuwa anafanya?? ***** Kabendera amekufa kifo kibaya ajili ya Mateso ya yeye jiwe!!

Alitetea Taifa la chato?? Rais gani ana kuwa na upendeleo na chuki za wazi ivooo?? Mungu hana chuki na shetani japo atamuangamiza kifo kizuri!

Mkuu Kabendera yupo hai au ulimaanisha mama yake?
 
CHATO INTERNATIONAL AIRPORT,
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
O
 
Tatizo Nani atafungua hiyo kesi na atamshtaki Nani?
Wataanza kuvujisha sms,sauti za washukiwa mtaani!!

Kuna activist wengi sana huko kwenye mitandao!

Sauti hizo zitaleta taharuki na kesi itafunguliwa na jamhuri kubaini Hilo!

Kama kesi ya MBOWE ilivokuwa mwisho wa siku wataumbika wengi Sana na kujiuzulu!!
 
Hivi Tanzania kuna usalama wa Taifa au usalama wa ccm? Taifa linaliwa kila uchwao na hao viongozi na hatuoni chochote ila ccm ikiguswa kidogo tu utaona moto wake. Nadhani nchi hii ccm ndio inalindwa zaidi kuliko maslahi ya Tanzania.
 
Tanzanians don't care about CCM.

By the way ndio kwanza tunafurahi Zaidi kuona "manguruwe" yakiraruana katika karamu yao.
IMG_20221209_171231.jpeg
 
Nani alimuua JPM?..

Weka vitu bayana..wataje waziwazi hapa..otherwise ni uzushi tu..Kifo ni cha kila binadamu.
Na tunachojua sisi Mungu alituamulia huu ugomvi na kazi ya Mungu haina makosa,hizi theories nyingine tunachoshana tu. Huyu mleta mada mwenyewe alihusika mauaji ya Ben Saanane.
 
Niseme sijawahi kumkubali Magufuli na alinichukiza zaidi alipojifanya kuwachukia CHADEMA na kujiona mwamba. Ila sisi CHADEMA hatuna ubaya na mtu alipokuwa haonekani CHADEMA ndio walipiga kelele , lakini Kama kawaida wanafiki wakadai yupo hai .
Yule Kiswaswadu ndiyo alipitiliza kwa kusema uongo akiwa msikitini kuwa jamaa yupo anachapa kazi wakati alishakata moto kitambo
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Ukweli mchungu sana
 
Yaani TumainiEl watanzania mpaka sasa hatuelewi nini maaana ya kitu kinachoitwa usalama wa taifa.

Haiwezekani rais auawe chini ya mikono yao halafu waliomuua waendelee na tambo mpaka kufikia hatua ya kujigamba kwa kauli bila kuogopa.

Ina maana wao ni walinzi wa maslahi gani? Kwa nini huu mjadala wa kumdhihaki Dkt Magufuli wasingeufunga ili watu wajadili maendeleo?

Inasikitisha sana kama kweli eti watu wazuri hawafi jamani basi Mungu yupo.
Kiukweli mzee Magufuli hawa jamaa walimuua ,na dalili zinajionyesha wazi kabisa
 
Mungu Alipo sema Namnukuu ''Fanya kazi siku sita! ufanye Mambo yako yooote! lkn siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako!!''....alikuwa hatanii, chukulia huu km mfano ukawafundishe wana CHADEMA wenzako wooote!

Km yeye Mungu alimpumzika siku ya saba Jiwe yeye ni nani achape kazi za kitaifa mfululizo ivo??...km siyo wizi alikuwa anafanya?? ***** Kabendera amekufa kifo kibaya ajili ya Mateso ya yeye jiwe!!

Alitetea Taifa la chato?? Rais gani ana kuwa na upendeleo na chuki za wazi ivooo?? Mungu hana chuki na shetani japo atamuangamiza kifo kizuri!
Maoni ya gay
 
Wapo watu wanadhani Magufuli hakuwa na watu na wapo wanadhani Magufuli alifanya Yale hakuambiwa au kutakiwa kuyafanya chini ya Baraza la usalama wa Taifa.

Ikumbukwe Magufuli amekufa kwa sababu ya CCM kuendelea kukaa madarakani hii sio siri wala Habari yakuficha Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa lake china ya sera hizi hizi za chama Chama cha Mapinduzi.

Hapakuwahi kutokokea Kiongozi wa kitaifa aliwaambia ukweli Watanzania kama alivyo twambia Mzee Magufuli.

Hayati Magufuli amekufa akilitetea Taifa kwa dam na nyama hakulala hakupumzika hakuwa na muda wakupoteza kama kiongozi wakitaifa.

Alifanya kazi kwa uchungu mkubwa na alitaka kuona change for nation.

Sorry wajinga wachache I can call them rat of nation walimuona kama paka hatari katika nyumba alie taka kuangamiza uzao wote wamapanya ktk nyumba.

Leo naliuliza Baraza la usalama wa Taifa na ma general wote na wakuu wa usalama kama Magufuli alifanya kwa ajili ya tumbo lake watuambie ni wapi na kwa ajili gani some hata ya makampuni wanasema yake sio yake sio yake na hao secret service the know what was on the plan.

Kwa manufaa haya Taifa maana watu wabaya walikuwa wakitupangia mabaya usiku na mchana na tulikuwa tukionya mara kuonya some thing bad what to happen?

Tanzania nitaifa kubwa Tanzania ni taifa lenye Mali na kila aina ya utajiri why kikundi fulani ndio kinataka kula na kunyonya maziwa ya mama Tanzania wao na vizazi vyao nakutukana watu kwa masilahi yao binafsi?

Tunajuwa Hayati Mkapa kwanini mnamchukia hakuna siri alipinga watoto wa vigogo kukifunika chama and he was very firm on this so he was a threat to panya in side the house chuki hasira kwa waliokufa nikurudisha nyuma mikakati yakurithishana nyumba. Kwanini mnamlaani Hayati Magufuli alitia sumu ndani ya nyumba kiasi hata wale panya walikuwa wakikwepa sumu nakujuwa sumu walikula na walipitea...
Swali ni moja tu Magufuli alifanya operation zote chini ya secret service. Kwanini and why je semeni mpango kazi wa Taifa ni upi na kwanini upo hivyo je Kuna siri mtaificha au siku zitawaumbua...

Siku hazigandi siku hazigandi Mungu atamlipia Mwl Nyerere atamlipia Sokoine. Atamlipia Mkapa na Magufuli
Mzee Makamba unamuonea bure, muulizeni aliyemkaribisha kwanini alimkaribisha Makamba ihali kuna wazee wengi wastaafu walikuwepo na wanajulikana wana hekima na busara na walikuwa na vyeo vya juu kuliko Makamba.

Jibu ni moja tu, Makamba aliandaliwa apige vijembe na kudhihaki viongozi wanaohoji na bahati mbaya chawa huwa hawana busara akapitiliza akasema hadharani wanayoyasema kwenye vikao vya siri.
 
Nani alimuua JPM?..

Weka vitu bayana..wataje waziwazi hapa..otherwise ni uzushi tu..Kifo ni cha kila binadamu.
Wewe vipi....umetumwa na chawa wenzako nini?? Ushahidi wa nini wakati ni kweli JPM aliuwawa!
 
Mzee Makamba huwa ni mropokaji siky zote, we unategemea nn kutoka kwa Mjeda mstaafu aliyepewa uongozi kwa sifa ya kuimbisha vzr nyimbo za mchaka mchaka?!.
Hamna kitu pale kichwani!.
 
Mungu Alipo sema Namnukuu ''Fanya kazi siku sita! ufanye Mambo yako yooote! lkn siku ya saba ni sabato ya Bwana Mungu wako!!''....alikuwa hatanii, chukulia huu km mfano ukawafundishe wana CHADEMA wenzako wooote!

Km yeye Mungu alimpumzika siku ya saba Jiwe yeye ni nani achape kazi za kitaifa mfululizo ivo??...km siyo wizi alikuwa anafanya?? ***** Kabendera amekufa kifo kibaya ajili ya Mateso ya yeye jiwe!!

Alitetea Taifa la chato?? Rais gani ana kuwa na upendeleo na chuki za wazi ivooo?? Mungu hana chuki na shetani japo atamuangamiza kifo kizuri!
Mungu alipumzika siku ya Saba kwasababu alimaliza kazi. Kama kazi iliendelea niambie siku ya nane alifanya kazi gani

Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom