Kama hali ndio hii huko Ngorongoro, basi Serikali ijitafakari upya kwani tunaweza pata hata laana kama Taifa

Si vema Kuwatetea Wachache (Wanaoishi kwenye hifadhi kama kuishi kwao hapo kunahatarisha Hifadhi) ukizingatia hifadhi hio ni kwa manufaa ya Taifa

Vilevile ni mbaya zaidi kama unafukuza wachache (ila ni wengi zaidi ya mmoja) ili umpatie huyo mmoja faida unless otherwise faida ya huyo mmoja itakuwa manufaa ya hao wachache na Taifa kwa Ujumla

Two Wrongs don't make it Right... Tufanye vitu kwa manufaa ya wote, Taifa na Dunia kwa Ujumla..., na ufanyaji huo uwashilikishe na hao wachache ili waeleweshwe faida zilizopo na sio vinginevyo...
 
Inaumiza, inasikitisha unless sio kweli.

Jionee:

View attachment 2118293
Mavumbi hayo na makundi makubwa ya hii mifugo ndio uchungaji unaotetewa na huyu popoma?

Mazingira yameharibika vumbi tuu linatimka na mtu anatunga story za kijinga za kuhalalisha uharibifu kuendelea.

Serikali chukua maamuzi haraka mijadala mingi haileti tija,fanya uamzi sasa na lawama baadae kuokoa Ngorongoro..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…