Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mama ni mzee na huyo ni kijana kawa nini anampiga hivyo?Hii nayo iangalie kidogoView attachment 2118316
Wanapenda mno,, na wanapenda kuua sana wajaalaana wakubwa ndugu zake Samia.Hivi waarabu wanapenda sana nyamapori
Mmmh,,,,,,,Moyo umeniuma, ila basi tu.Hii nayo iangalie kidogoView attachment 2118316
hakika, yaani wameishia kurekodi tu, hata kutoa msaada wa ziada kwa bibi walishindwa?Wanaorekodi badala ya kumsaidia huyo Bibi, bila kumtia adabu huyo msengerema Kwa kumnyeshea mvua ya fimbo, washtakiwe tena na wao wachapwe mboko hamsa WA ishirini!
This is typical Gender Based Violence! Haivumiliki. Lile kundi la wanasheria la wakina Mama hapa wanatakiwa kuhabarishwa ili waweze kuchukua hatua stahiki. Hii ni aibu kubwa kwa Taifa letu.hakika, yaani wameishia kurekodi tu, hata kutoa msaada wa ziada kwa bibi walishindwa?
tumepoteza ubinadamu kabisa.
Sub-hanallah!! Hivi mshenzi kama huyu bado yuko uraiani, na maisha yanaendelea?Hii nayo iangalie kidogoView attachment 2118316
Nimeshikwa na hasira ya kuua binadamu, Bibi Mzee mtu mzima, anampiga kiasi hicho na mijitu inarekodi fimbo inaisha, anatafuta fimbo ingine, bado wanaorekodi??Sub-hanallah!! Hivi mshenzi kama huyu bado yuko uraiani, na maisha yanaendelea?
Ushahidi fimbo ya Kwanza inaisha, inachukuliwa fimbo nyingine bado Tu wanarekodi, anatafuta fimbo ya pili wanaendelea kumrekodi. Kwanini wasimstiri Yule mama na kumshughulikia ipasavyo huyo boys!?Walikuwa wakichukua ushahidi kwanza
Kwa akili zako hao ni Wamaasai? Hakuna jamii yenye maadili yake yenyewe nchi hii zaidi ya Wamaasai, Wameru na Wairaq.Nimeshikwa na hasira ya kuua binadamu, Bibi Mzee mtu mzima, anampiga kiasi hicho na mijitu inarekodi fimbo inaisha, anatafuta fimbo ingine, bado wanaorekodi??
Wamaasai wahamishwe Tu, kama vijana wao hawana adabu wahamishwe. Wachanganywe huku mitaani tuwafunze adabu! Yerooo napiga mama yeyoo mseee??
Marais kutoka Zanzibar watakuwa na historia mbaya sana dhidi ya Wanangorongoro. Wakati pori la Loliondo linauzwa kwa Waarabu, Rais alikuwa Mwinyi. Wakati sasa watu ndani NCA wanapata tishio hatari kwa maisha yao, Rais ni Samia.Wanapenda mno,, na wanapenda kuua sana wajaalaana wakubwa ndugu zake Samia.
Wewe hujui unalosema.[emoji871]Wamasai wakiachiwa Ngorongoro itawachukua wiki tatu na nusu kumaliza kila kitu kuzunguka kreta![emoji1241]
Duh ! !!?Msoga gang tumerudi tena....tunaanzia pale tulipoishia😁